Mwigulu na Makamba wamesema uongo utekelezaji wa Bwawa la Nyerere. Mamlaka zichukue hatua

Mwigulu na Makamba wamesema uongo utekelezaji wa Bwawa la Nyerere. Mamlaka zichukue hatua

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
WAZIRI MWIGULU amesema wakati Rais Samia anaingia madarakani Mradi wa Bwawa la Nyerere ulikuwa umefikia 12% lakini Waziri Januari Makamba mbele ya Mh Rais anasema wakati Rais Samia ulikuwa umetekelezwa kwa 37.

Taarifa ya Wizara ya Nishati iliyowasilishwa bungeni Juni 2021 ilisema Mradi ulikuwa umetekelezwa kwa 52.

Kama Taifa lazima tupate ukweli wa sababu zilizosababisha Mwigulu na Makamba watangaze taarifa za uongo kuhusu mradi wa Bwawa la Nyerere.

Mradi huu ni wa watanzania wote sio wa familia ya 'WATU WAZURI HAWAFI' ni kwanini sisi kama watanzania tukubali mchezo huu tunaochezewa na Mwigulu na Makamba.

Jambo la aibu Waziri Makamba anasimama mbele ya Rais na kumdanganya tena kwamba yeye anauwezo mkubwa wa kuisimamia sekta ya nishati huku akijua matatizo makubwa yanayoikabili sekta ya nishati baada ya yeye kuwa Waziri.





 
Wanafaidika na ukimya wa Mh Kalemani, siku akianika ukweli hawatakuwa na pa kuficha sura zao
Kalemani alishamaliza kupitia Hotuba yake Juni 2021 Bungeni. Yeye ni mtu wa vitendo sio majungu
 
WAZIRI MWIGULU amesema wakati Rais Samia anaingia madarakani Mradi wa Bwawa la Nyerere ulikuwa umefikia 12% lakini Waziri Januari Makamba mbele ya Mh Rais anasema wakati Rais Samia ulikuwa umetekelezwa kwa 37.

Taarifa ya Wizara ya Nishati iliyowasilishwa bungeni Juni 2021 ilisema Mradi ulikuwa umetekelezwa kwa 52.

Kama Taifa lazima tupate ukweli wa sababu zilizosababisha Mwigulu na Makamba watangaze taarifa za uongo kuhusu mradi wa Bwawa la Nyerere.

Mradi huu ni wa watanzania wote sio wa familia ya 'WATU WAZURI HAWAFI' ni kwanini sisi kama watanzania tukubali mchezo huu tunaochezewa na Mwigulu na Makamba.

Jambo la aibu Waziri Makamba anasimama mbele ya Rais na kumdanganya tena kwamba yeye anauwezo mkubwa wa kuisimamia sekta ya nishati huku akijua matatizo makubwa yanayoikabili sekta ya nishati baada ya yeye kuwa Waziri.






HAWA JAMAA NDIO WANAONGOZA KUCHAFUA SERIKALI YA AWAMU YA 6. SAMIA TULIKUWA NAYE TANGU AWAMU YA TANO HANA TATIZO MAMA WA WATU
 
WAZIRI MWIGULU amesema wakati Rais Samia anaingia madarakani Mradi wa Bwawa la Nyerere ulikuwa umefikia 12% lakini Waziri Januari Makamba mbele ya Mh Rais anasema wakati Rais Samia ulikuwa umetekelezwa kwa 37.

Taarifa ya Wizara ya Nishati iliyowasilishwa bungeni Juni 2021 ilisema Mradi ulikuwa umetekelezwa kwa 52.

Kama Taifa lazima tupate ukweli wa sababu zilizosababisha Mwigulu na Makamba watangaze taarifa za uongo kuhusu mradi wa Bwawa la Nyerere.

Mradi huu ni wa watanzania wote sio wa familia ya 'WATU WAZURI HAWAFI' ni kwanini sisi kama watanzania tukubali mchezo huu tunaochezewa na Mwigulu na Makamba.

Jambo la aibu Waziri Makamba anasimama mbele ya Rais na kumdanganya tena kwamba yeye anauwezo mkubwa wa kuisimamia sekta ya nishati huku akijua matatizo makubwa yanayoikabili sekta ya nishati baada ya yeye kuwa Waziri.






Kwani Samia aliingia madarakani mwezi June mwaka 2021 au Mwezi March mwaka 2021?. Halafu jiulize hiyo gepu ya miezi mitatu kabla ya taarifa ya Kalemani bungeni huo mradi ulikuwa umesimama au ulikuwa unaendelea!
 
WAZIRI MWIGULU amesema wakati Rais Samia anaingia madarakani Mradi wa Bwawa la Nyerere ulikuwa umefikia 12% lakini Waziri Januari Makamba mbele ya Mh Rais anasema wakati Rais Samia ulikuwa umetekelezwa kwa 37.

Taarifa ya Wizara ya Nishati iliyowasilishwa bungeni Juni 2021 ilisema Mradi ulikuwa umetekelezwa kwa 52.

