Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alitukosea sanaYeye ndiye aliwafanya watu wawe hivyo, Sabaya tu ndo hakubadilika
Kwani uongo?Dah na watu ni wanafiki
Ana PhD ya 'Upopoma Uliomtukuka' tu.
Nwigulu is right
Mwigulu ka demka sana,Huyu Waziri wa Fedha MM amezidi kujaribu kumdunisha Rais SSH.. Kwa nini Rais SSH ajifunze toka kwa mtu au awamu yoyote? Kwani hawezi kuwa na staili yake ya ki-pekee?
Kujaribu kumlinganisha Rais SSH na awamu zingine ni uchonganishi uliopitiliza..
Urais wa SSH ni wa kipekee na hauwezi kulinganishwa na awamu nyingine yoyote labda Waziri Mwigulu awe na ubia na Urais huo kitu ambacho hakipo..
Bora jk alitesa,sio mwenda zake aliyetesa na kuuaHapendi kuonea watu Mwigulu kamsahau Ulimboka? lile bomu kule Soweto Arusha Mwigulu akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Jaji Warioba alipigwa ngumi wakati gani? siasa tupu.
Taasisi gani zilijengwa na Kikwete? Nadhani hii haioneshi ubaya wa Magufuli, inaonesha zaidi upungufu wa akili wa Mwigulu. Ni mtu anayegundua alipendelewa na Kikwete kuwa waziri bila uwezo. Kilikuwa ni kipindi cha kila mtu kuwa waziri.
Ila mlipigwa na kuuliwa kweli mlipotaka gesi isitoke mtwara?Bongo zilizooza ni za wauaji ndo hawana hata utu, ni kuua tu wakihisi wao wataishi milele!!
Acha mama atende haki siyo kuonea wengine na wengine kuchekelea!
Siwezi sahau tulipochimbwa biti kwamba shangazi zetu watapigwa kichapo cha mbwa kisa tunadai haki yetu ya mazao ya korosho!!
Ni kipimo cha uwezo mdogo ktk siasa. Anategemea aishi ktk siasa kwa kutukuza walio juu.ila huyu mwigulu hapo sija muelewa kabisa kwa nini ameongea statement kama hiyo
Wasukuma ni wakali kwenye kule mtu akiiba anachomwa Moto chap hawpendi kbs wiziNi waugwana ,Wana utu , wapole,wakarimu sana.Huenda hayati alikuwa na vinasaba vya kwingineko.
Mwigulu Nchemba hana adabu kabisa
wakristo wenzangu wakatoliki, huwa wakipewa kuongoza nchi sijui kwann maisha ya nchi yanakuwa kama hivyo yaani..Hiyo ni namna nyingine ya kusema "màgufool alijifunza kuendesha nchi kutoka kwa dikteta Mkapa aka mzee wa mauaji ya 2001
Aliwavusha 2015 ya moto na baadae wakamtoa kafaraKumbe magu walikua hata wao hawampendi