Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye ndiye anayepanga mipango.Kumlaumu Mwigulu ni kumwonea tu. Hakuna kitu kinapita kwa mawmuzi yake binafsi. CCM ni ile ile.
- deni la taifa limeongezeka kwa zaidi ya asilimia 10
Hawa wote hawaongozi, wanatawala. Viongozi kwanza kabisa huchaguliwa.
- mfumuko wa bei
- doble taxation hapa anawakamua sana wananchi, madhara yake ni kupungua mzunguko wa pesa, uzalishaji
- deni la taifa limeongezeka kwa zaidi ya asilimia 10
Mimi ni Mmoja wa Watesi ( Critics ) wa Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba ila katika hili namtetea tena kwa 100% kwani ni Maamuzi ya Kisheria ambayo yametujumuisha Watanzania wote kupitia Wawakilishi wetu ambao ni Wabunge wa JMT na kama ni lawama tuzipeleke Kwao ili tutende haki na siyo Kumchukia tu Waziri.
- mfumuko wa bei
- doble taxation hapa anawakamua sana wananchi, madhara yake ni kupungua mzunguko wa pesa, uzalishaji
- deni la taifa limeongezeka kwa zaidi ya asilimia 10
Umejitoa betri sio?Mimi ni Mmoja wa Watesi ( Critics ) wa Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba ila katika hili namtetea tena kwa 100% kwani ni Maamuzi ya Kisheria ambayo yametujumuisha Watanzania wote kupitia Wawakilishi wetu ambao ni Wabunge wa JMT na kama ni lawama tuzipeleke Kwao ili tutende haki na siyo Kumchukia tu Waziri.
Swine kabisa...!!!Umejitoa betri sio?
Hopeless kabisa!
Yes! Ww ni swine kabisa....!!!Swine kabisa...!!!
Hata kuongoza kijiji hafai
- mfumuko wa bei
- doble taxation hapa anawakamua sana wananchi, madhara yake ni kupungua mzunguko wa pesa, uzalishaji
- deni la taifa limeongezeka kwa zaidi ya asilimia 10
Serikali nzima haifai. Nchi insongozwa na wazanzibari. Huyo mama hajali kitu
- mfumuko wa bei
- doble taxation hapa anawakamua sana wananchi, madhara yake ni kupungua mzunguko wa pesa, uzalishaji
- deni la taifa limeongezeka kwa zaidi ya asilimia 10
Deni la taifa limeongezekaji kwa zaidi ya asilimia 10, toa ushahidi usiseme kwa kua unataka kusema
- mfumuko wa bei
- doble taxation hapa anawakamua sana wananchi, madhara yake ni kupungua mzunguko wa pesa, uzalishaji
- deni la taifa limeongezeka kwa zaidi ya asilimia 10
CCM ilijiweka madarakani kwa kuzima sauti na uhuru wa watanzania. CCM dictatorship largely created by the late Magufuli is the real enemy...Mimi ni Mmoja wa Watesi ( Critics ) wa Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba ila katika hili namtetea tena kwa 100% kwani ni Maamuzi ya Kisheria ambayo yametujumuisha Watanzania wote kupitia Wawakilishi wetu ambao ni Wabunge wa JMT na kama ni lawama tuzipeleke Kwao ili tutende haki na siyo Kumchukia tu Waziri.
Mlete maaako awe waziri
- mfumuko wa bei
- doble taxation hapa anawakamua sana wananchi, madhara yake ni kupungua mzunguko wa pesa, uzalishaji
- deni la taifa limeongezeka kwa zaidi ya asilimia 10
Ulikuwepo akipanga hayaYeye ndiye anayepanga mipango.
Ukweli hafai kabisa
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Unamuota magufuli wewe na mmeo kila siku,amekabidhiwa wizara lini?Jitu katili kama Magufuli kukabidhiwa wizara nyeti ni makosa makubwa