Kama Taifa lazima tupate ukweli wa sababu zilizosababisha Mwigulu na Makamba watangaze taarifa za uongo kuhusu mradi wa Bwawa la Nyerere.

Mradi huu ni wa watanzania wote sio wa familia ya 'WATU WAZURI HAWAFI' ni kwanini sisi kama watanzania tukubali mchezo huu tunaochezewa na Mwigulu na Makamba.

Jambo la aibu Waziri Makamba anasimama mbele ya Rais na kumdanganya tena kwamba yeye anauwezo mkubwa wa kuisimamia sekta ya nishati huku akijua matatizo makubwa yanayoikabili sekta ya nishati baada ya yeye kuwa Waziri.






Nani huyo achukue hatua? Huo sio utaratib wa inji hii mzee 🤣🤣🤣
 
WAZIRI MWIGULU amesema wakati Rais Samia anaingia madarakani Mradi wa Bwawa la Nyerere ulikuwa umefikia 12% lakini Waziri Januari Makamba mbele ya Mh Rais anasema wakati Rais Samia ulikuwa umetekelezwa kwa 37.
Kwa kuanzia suppose ni kweli mradi ulikuwa umefikia asilimia 52 halafu Waziri Makamba akasema ni asilimia 37, tujulishe uongo huo una madhara gani ya kupelekea Waziri ajiuzulu?.
P
 
WAZIRI MWIGULU amesema wakati Rais Samia anaingia madarakani Mradi wa Bwawa la Nyerere ulikuwa umefikia 12% lakini Waziri Januari Makamba mbele ya Mh Rais anasema wakati Rais Samia ulikuwa umetekelezwa kwa 37.

Taarifa ya Wizara ya Nishati iliyowasilishwa bungeni Juni 2021 ilisema Mradi ulikuwa umetekelezwa kwa 52.

Kama Taifa lazima tupate ukweli wa sababu zilizosababisha Mwigulu na Makamba watangaze taarifa za uongo kuhusu mradi wa Bwawa la Nyerere.

Mradi huu ni wa watanzania wote sio wa familia ya 'WATU WAZURI HAWAFI' ni kwanini sisi kama watanzania tukubali mchezo huu tunaochezewa na Mwigulu na Makamba.

Jambo la aibu Waziri Makamba anasimama mbele ya Rais na kumdanganya tena kwamba yeye anauwezo mkubwa wa kuisimamia sekta ya nishati huku akijua matatizo makubwa yanayoikabili sekta ya nishati baada ya yeye kuwa Waziri.






Kuna mambo yana fikirisha sana,hii disorganized inatoka wapi,wanapokuwa kwenye baraza la mawaziri hawaongei namna gani ya ku address umma,more than double standard
 
Nadhani ktk mradi huu uwongo ni mwingi Sana.
...Enzi za Magufuli, Kalemani alisema mradi umefika 72% na akaahidi kuqnza kujaza maji November 15, 2021.

....Awamu ya sita inaingia madarakani tukaambiwa na waziri Makamba kwamba ujazaji maji umecheleweshwa na kuchelewa kwa crane kubwa tani 26.

......Mara tukaambiwa mradi umefikia 40% tu. Kwahiyo bado Sana.

..Juzi juzi rais akasema mradi utakamilika Juni 2024, naibu waziri Byabato akasema utakamilika Juni 2023.

Hakuna lugha moja katika mradi huu.
 
Kwa kuanzia suppose ni kweli mradi ulikuwa umefikia asilimia 52 halafu Waziri Makamba akasema ni asilimia 37, tujulishe uongo huo una madhara gani ya kupelekea Waziri ajiuzulu?.
P
Pascal sikutrgemea kama ungeuliza swali kama hili. Mfano unasema bwawa limefika asilimia 32 na zimetumika bil 5, wakati kumbe bwawa limefika asilimia 52. Sasa hiyo asiliamia 32 ikifika 52 si hela zaidi zitakuwa zimetumika na utakuwa umepigwa. kwa maana hiyo bwawa linaweza kuwa limeisha lakini watu wakaendelea kuzuga site tu na pesa zikaendelea kuidhinisha ili kumalizia hizo asilimia hewa.
 
WAZIRI MWIGULU amesema wakati Rais Samia anaingia madarakani Mradi wa Bwawa la Nyerere ulikuwa umefikia 12% lakini Waziri Januari Makamba mbele ya Mh Rais anasema wakati Rais Samia ulikuwa umetekelezwa kwa 37.

Taarifa ya Wizara ya Nishati iliyowasilishwa bungeni Juni 2021 ilisema Mradi ulikuwa umetekelezwa kwa 52.

Kama Taifa lazima tupate ukweli wa sababu zilizosababisha Mwigulu na Makamba watangaze taarifa za uongo kuhusu mradi wa Bwawa la Nyerere.

