Mwigulu, Makamba, Mbarawa kusomewa Albadir Tanga kwa ufisadi ripoti ya CAG

Mwigulu, Makamba, Mbarawa kusomewa Albadir Tanga kwa ufisadi ripoti ya CAG

Labda ka na wewe albadiri itakuhusu ndo mana una comment uto... skia hìi katiba wala si mbaya saaana kusema haikatazi wala kuwajibisha majizi ila watelezaji ni majizi yanaishi kijamaa
Okey,
endelea kiamini ALBADIRI NDIO solution
Ya kusaidia kutatua changamoto zetu za ki maendeleo tangu uhuru😊 😊 hapa nchin TZ
 
Okey,
endelea kiamini ALBADIRI NDIO solution
Ya kusaidia kutatua changamoto zetu za ki maendeleo tangu uhuru😊 😊 hapa nchin TZ
Nawewe endelea kuota katiba mpya itakuondolea changamoto kwenye nchi yako kama majirani zako wa kenya
 
Mkuu una elimu kidogo ya hayo mambo kabla sijatoa mchango wangu ?!!!
Al Badr , neno Badr ni sehemu ambayo waislam akiwemo Mtume walipigana vita, ni moja kati ya vita kubwa katika siku za mwanzo za uisalam na walikufa waislamu wengi sana,

Kutokana na utukufu wa hao waliokufa kwenye hiyo vita (wafuasi wa Mtume)( Ahlul-Badr)
Katika kuomba dua, watu wakawa wanawataja majina yao.

Ndio likatokea neno la Al Badr,( the Badr).
Jambo hili ndo limekua likifanyika na kujulikana kama Albadili, halipo katika misingi ya uislamu ukizingatia ni kama kuomba watu waliokufa. Lakini kwakua ni suala la imani, wazee wa zamani walikua na imani juu ya hilo na imani yao mdo ilikua unafanya kazi.
Now days hao wanaojiita masheikh wa kusoma hiyo "albadili" imani yenyewe hawana na hata elimu hawana ya kueleweka.

Kama kuna Nukta nimeacha nijuze
 
Na huo ndio ukweli mchungu 🙏🙏
KATIBA tuliyo nayo inampa mamlaka makubwa sana Rais wetu
Kwenye KATIBA MPYA
Wampunguzie baadhi ya mamlaka zitengenezwe strong institutions zitakazo msaidia mheshimiwa Rais kutimiza majukumu yake.........
 
Al Badr, neno Badr ni sehemu ambayo waislam akiwemo Mtume walipigana vita, ni moja kati ya vita kubwa katika siku za mwanzo za uisalam na walikufa waislamu wengi sana,

Kutokana na utukufu wa hao waliokufa kwenye hiyo vita (wafuasi wa Mtume),
Katika kuomba dua, watu wakawa wanawataja majina yao.

Ndio likatokea neno la Al Badr,( the Badr).
Jambo hili ndo limekua likifanyika na kujulikana kama Albadili, halipo katika misingi ya uislamu ukizingatia ni kama kuomba watu waliokufa. Lakini kwakua ni suala la imani, wazee wa zamani walikua na imani juu ya hilo na imani yao mdo ilikua unafanya kazi.
Now days hao wanaojiita masheikh wa kusoma hiyo "albadili" imani yenyewe hawana na hata elimu hawana ya kueleweka.

Kama kuna Nukta nimeacha nijuze
Exquisite [emoji106]

Kuhusu Elimu...wanayo labda ukakasi uko hapo katika imani....
 
cba55d14-a977-4614-9be0-08d0f390a456.jpg
 
Uchawi upo kila siku...Mungu ni mlinzi wa kila mtu....

Mwigulu yupo...
Mbarawa yupo...
kwamba anasingiziwa? Baraza la Mawaziri lina mawaziri wangapi? kuna waziri mchakazi kama Aweso umeshawahi kumsikia akitoa dhihaka kwa wabunge au wananchi? kwanini watajwe hao tu?
 
Nawewe endelea kuota katiba mpya itakuondolea changamoto kwenye nchi yako kama majirani zako wa kenya
Sasa una compare Tz 🇹🇿 na Kenya ki uchumi???
Sawa tuna amani tele hapa kwetu Tz 🇹🇿🇹🇿 tunajivunia amani..

Keep in Mind 😀😃 ALBADIRI haito saidia so mtasomea wangap.......................
 

Katibu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara mkoa wa Tanga,Ismail Masoud amesema kama wananchi wanaumizwa na ubadhirifu wa fedha za umma unaofanyika Serikalini na kuwa watafanya dua ya Albadiri kwa wote waliotajwa kwenye ripoti ya CAG.​

Huyu anakuwa mtanzania wa pili kutangaza kufanya maamuzi magumu dhidi ya waliotajwa kwenye ripoti ya CAG ikiwa ni siku chache tangu Mtanzania mwingine Mkulima kuwafikisha Mahakamani Dk. Mwigulu Nchemba, Januari Makamba, Prof. Makame Mbarawa kutokana na kashfa za ubadhirifu wa mali za umma.​




Kwamba Wizara Zenye Ufisadi ni hizo tuu au Kuna jambo jingine? Upuuzi
 
Kwamba wao ni Mungu? walikuwepo wenye viburi na dharau wako wapi leo?
Nao Hadi waondoke kama hao unaowataja..

Kwani wewe mda huo utakuwa wapi? 🤪🤪

Mungu ana akili asiyokuwa na shaka sipati picha angekuwa na akili za kindezi kama zenu ingekuaje 😁😁
 
Hivi Chama cha wanasheria(TLS) au mwanasheria yoyote hawezi fungua kesi mahamakani dhidi ya ubadhirifu wa malai za umma kwa kutumia taarifa CAG?
 
Back
Top Bottom