Mwigulu, Makamba, Mbarawa kusomewa Albadir Tanga kwa ufisadi ripoti ya CAG

Maombi hayo hayo huwapata watu waovu wanaofanya dhulma kwa jamii !!
 
Nimetafakari sana juu ya uamuzi wa wananchi wa Tanga kuandaa kisomo maalum kwa ajili ya viongozi na watendaji serikalini walioguswa kwenye ripoti ya CAG. Mbali na watu wa Tanga kuamua kufanya dua maalum kwa kina Mwigulu, Makame Mbarawa, Januari na wakubwa wengine waliotajwa na CAG. Pia yuko mtanzania mwingine ameamua kwenda mahakamani kuwashtaki watu hao hao waliotajwa na CAG.

Maamuzi haya ya wananchi kwa kumbukumbu zangu ndogo sina hakika kama matukio haya yamewahi kutokea hapa nchini tangu nchi yetu ipate Uhuru.

Swali je ni watanzania wangapi wanapaza sauti juu ya watu hao ila hazisikiki kwa sababu ya umasikini wao, kutokuwa na simu janja ya kufika mitandaoni na kukosa bando la kuweza kuwasilisha hisia zake kwenye umma.
 
Maombi hayo hayo huwapata watu waovu wanaofanya dhulma kwa jamii !!
Alaa kumbe wanakwenda kuroga eeee?!!!

Waroge tu....

Mwigulu yupo na ni mwafrika haswa....[emoji1787]

Kuna mwafrika asiyejua "anti-dote" ya uchawi?!!!

Mwigulu yupo.....waambie wafanye haraka huo uchawi wao.....
 
Hakuna masheikh wakusona Al Badr sikuhizi
 
Maombi ni maombi tu sio uchawi ni sawa na maombi ya kuomba mvua inyeshe. ! Na maombi hayawezi kumpata mtu kama anasingiziwa kitu ambacho hajakitenda ! Iko hivyo Mkuu. !
Sawa.....

Kwa kuwa wametangaza vita hadharani basi wajue wameshachelewa.....[emoji1787][emoji1787]
 
Nashauri hiyo albadiri ichinjwe na ng'ombe au mbuzi ka sadaka uone ka mtu atamaliza wiki
Moja ya Imani potufu zinazo chelewesha maendeleo africa 😊 😁😁😁😁
Solution ni KATIBA MPYA itakayo zipa mamlaka taasisi zetu kuwashuhurikia wabadhilifu wote wa Mali za UMMA...........

KATIBA MPYA NDIO ALBADIRI KUU NA MZIZI WA KUTIBU😊😊😊😊😊
 
Alaa kumbe wanakwenda kuroga eeee?!!!

Waroge tu....

Mwigulu yupo na ni mwafrika haswa....[emoji1787]

Kuna mwafrika asiyejua "anti-dote" ya uchawi?!!!

Mwigulu yupo.....waambie wafanye haraka huo uchawi wao.....
Sio uchawi ni maombi tu ! Na kama mtu anasingiziwa basi hatakiwi hata kushtuka maana hawezi kupata shida yeyote !
 
Sio uchawi ni maombi tu ! Na kama mtu anasingiziwa basi hatakiwi hata kushtuka maana hawezi kupata shida yeyote !
Waombe tu....

Si peke yao wanaojua "maombi"...

To every action there's an equal and opposite reaction [emoji1787]
 
Na huo ndio ukweli mchungu πŸ™πŸ™
 
Kwa namna fulani hili pia ni dongo kwa Sa100 kwamba yeye kama mkuu wa nchi kwakuwa ameshindwa kuwachukulia hatua acha wao(wananchi) wamuombe Mungu atende miujiza maana hawana namna ingine wa kuwasaidia hakuna!.
Hii staili ya kuongoza nchi kiubongozozo sasa ni rasmi tunaelekea msoga election 2015. Chadema changamkeni
 
Labda ka na wewe albadiri itakuhusu ndo mana una comment uto... skia hìi katiba wala si mbaya saaana kusema haikatazi wala kuwajibisha majizi ila watelezaji ni majizi yanaishi kijamaa
 
Nadhani hii ndo njia sahihi!hizi njia nyingine hawa mafisadi wanalindana sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…