Elections 2015 Mwigulu Nchemba: Huu Unyama Una baraka zote za Dr. Slaa na genge lake

Elections 2015 Mwigulu Nchemba: Huu Unyama Una baraka zote za Dr. Slaa na genge lake

Kila kampeni za uchaguzi amekua akitembea na kinyago chake Hana sera gaidi huyu mwegulu
 
Siyo wewe ambaye kuna doctor mmoja aliwahi kutueleza magonjwa yako ushapona ili uwe credible?Tunawaogopa sana wagonjwa wa akili,vp huko ccm hauogopwi?Maana mtu kama Mwigulu na aliyemrundikia vyeo sidhani kama wazima

Hajapona bado, na hawezi kupona kirahisi kwa kuwa ana laana ya kula rambirambi pia.
 
Mwigulu Nchemba amesema dhambi ya Mauaji na Unyama unaoendelea kwenye mikutano ya siasa na maeneo mbalimbali haitamwacha Dr.slaa Salama kutokana na yeye kuwa kiongozi anayebariki Siasa chafu hizo.
Chanzo:Kalenga

jicho.jpg

Hivi yule mwenyekiti wa CHADEMA TEMEKE MZIMA? hawa watu ni hatari sana, nami nataka kutoa ripoti polis kwani kuna watu wananifuatilia,,,lol!!!!
 
1622176_673540786041329_124503048_n.jpg
1780655_673540839374657_1516800168_n.jpg
1902026_673540866041321_296530695_n.jpg

Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Mh:Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa kata ya Ifakara wakati wa Mkutano wa Kufungua Kampeni uliofanyika Jana Tar.27/02/2014.Hapa akiwa na Wahanga wa siasa chafu zinazodaiwa Kufanywa na Chadema kupitia Vijana wake wa Redbrigade.Mwenye T-shirt ya Njano ni Mzee Alphonce John ambaye alitopolewa Macho kwa dispisi wakati wa Uchaguzi wa Udiwani huko Kahama Mwezi uliopita.

Mwigine mwenye Shati la Kijana ni Kijana Musa Tesha ambaye alimwagiwa Tindikali na Vijana wanaodaiwa Kuwa wa Chadema huko Igunga wakati wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo hilo.Mh:Mwigulu Nchemba jana amesisitiza Wananchi wa Kalenga kuwa makini na siasa Chafu za Chadema zinazofanywa sehemu mbalimbali hasa kwenye nyakati kama hizi za Uchaguzi.Amesisitiza kuwa kwenye Chaguzi zozote Vyama vya siasa vinashindanisha Sera na hoja kuhusu Maendeleo ya Wananchi wa eleo hilo,Mkataba wa CCM na Wananchi ni Maendeleo katika Taifa hili,Umoja na Mshikamano ndio ngao ya MwanaCCM yeyote.

Mwigulu Nchemba amesema dhambi ya Mauaji na Unyama unaoendelea kwenye mikutano ya siasa na maeneo mbalimbali haitamwacha Dr.slaa Salama kutokana na yeye kuwa kiongozi anayebariki Siasa chafu hizo.

Chanzo:Kalenga

Huyu Mwigulu ni Waziri. ambaye ni sehemu ya serikali. na kauli ya waziri ni kauli ya serikali. sasa kama serikali inaishia kulalamika majukwaani badala ya kuchunguza na kumbaini mhalifu, basi majanga.
 
Huwa nasemaga kila siku "Mwigulu Nchemba ni mwehu sana"!
 
1622176_673540786041329_124503048_n.jpg
1780655_673540839374657_1516800168_n.jpg
1902026_673540866041321_296530695_n.jpg

Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Mh:Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa kata ya Ifakara wakati wa Mkutano wa Kufungua Kampeni uliofanyika Jana Tar.27/02/2014.Hapa akiwa na Wahanga wa siasa chafu zinazodaiwa Kufanywa na Chadema kupitia Vijana wake wa Redbrigade.Mwenye T-shirt ya Njano ni Mzee Alphonce John ambaye alitopolewa Macho kwa dispisi wakati wa Uchaguzi wa Udiwani huko Kahama Mwezi uliopita.

