Mwigulu Nchemba hafai kuongoza Wizara ya Fedha

Mwigulu ni mjumbe tu

USSR
 
CCM imeshajua watz ni makondoo hamna cha kuwafanya ndiyomaana wamewabananisha kwenye kona ya kitanda kweri-kweri.
 
Tumeipenda wenyewe chaguo letu milele.. ndindiii wacha waisome namba eeeh ccm mbele kwa mbelee
 
Kupitia sisi wazalendo

USSR
 
CCM ilijiweka madarakani kwa kuzima sauti na uhuru wa watanzania. CCM dictatorship largely created by the late Magufuli is the real enemy...
Mlisema JPM akifa mtapata Uhuru nadhani ndio huu

USSR
 
CCM imeshajua watz ni makondoo hamna cha kuwafanya ndiyomaana wamewabananisha kwenye kona ya kitanda kweri-kweri.
So hapo ulipo umebananishwa kwenye Kona ya kitanda unashuglikiwa

USSR
 
Mwigulu si alikuwemo kwenye tuhuma za BL 34 za LUGUMI eti mtu wa hivyo ndio anaenda kupewa wizara ya fedha inasikitisha sana
 
Hujui chochote na ww ni mpigaji kama yy wabunge ndio waliopanga kweny ml 1 ikatwe 30000
 
Huyu mwigulu ana gundu na matatizo makubwa kweli kweli, na ndiyo maana jiwe alikuwa hampendi
 
  • mfumuko wa bei
  • doble taxation hapa anawakamua sana wananchi, madhara yake ni kupungua mzunguko wa pesa, uzalishaji
  • deni la taifa limeongezeka kwa zaidi ya asilimia 10
Serikali yote na huyu Bibi Tozo tuliyenaye hawafai!
 
nakumbuka pia Mwig, ndiye aliyependekezwa ule ushauri wa kijinga wa kuto kutangaza takwimu za korona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…