Mikono yenye Sugu
Senior Member
- Jul 1, 2020
- 133
- 215
Msaka-tonge akiwa kazini. Mama ajihadhari na na komba-mwiko huyu, ni hatari.
Aseme tu Kikwete anaendesha nchi kupitia mama basi.
Siasa zetu zimejaa watu wa aina hiyo.Samia naye akifa, Mwigulu atamsifia Dkt. Mpango kuwa kajifunza kazi toka kwa Magufuli?
Kwa hiyo anasema Magufuli hakuamini katika taasisi na alipenda kuonea watu?
Hata Yesu hawakumkubali wa kweke! Hakuna jipya hapa duniani! RIEP&P our great African hero π Hon Dr JPM ππ! We'll remember you dearly in our hearts forever π!
Mapungu hao kama hawakujifunza chochote kutoka kwa gwiji wa maendeleo ya Tz! Ni wazi alikuwa anawawekea kiwingu na hivyo kushindwa kuiibia nchi! RIEP&P our forever beloved president and our great African hero π Hon Dr JPM ππ!Kwa hiyo anasema Magufuli hakuamini katika taasisi na alipenda kuonea watu?
Miaka yote Samia alipokuwa Makanu wa Rais hakujifunza kwa Magufuli?
Gwiji la maendeleo gani kaangusha mapato ya bidhaa za kilimo kama kichaa kwa kuingilia biashara ya korosho?Mapungu hao kama hawakujifunza chochote kutoka kwa gwiji wa maendeleo ya Tz! Ni wazi alikuwa anawawekea kiwingu na hivyo kushindwa kuiibia nchi! RIEP&P our forever beloved president and our great African hero [emoji174] Hon Dr JPM [emoji120][emoji24]!
Team kikwete mmeanza kujitokeza hadharani.Jamani jamani! Kwani Mama hawezi kuongoza bila kumhusisha na hao watangulizi wake? Binafsi namuona mama ni bora zaidi na anasimamia anachokiamini na si kucopy na kupaste
Mama naye ni hopeless kuendelea kulifuga hili fala. Wote hopelessSamia mtumbue mwigulu huyu Jamaa Ni mnafiki.
Anakuchora tu na jua fika mwenzio ana ndoto za urais
Tanzania yetu hiyoDah na watu ni wanafiki
njaa mkuu haina baunsa! hii ni shida na kujidhalilisha kwa kiwango cha phd kwani angekaa kimya ingemuathiri nini na huyu ndo tunataka awe rais. kwa maana nyingine tumepewa taarifa rasmi kuwa anayeongoza nchi ni KikweteDah na watu ni wanafiki
Huwa najiulizaga huyo magu alifanya nn Cha Cha ajabu mpaka mumuabudu hivi...... maana kwa raia maisha yalikuwa magumu,wafanyakaz hali zilikuwa hoi,kutekwa kuliongezeka,deni la taifa kuliongezeka,watu hawakuwa huru kuongea chochote wanachojisikia....Mapungu hao kama hawakujifunza chochote kutoka kwa gwiji wa maendeleo ya Tz! Ni wazi alikuwa anawawekea kiwingu na hivyo kushindwa kuiibia nchi! RIEP&P our forever beloved president and our great African hero π Hon Dr JPM ππ!
Ni kweli....Ila ni WASHAMBA na WASHIRIKINA Sana tuNi waugwana ,Wana utu , wapole,wakarimu sana.Huenda hayati alikuwa na vinasaba vya kwingineko.
Kama umeumia sana kunywa sumu umfuate kaburini yule mwendawazimu mwenzio, tuko na Mh rais wetu samia anaejua hasa nini maana ya uongozi. Ng'ombe wewe.Mapungu hao kama hawakujifunza chochote kutoka kwa gwiji wa maendeleo ya Tz! Ni wazi alikuwa anawawekea kiwingu na hivyo kushindwa kuiibia nchi! RIEP&P our forever beloved president and our great African hero [emoji174] Hon Dr JPM [emoji120][emoji24]!