Mradi huu ni wa watanzania wote sio wa familia ya 'WATU WAZURI HAWAFI' ni kwanini sisi kama watanzania tukubali mchezo huu tunaochezewa na Mwigulu na Makamba.

Jambo la aibu Waziri Makamba anasimama mbele ya Rais na kumdanganya tena kwamba yeye anauwezo mkubwa wa kuisimamia sekta ya nishati huku akijua matatizo makubwa yanayoikabili sekta ya nishati baada ya yeye kuwa Waziri.






These 2 caricatures are everything to blame in Tanzania.
Wako hovyo kabisa. Incompetent fake con artist power hungry and absolutely nutters
 
Waziri wa fedha ambae hajui ata majumuisho ya madeni ya nchi unaweza mwamini kweli kwa jambo lingine lolote.

Kazi ya jumuisho la deni la taifa inafanywa na DMO. Kitengo ambacho kipo wizarani kwake na yafuatayo ndio muhimu:

Kutunza hesabu za deni la serikali lile ambalo serikali kuu limepokea kupitia mikopo na bonds na linalipwa kwa mapato ya serikali.

Kurekodi mikopo ya taasisi ambazo serikali kuu ni mdhamini I.e mashirika ya umma yanayomilikiwa na serikali moja kwa moja au kwa hisa; na mikopo inayochukuliwa na serikali za mitaa. Mikopo ambayo wote hao wanatakiwa kulipa wenyewe serikali kuu ni mdhamini tu.

Sasa yeye hata hajui kama madeni ya halmashauri huko DMO yanarekodiwa kama madeni ya taifa na madeni ya taasisi za umma tu ndio yanakuwa included.

Madeni ya Azam na Mohammed Enterprise yana husika vipi; huyu mtu hajui ata kazi za DMO kitengo kilichepo wizara yake.

BoT aina majukumu ya ku record madeni ya taifa, bali madeni ya banks; huyo Mwigulu ni bogus, stupid and zero kichwani.

Huyo Mwingine January Makamba, salaleh kichwani ndio hamna kitu kabisa.
 
Kwa kuanzia suppose ni kweli mradi ulikuwa umefikia asilimia 52 halafu Waziri Makamba akasema ni asilimia 37, tujulishe uongo huo una madhara gani ya kupelekea Waziri ajiuzulu?.
P
Kha! Mayalla kweli siku hizi unanishangaza sana! Kusema uongo kwa waziri huoni shida? Umepatwa na nini bro?
Mwalimu Nyerere alishawahi kutuambia; Mtu mzima akikuambia UONGO huku anajua unajua kuwa ni uongo, AMEKUDHARAU.
Jee huoni Makamba kuliambia taifa UONGO ni kuwa amelidharau?
Kuna haja ya kuwa na waziri ambaye analidharau taifa? Maana hii ni tofauti na kutoa maoni kama alivyotoa Ndugai na CCM mkamfyeka kwa maoni tuu.
Ndugu yangu Pasco, vitendo hivi vya hawa viongozi kudharau watu na kutoa taarifa za uongo tukizipotezea ni hatari kwa taifa.
Imagine tuko vitani na wakubwa wakawa wanatulisha uongo mtupu, tutapona?
Tulinde taifa letu kwa kuchukua hatua ASAP tukiona ujinga.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
HAWA JAMAA NDIO WANAONGOZA KUCHAFUA SERIKALI YA AWAMU YA 6. SAMIA TULIKUWA NAYE TANGU AWAMU YA TANO HANA TATIZO MAMA WA WATU
mradi unaoongoza kuwa na maneno mengi mara 12% mara 37% mara 52% mara utaisha Juni 2022, Mara utaisha Juni 2023 mara utaisha 2024 wakamsababishia hadi Rais akashindwa kuwaeleza watanzania mradi utakamilika lini
 
WAZIRI MWIGULU amesema wakati Rais Samia anaingia madarakani Mradi wa Bwawa la Nyerere ulikuwa umefikia 12% lakini Waziri Januari Makamba mbele ya Mh Rais anasema wakati Rais Samia ulikuwa umetekelezwa kwa 37.

Taarifa ya Wizara ya Nishati iliyowasilishwa bungeni Juni 2021 ilisema Mradi ulikuwa umetekelezwa kwa 52.

Kama Taifa lazima tupate ukweli wa sababu zilizosababisha Mwigulu na Makamba watangaze taarifa za uongo kuhusu mradi wa Bwawa la Nyerere.

Mradi huu ni wa watanzania wote sio wa familia ya 'WATU WAZURI HAWAFI' ni kwanini sisi kama watanzania tukubali mchezo huu tunaochezewa na Mwigulu na Makamba.

Jambo la aibu Waziri Makamba anasimama mbele ya Rais na kumdanganya tena kwamba yeye anauwezo mkubwa wa kuisimamia sekta ya nishati huku akijua matatizo makubwa yanayoikabili sekta ya nishati baada ya yeye kuwa Waziri.






Registered July 2022
 
Back
Top Bottom