Mwigulu, Makamba, Mbarawa kusomewa Albadir Tanga kwa ufisadi ripoti ya CAG

masheikh kutoka maeneo mbalimbali nchini nasikia watakuwepo
Binafsi yangu, mafisadi kiukweli ni wauwaji wa mamilioni ya watu! Hawastahili waishi, bus kukwepa mtu mtu ili likapate ajali na kuteketeza abiria zaidi ya 60 huko, huo ni upumbavu
 
Itakuwa tarehe ngapi niwahi nikashiriki wametuchosha hawa watu
 
masheikh kutoka maeneo mbalimbali nchini nasikia watakuwepo
Acheni upumbavu nyinyi
Huo ushirikina mnadhani utampata nani?

Someni Albajoto haswaa sio Albadiri tu na hakuna kitakachotokea

Mnaendekeza ushirikina tuu

Katika Uislamu hakuna ibada hii mnotaka kuifanya nyinyi waislamu uchwara

Wapi mtume katufundisha iyo mnayoita Albadiri sijui Albajoto?
 
😁😁😁😁yani feb marope hapendwi mpaka basi apunguze jeuri lakini☺️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…