Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Chama cha wanasheria(TLS) au mwanasheria yoyote hawezi fungua kesi mahamakani dhidi ya ubadhirifu wa malai za umma kwa kutumia taarifa CAG?
CAG anajenga hoja ya kihasibu harafu inatakiwa kujibiwa ndio maana hamna kitu hapo..Hivi Chama cha wanasheria(TLS) au mwanasheria yoyote hawezi fungua kesi mahamakani dhidi ya ubadhirifu wa malai za umma kwa kutumia taarifa CAG?
Nyaraka si ndio uthibitisho? Ungekuwa kiongozi na watu wanawajibika chini yako halafu uwaulize kuhusu walichofanya wakujibu kwamba nyaraka si muhimu ungewaelewa?kukunua kitu bila nyaraka haimaanishi hicho kitu hakikununuliwa.
Nikikiona Wala Sina shida na nyarakaNyaraka si ndio uthibitisho? Ungekuwa kiongozi na watu wanawajibika chini yako halafu uwaulize kuhusu walichofanya wakujibu kwamba nyaraka si muhimu ungewaelewa?
Kabisa we need strong Institutions!! Kwa mfano tulimuona Spika wa Bunge la Marekani Nancy Pelosi akizichana karatasi za hotuba ya Rais Trump bungeni mbele yake !!KATIBA tuliyo nayo inampa mamlaka makubwa sana Rais wetu
Kwenye KATIBA MPYA
Wampunguzie baadhi ya mamlaka zitengenezwe strong institutions zitakazo msaidia mheshimiwa Rais kutimiza majukumu yake.........
3) When the Controller and Auditor-General has reason to believe that an offence has occurred, he shall refer the matter to the Director of Public Prosecutions for appropriate action........ hii sehemu tu nenda kasome Sheria nzima ya THE PUBLIC AUDIT ACT, 2008... usilishwe matango na watuhumiwa wa ufisadiCAG anajenga hoja ya kihasibu harafu inatakiwa kujibiwa ndio maana hamna kitu hapo..
Kwa hiyo msijijaze upepo na vitu ambavyo havipo maana kukunua kitu bila nyaraka haimaanishi hicho kitu hakikununuliwa.
Nyaraka si ndio uthibitisho? Ungekuwa kiongozi na watu wanawajibika chini yako halafu uwaulize kuhusu walichofanya wakujibu kwamba nyaraka si muhimu ungewaelewa?
Hiyo itafanya kazi baada ya kukosa majibu Kwa wahusika na hivyo hatifuta hoja na itatumika kama ushahidi ,Kwa Sasa Bado wahusika wanaendelea kujibu hoja.3) When the Controller and Auditor-General has reason to believe that an offence has occurred, he shall refer the matter to the Director of Public Prosecutions for appropriate action........ hii sehemu tu nenda kasome Sheria nzima ya THE PUBLIC AUDIT ACT, 2008... usilishwe matango na watuhumiwa wa ufisadi
Kwa Hapa kwetu Tz 🇹🇿🇹🇿 thubutu yako....Kabisa we need strong Institutions!! Kwa mfano tulimuona Spika wa Bunge la Marekani Nancy Pelosi akizichana karatasi za hotuba ya Rais Trump bungeni mbele yake !!
Sasa mbona kuna mahakama na polisi huko Uarabuni? Kwanini wasitegemee albadil tu wakaachana na hukumu za wanadamu?Albadil haijfanyi miujiza ni kwenda kushtaki kwa Mungu pale mtu unakuwa hauna jinsi ya kufanya..
Uchumi si hoja... hoja ni kwamba Kenya ina matatizo mengi kuliko Tz wakadhani katba itasaidia kumbe buree tatizo ni watu si katiba paseeh...Sasa una compare Tz 🇹🇿 na Kenya ki uchumi???
Sawa tuna amani tele hapa kwetu Tz 🇹🇿🇹🇿 tunajivunia amani..
Keep in Mind 😀😃 ALBADIRI haito saidia so mtasomea wangap.......................
Kwani uarabuni ndo wapi na ndo nn sio? Naongelea kumshtakia kwa Mungu sip binadamu.Sasa mbona kuna mahakama na polisi huko Uarabuni? Kwanini wasitegemee albadil tu wakaachana na hukumu za wanadamu?
So mnakiri CCM imeshindwa?Watu wanaamua kuloga tu baada ya mwenye nchi ,
Nchi kumshinda.
KwakweliKwa Hapa kwetu Tz 🇹🇿🇹🇿 thubutu yako....
Cc. Baba jayaronSasa mbona kuna mahakama na polisi huko Uarabuni? Kwanini wasitegemee albadil tu wakaachana na hukumu za wanadamu?
Kwani kua muarabu ndo albadir ??
Soma maoni ya mdau😊😊🤓🤓Kwani kua muarabu ndo albadir ??
Ndo mana wanamahaka ya kadhi mahakama ya kidini... na si kila kitu albadir isipokua yale yaliyoshindikanaSoma maoni ya mdau😊😊🤓🤓
Anasema uarabuni kwanini wasitumie ALBADIRI
Instead Kuna mahakama za wanadamu
Mdau anashaur kwanini uarabuni wana mahakama na magereza kama ALBADIRI Ina work out kwann Kuna mahakama??!!