Mwigulu: Mama Samia kajifunza kuendesha nchi kutoka kwa Kikwete

Mwigulu: Mama Samia kajifunza kuendesha nchi kutoka kwa Kikwete

Msaka-tonge akiwa kazini. Mama ajihadhari na na komba-mwiko huyu, ni hatari.

Ni huyu alishauri JPM tusiwe tunapewa taarifa za maambukizi ya Covid-19 na tusishangae tukianza kutoa taarifa hizo akawa wa kwanza kusifu na kuuzodoa utawala uliopita. Unafiki ni moja ya kazi ngumu sana. Unapaswa kuwa bonge la ndumilakuwili na pengine uhusiano wa ujomba na vinyonga.
 
Tulipokua tukiyasema haya tuliamini muda utafika tutajua ukweli..

Uongo na unafiki ulianzia kwake hadi kwa walio chini yake ! Si ni Jiwe huyo huyo alisimama madhabahuni na kusema siku ina saa 48?
 
MWIGULU SEMA, SEMAAAA USIOGOPE SEMA,..
MWENYEWE HAYUPO , HATUOGOPIII MAJINAMIZI SEMA.
 
Kwa hiyo anasema Magufuli hakuamini katika taasisi na alipenda kuonea watu?

Miaka yote Samia alipokuwa Makanu wa Rais hakujifunza kwa Magufuli?
Mapungu hao kama hawakujifunza chochote kutoka kwa gwiji wa maendeleo ya Tz! Ni wazi alikuwa anawawekea kiwingu na hivyo kushindwa kuiibia nchi! RIEP&P our forever beloved president and our great African hero 💔 Hon Dr JPM 🙏😭!
 
Mwendazake anazidi kupoteza wafuasi huko aliko
 
Mapungu hao kama hawakujifunza chochote kutoka kwa gwiji wa maendeleo ya Tz! Ni wazi alikuwa anawawekea kiwingu na hivyo kushindwa kuiibia nchi! RIEP&P our forever beloved president and our great African hero [emoji174] Hon Dr JPM [emoji120][emoji24]!
Gwiji la maendeleo gani kaangusha mapato ya bidhaa za kilimo kama kichaa kwa kuingilia biashara ya korosho?

Kafuga majambazi kina Sabaya na Bashite.

Kajenga uwanja wa ndege kwao ambao haufanyi kazi mpaka watu wanatakankuutumia kuanikaia nafaka sasa.

Wacha mzaha wewe.

Magufuli alikuwa kawashikia akili wajingawajinga kama wewe tu, watu walioweza kuchuja mambo walimuona mshamba tu.
 
Jamani jamani! Kwani Mama hawezi kuongoza bila kumhusisha na hao watangulizi wake? Binafsi namuona mama ni bora zaidi na anasimamia anachokiamini na si kucopy na kupaste
Team kikwete mmeanza kujitokeza hadharani.
 
Kufupisha mambo, kwa nini CCM badala ya kuamua kuzunguka mbuyu na kuwatumia hawa lapulapu safisha uchafu watangaze rasmi Magufuli alikuwa chukizo la maisha bora kwa Watanzania na jina lake lifutwe kwenye historia ya nchi hii katika mambo mema
 
nja
Dah na watu ni wanafiki
njaa mkuu haina baunsa! hii ni shida na kujidhalilisha kwa kiwango cha phd kwani angekaa kimya ingemuathiri nini na huyu ndo tunataka awe rais. kwa maana nyingine tumepewa taarifa rasmi kuwa anayeongoza nchi ni Kikwete
 
Mapungu hao kama hawakujifunza chochote kutoka kwa gwiji wa maendeleo ya Tz! Ni wazi alikuwa anawawekea kiwingu na hivyo kushindwa kuiibia nchi! RIEP&P our forever beloved president and our great African hero 💔 Hon Dr JPM 🙏😭!
Huwa najiulizaga huyo magu alifanya nn Cha Cha ajabu mpaka mumuabudu hivi...... maana kwa raia maisha yalikuwa magumu,wafanyakaz hali zilikuwa hoi,kutekwa kuliongezeka,deni la taifa kuliongezeka,watu hawakuwa huru kuongea chochote wanachojisikia....
 
Mapungu hao kama hawakujifunza chochote kutoka kwa gwiji wa maendeleo ya Tz! Ni wazi alikuwa anawawekea kiwingu na hivyo kushindwa kuiibia nchi! RIEP&P our forever beloved president and our great African hero [emoji174] Hon Dr JPM [emoji120][emoji24]!
Kama umeumia sana kunywa sumu umfuate kaburini yule mwendawazimu mwenzio, tuko na Mh rais wetu samia anaejua hasa nini maana ya uongozi. Ng'ombe wewe.
 
Back
Top Bottom