Mwigine mwenye Shati la Kijana ni Kijana Musa Tesha ambaye alimwagiwa Tindikali na Vijana wanaodaiwa Kuwa wa Chadema huko Igunga wakati wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo hilo.Mh:Mwigulu Nchemba jana amesisitiza Wananchi wa Kalenga kuwa makini na siasa Chafu za Chadema zinazofanywa sehemu mbalimbali hasa kwenye nyakati kama hizi za Uchaguzi.Amesisitiza kuwa kwenye Chaguzi zozote Vyama vya siasa vinashindanisha Sera na hoja kuhusu Maendeleo ya Wananchi wa eleo hilo,Mkataba wa CCM na Wananchi ni Maendeleo katika Taifa hili,Umoja na Mshikamano ndio ngao ya MwanaCCM yeyote.

Mwigulu Nchemba amesema dhambi ya Mauaji na Unyama unaoendelea kwenye mikutano ya siasa na maeneo mbalimbali haitamwacha Dr.slaa Salama kutokana na yeye kuwa kiongozi anayebariki Siasa chafu hizo.

Chanzo:Kalenga
Mbona mnatuchanganya.Kata ya Ifakara na jimbo la Kalenga wapi na wapi yarabi!!?Kuweni makini,Ifakara ni makao makuu ya wilaya Kilombero,mkoani Morogoro,Kalenga iko Iringa.
Msiwape CcM pointi za kutukandia kuwa CHADEMA hatujasoma?Makosa kama hili ni hoja ya kuwapumbazia wapiga kura kwao CcM
 
kumbe jamaa alikua Milembe? tumsamehe bure

Nashauri. Mwigulu tulia ofsini fanya kazi za kukuza uchumi na sio kukuza uchuki na uzandiki. Hii nchi bwana imeliwa sasa waziri mzima anazunguka nyumba kwa nyumba kupiga kampeni. Umaskini hautakwisha bila ccm.kuwajibishwa na upinzani. Jifunzeni uingeteza, marekani etc. bila upinzani mahiri serikali inalala na watu watahamisha ofisi makwao. Niwasisitize wana upinzani kazeni buti. Haki haiji kirahisi bali kwa jasho.......sio lelemama..so upinzani.msilale komboeni wanyonge. Msiogope vitisho ....mnatakiwa kuiadhibu serikali ili ijitambue.
 

M
wigulu nchemba akumbwa na zomea zomea mbaya kalenga,tukiwa katika kijiji cha kidamali kata ya nzihi kwenye mazishi ya wanachama wetu wa chadema wawili walio kufa kwa ajari ya lori jana mwigulu amekutwa na kasumba hii ya zomea zomea ya wananchi baada ya kuanza kumnadi mgombea wa ccm mtoto wa mgimwamy take: wana kalenga wamekataa utawala wa kifalme poleni sana wafiwa;

chanzao chadema kalenga
 
Chris, Mwigulu, na MaCCM mnafikiri WaTZ ni wajinga??
Dr Slaa anamiliki jeshi la Polisi, mahakama, TISS ?? Ana ubavu gani wa kushinda Serikali??
Mauwaji mfanye nyinyi mmsingizie Mzee wa watu??
Arusha mmeuwa, tena kwa mabomu, Igunga mkauwa, Morogoro mkauwa, Iringa Nyororo mkauwa Mwangosi kwa bomu!!
Bado tuu hamjatosheka, damu za watu zinawalilia makaini nyinyi!!
Watu wamewachoka, subiri hukumu yenu inakuja!!
 
Wakome nao kwa wizi wa kura, hata huku njombe wakati wa uchaguzi mdogo ngazi ya kata kuna vijana wawili walikuwa na kura 400 zikiwa zimetikiwa ccm, walipokamatwa walipigwa nusu ya kuuawa, hivyo wakati mwingine ccm ndio chanzo cha huo ulemavu. Kati ya hao wawili kuna msanii mmoja anaitwa b alone.
 
Back
Top Bottom