Sijui wanawauwa na kuwaumiza kwa maslahi ya nani ni watu wa ajabu sana kwenye hii dunia.
Wanao wauwa na kuwaumiza ni CCM kwa masilahi ya CCM ili wawafanye kuwa misukule ya kuzunguka nayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui wanawauwa na kuwaumiza kwa maslahi ya nani ni watu wa ajabu sana kwenye hii dunia.
Michango yenu inaonyesha ni jinsi gani mnafurahia binadamu wenzenu kuwa vilema au kufa huo ndio ushindi wenu bila shaka kwa taharifa yenu hamtapata madaraka nchi hii kwa style hiyo shame cdm.
Chadema ni wauwaji wakubwa
Lukosi jana ulisema bora Wazanzibar wajitenge leo unasema CDM kuna Alshabaab ngoja sasa Wazanzibar wajitenge halafu uone Alshabaab wa ukweli unaowalilia.Chadema ni sawa na Alshabaab tu. Viongozi wao wanatumia maisha ya watu kama mtaji wa siasa
Mwigulu ni --------, hii ni ile tomato source aliyo peleka Arusha Sombetini na kuwashauri Ccm wajipake na kujifunga vitambaa ili wadanganye wamepigwa na Chadema, issue ikashtukiwa. Kama ni kweli wamepigwa waonyeshe pf3 na hospitali waliyopata matibabu. Ccm imeufa, kla siku kuhubiri mapigano tuu badala ya sera.Bwana Mwigulu Nchemba,hii albamu yako imeshabuma.Unachotakiwa ni kutoa 'single' au albamu nyingine tu.Kwa hii,haiuziki tena.Kama umeishiwa sera si useme ufundishwe nyingine??
Chadema ni sawa na Alshabaab tu.
Viongozi wao wanatumia maisha ya watu kama mtaji wa siasa
Chadema ni sawa na Alshabaab tu.
Viongozi wao wanatumia maisha ya watu kama mtaji wa siasa
Hawa jamaa wanaotembezwa na ulemavu wao namna hiyo sijui hata wanajisikiaje mioyoni mwao! Unawezaje kumruhusu mwanasiasa kutumia ulemavu wa kiwango hicho kama mtaji wake kisiasa wakati huo huo ukiwa unaonyeshwa kama picha mbele za watu? Au kwa wenzetu hawa kwao hii ni ajira kwa maana kwamba wanajiingizia kipato kwa kuonyeshwa hadharani namna hiyo?
Acha ushamba wewe na uhayawani wako. Watanzania wa leo hawana akili za matope kama zako kibogoyo wa kufikiri wewe pamoja na huyo kilaza mwenzio Mwigulu Nchemba. Kwani kama Dr Slaa ndio aliwafanya hao watanzania masikini hivyo vitendo polisi hawana uwezo wa kumkamata Dr Slaa???? ina maana nchi hii siku hizi Dr Slaa ana majeshi ya ulinzi na usalama??!!! halafu kwa nini polisi na vyombo vingine vya usalama mnakubali Mwigulu kwa akili yake finyu na chama chake wanawatukana na kuwadhalilisha hadharani kiasi hiki??? yani Polisi kweli mmeshindwa kazi kiasi cha kushindwa kumkamata raia tena wa kawaida sana DR SLAA na kumuwajibisha kwa kuwafanyia raia wenzake unyama huo???!!! kweli??!! CCM kweli mnachekesha sana na mnajimaliza wenyewe bila kujua maana hawa raia mnaowafanyia unyama ninyi na polisi ili baadae wawe mtaji wenu wa kisiasa kwa kuwalipa fedha mwisho wa siku watawatokea puani maana raia walishajua mchezo wenu mchafu na for sure nawaambia u are finished!!!!! hao raia wanawasubiri muangukie pua 2015 then wamwage ushahidi jinsi mlivyowahonga mapesa machafu ili watimize mlichokuwa mnakihitaji.
Aiseee Chadema watamaliza watu kwa uroho wa kwenda ikulu.
Dr.W.Slaa ni kweli haya yana baraka zako?
Hebu thibitisha kama hakuna baraka zako kwenye haya.
Kwakweli ni bora CCm hitawale milele kuliko chadema kwenda ikulu.
Bila shaka Kigaila ataleta mikwara ya kutoa siku tatu Mwigulu athibitishe lasivyo watafungua case alaf baada ya hapo kimya kama hile ya kumpa siku tatu Rais.
![]()
![]()
![]()
Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Mh:Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa kata ya Ifakara wakati wa Mkutano wa Kufungua Kampeni uliofanyika Jana Tar.27/02/2014.Hapa akiwa na Wahanga wa siasa chafu zinazodaiwa Kufanywa na Chadema kupitia Vijana wake wa Redbrigade.Mwenye T-shirt ya Njano ni Mzee Alphonce John ambaye alitopolewa Macho kwa dispisi wakati wa Uchaguzi wa Udiwani huko Kahama Mwezi uliopita.
Mwigine mwenye Shati la Kijana ni Kijana Musa Tesha ambaye alimwagiwa Tindikali na Vijana wanaodaiwa Kuwa wa Chadema huko Igunga wakati wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo hilo.Mh:Mwigulu Nchemba jana amesisitiza Wananchi wa Kalenga kuwa makini na siasa Chafu za Chadema zinazofanywa sehemu mbalimbali hasa kwenye nyakati kama hizi za Uchaguzi.Amesisitiza kuwa kwenye Chaguzi zozote Vyama vya siasa vinashindanisha Sera na hoja kuhusu Maendeleo ya Wananchi wa eleo hilo,Mkataba wa CCM na Wananchi ni Maendeleo katika Taifa hili,Umoja na Mshikamano ndio ngao ya MwanaCCM yeyote.
Mwigulu Nchemba amesema dhambi ya Mauaji na Unyama unaoendelea kwenye mikutano ya siasa na maeneo mbalimbali haitamwacha Dr.slaa Salama kutokana na yeye kuwa kiongozi anayebariki Siasa chafu hizo.
Chanzo:Kalenga