Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Mmmh hawaendi kushtaki kwa Mungu bali wanakwenda KUWAROGA......waroge tu....Nilivyo muelewa siku anaongea mbele ya Kasim nikwamba, kama serikali imeshindwa basi wao Tanga wataenda kushtaki kwa Allah.
Maombi hayo hayo huwapata watu waovu wanaofanya dhulma kwa jamii !!Mikwara tu....
Albadiri ni kisomo kinachotokana na kitabu mathalani JALIYATUL QADAR....ni mashuhuda wa Vita vya badri....ni dua/maombi kama mengine yoyote tu.....sema hao "wadigo" wanakwenda KUWAROGA kwa kujifanya wanasoma Albadiri.....
Ikiwa ni maombi basi tujue si uchawi....na maombi hujibu Mungu vile atakavyo ila ALBADIRI UCHAWI (si maombi) kwa Mungu.......
Mwigulu yupo
Mbarawa yupo.....
Mungu ni mlinzi wa kila mmoja wetu.....
Hakimu gani na huo ni uchawi....Kazi imeanza watu wamechoshwa ! Wameamua kupeleka mashtaka kwa Hakimu mkuu wa mahakimu wote [emoji120][emoji120] Tusubiri tuone !!
Wafia CCM hampend kusikia wezi wakishughulikiwa Perpendicularly!!Mkwara Mbuzi ππ
π πMmmh hawaendi kushtaki kwa Mungu bali wanakwenda KUWAROGA......waroge tu....
Mwigulu yupo.....
Mbarawa yupo....
Nimetafakari sana juu ya uamuzi wa wananchi wa Tanga kuandaa kisomo maalum kwa ajili ya viongozi na watendaji serikalini walioguswa kwenye ripoti ya CAG. Mbali na watu wa Tanga kuamua kufanya dua maalum kwa kina Mwigulu, Makame Mbarawa, Januari na wakubwa wengine waliotajwa na CAG. Pia yuko mtanzania mwingine ameamua kwenda mahakamani kuwashtaki watu hao hao waliotajwa na CAG.Katibu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara mkoa wa Tanga,Ismail Masoud amesema kama wananchi wanaumizwa na ubadhirifu wa fedha za umma unaofanyika Serikalini na kuwa watafanya dua ya Albadiri kwa wote waliotajwa kwenye ripoti ya CAG.
Huyu anakuwa mtanzania wa pili kutangaza kufanya maamuzi magumu dhidi ya waliotajwa kwenye ripoti ya CAG ikiwa ni siku chache tangu Mtanzania mwingine Mkulima kuwafikisha Mahakamani Dk. Mwigulu Nchemba, Januari Makamba, Prof. Makame Mbarawa kutokana na kashfa za ubadhirifu wa mali za umma.
Alaa kumbe wanakwenda kuroga eeee?!!!Maombi hayo hayo huwapata watu waovu wanaofanya dhulma kwa jamii !!
[emoji1787][emoji28][emoji28]
Maombi ni maombi tu sio uchawi ni sawa na maombi ya kuomba mvua inyeshe. ! Na maombi hayawezi kumpata mtu kama anasingiziwa kitu ambacho hajakitenda ! Iko hivyo Mkuu. !Hakimu gani na huo ni uchawi....
Sawa.....Maombi ni maombi tu sio uchawi ni sawa na maombi ya kuomba mvua inyeshe. ! Na maombi hayawezi kumpata mtu kama anasingiziwa kitu ambacho hajakitenda ! Iko hivyo Mkuu. !
Moja ya Imani potufu zinazo chelewesha maendeleo africa π ππππNashauri hiyo albadiri ichinjwe na ng'ombe au mbuzi ka sadaka uone ka mtu atamaliza wiki
Sio uchawi ni maombi tu ! Na kama mtu anasingiziwa basi hatakiwi hata kushtuka maana hawezi kupata shida yeyote !Alaa kumbe wanakwenda kuroga eeee?!!!
Waroge tu....
Mwigulu yupo na ni mwafrika haswa....[emoji1787]
Kuna mwafrika asiyejua "anti-dote" ya uchawi?!!!
Mwigulu yupo.....waambie wafanye haraka huo uchawi wao.....
Mkuu una elimu kidogo ya hayo mambo kabla sijatoa mchango wangu ?!!!Hakuna masheikh wakusona Al Badr sikuhizi
Waombe tu....Sio uchawi ni maombi tu ! Na kama mtu anasingiziwa basi hatakiwi hata kushtuka maana hawezi kupata shida yeyote !
Na huo ndio ukweli mchungu ππMoja ya Imani potufu zinazo chelewesha maendeleo africa π ππππ
Solution ni KATIBA MPYA itakayo zipa mamlaka taasisi zetu kuwashuhurikia wabadhilifu wote wa Mali za UMMA...........
KATIBA MPYA NDIO ALBADIRI KUU NA MZIZI WA KUTIBUπππππ
Hii staili ya kuongoza nchi kiubongozozo sasa ni rasmi tunaelekea msoga election 2015. Chadema changamkeniKwa namna fulani hili pia ni dongo kwa Sa100 kwamba yeye kama mkuu wa nchi kwakuwa ameshindwa kuwachukulia hatua acha wao(wananchi) wamuombe Mungu atende miujiza maana hawana namna ingine wa kuwasaidia hakuna!.
Labda ka na wewe albadiri itakuhusu ndo mana una comment uto... skia hΓ¬i katiba wala si mbaya saaana kusema haikatazi wala kuwajibisha majizi ila watelezaji ni majizi yanaishi kijamaaMoja ya Imani potufu zinazo chelewesha maendeleo africa π ππππ
Solution ni KATIBA MPYA itakayo zipa mamlaka taasisi zetu kuwashuhurikia wabadhilifu wote wa Mali za UMMA...........
KATIBA MPYA NDIO ALBADIRI KUU NA MZIZI WA KUTIBUπππππ
Kazi Kweli Kweli !Hii staili ya kuongoza nchi kiubongozozo sasa ni rasmi tunaelekea msoga election 2015. Chadema changamkeni