Elections 2015 Mwigulu Nchemba: Huu Unyama Una baraka zote za Dr. Slaa na genge lake

Elections 2015 Mwigulu Nchemba: Huu Unyama Una baraka zote za Dr. Slaa na genge lake

Chadema ni sawa na Alshabaab tu.

Viongozi wao wanatumia maisha ya watu kama mtaji wa siasa

Siyo wewe ambaye kuna doctor mmoja aliwahi kutueleza magonjwa yako ushapona ili uwe credible?Tunawaogopa sana wagonjwa wa akili,vp huko ccm hauogopwi?Maana mtu kama Mwigulu na aliyemrundikia vyeo sidhani kama wazima
 
Chadema ni sawa na Alshabaab tu.

Viongozi wao wanatumia maisha ya watu kama mtaji wa siasa

Ungetumia akili kidogo tu ungegundua pia hicho ccm wanachokifanya ni kutumia maisha ya watu kama mtaji wa kisiasa. Usiache mapenzi yako dhidi ya chama chochote yakutawale mkuu. AMKA
 
Jamani kumbe njaa haina adabu...hii mibaba inakubali kufanywa sinema na Mwigulu kila mahali na huku rohoni wanajua kabisa aliyetenda hayo wala siyo huyo Slaa,Mungu watu kweli wanamkejeli.
 
Kila sehemu anakokanyaga huyu jamaa CCM inabwagwa - hivi hawajajifunza tu!! maana siasa za huyu jamaa ni za vita vita tu.

Kalenga - i can't wait to count CDM winning!!
Aliipeleka hiyo midoli yake kule A town, wananchi wa huko walizipuuza propaganda zake na wananchi wakaamua kuwaadhibu magamba kwa kuwapa ushindi CDM kwa ushindi wa goli 4 kwa bila!

Kama CCM hawajajifunza kwa kipigo hicho kwa kuamua kumpeleka Mwigulu Kalenga, basi watarajie kuangukia pua huko Kalenga
 
Kwa unyama walioufanya na wanaoendelea kuufanya Mh. Mbowe na Dr. Slaa, siku ya hukumu Mungu atawatengea moto maalumu kwaajili yao.
 
Kwa kweli mwigulu nchemba ameongea kweli hawa chadema wanataka tuwe kama wasomalia kila siku vita,tunashukuru watanzania wanaelewa umuhimu wa aman yetu na hawapo tayari kuiingiza nchi kwenye dimbwi la damu.Tunatamani upinzani ila sio chagadema.

1902026_673540866041321_296530695_n.jpg


Hivi hawa wanaofanywa katuni katika mikutano ya siasa wangekuwa ni ndugu zako ungeandika hivi? Nafikiri kwa sasa ifikie hizi tume za haki za binadamu zifanye kazi zake ili kuyazuia haya ya udhalilishaji kwa binadamu kisa eti siasa.
 
CCM walishajua kuwa KAlenga ngoma ni nzito kwa hiyo wanachofanya ni kuharibu tu!! Najua ni ngumu watu wa Iringa kusahau ya Mwangosi!!
 
Siasa ni mchezo wa ajabu sana, naona hao wahanga hapo hiyo ni sehemu yao ya kujipatia chochote, kama inatamkwa wazi kuwa ni Dr.Slaa na watu wake wanahusika, Je, vyombo vya dola viko wapi? na hapo utajua kwamba siasa chafu inayoendeshwa na Mwigulu Nchemba na CCM yake.

Pia najiuliza kwanini haya yanafanyika wazi hivi na CDM wanakaa kimya huku wakijua huu ni uwongo, kwanini hawachukui hatua ya kumshtaki Mwigulu na hao vijana wake.
Inawezekana hakuna sheria ya kumshitaki savimbi
 
Kweli njaa na umaskini hatari sana! mwanamume mzima unakalishwa chini na ccm unatobolewa macho na kuzungushwa mitaani kwa vijisenti vya ccm.? Hatari sana.
 
The so called the chaga development manifesto is a disgrace to our country...
 
1622176_673540786041329_124503048_n.jpg
1780655_673540839374657_1516800168_n.jpg
1902026_673540866041321_296530695_n.jpg

Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Mh:Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa kata ya Ifakara wakati wa Mkutano wa Kufungua Kampeni uliofanyika Jana Tar.27/02/2014.Hapa akiwa na Wahanga wa siasa chafu zinazodaiwa Kufanywa na Chadema kupitia Vijana wake wa Redbrigade.Mwenye T-shirt ya Njano ni Mzee Alphonce John ambaye alitopolewa Macho kwa dispisi wakati wa Uchaguzi wa Udiwani huko Kahama Mwezi uliopita.

Mwigine mwenye Shati la Kijana ni Kijana Musa Tesha ambaye alimwagiwa Tindikali na Vijana wanaodaiwa Kuwa wa Chadema huko Igunga wakati wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo hilo.Mh:Mwigulu Nchemba jana amesisitiza Wananchi wa Kalenga kuwa makini na siasa Chafu za Chadema zinazofanywa sehemu mbalimbali hasa kwenye nyakati kama hizi za Uchaguzi.Amesisitiza kuwa kwenye Chaguzi zozote Vyama vya siasa vinashindanisha Sera na hoja kuhusu Maendeleo ya Wananchi wa eleo hilo,Mkataba wa CCM na Wananchi ni Maendeleo katika Taifa hili,Umoja na Mshikamano ndio ngao ya MwanaCCM yeyote.

Mwigulu Nchemba amesema dhambi ya Mauaji na Unyama unaoendelea kwenye mikutano ya siasa na maeneo mbalimbali haitamwacha Dr.slaa Salama kutokana na yeye kuwa kiongozi anayebariki Siasa chafu hizo.

Chanzo:Kalenga
Sasa simuwakamate au mnawaogopa??
 
Then zile picha za mauaji ya Arusha bado hawataki kuzionesha?Watanzania tuwabane hawa wachaga watuoneshe zile picha,iweje hadi leo waendelee kubakia na ule ushahidi?
 
Mwigulu bado anaizungusha hiyo misukule..., huyu jamaa aliwafanya hivyo hao ili awafanye mitaji ya kisiasa.
 
Jamani msidanganyike na ccm kwamfano huyo Musa Tesha wa Igunga vijana wao ndo wa lio mwangiya tindikali wasidanganye majukwani Naomba ni mwambie kijana mwenzangu musa afanye kazi na siyo kuwa bango la ccm.
 
Back
Top Bottom