Elections 2015 Mwigulu Nchemba: Huu Unyama Una baraka zote za Dr. Slaa na genge lake

Elections 2015 Mwigulu Nchemba: Huu Unyama Una baraka zote za Dr. Slaa na genge lake

Mwingulu na CCM yake baada ya kushindwa hoja na CHADEMA ameamuwa kuikimbilia misukule ili imsaidie.Akaeakijua kuwa hakuna cha Mwigulu wala cha msukule CHADEMA itapiga tu pamoja na misukule yao ushindi ni wa CHADEMA.
 
Hivi kama Dr Slaa ndo kayafanya hayo yote kwani hakamatwi ili akajibu mashitaka, kama cyo upumbavu huu unaoongelewa na MWIGULU?????,.HAIWEZEKANI MTU UMMWAGIE TINDIKALI HALAFU UANZE KUMTUMIA KAMA TOY!!!!; MWIGULU ona aibu hata kidogo kwa unachokifanya.
 
kikwete na secretari ya ccm wote mukichwa zilihama utafanyaje mtaji binadamu ambao wamesababishiwa vilema na mwigulu halafu mwigulu akawafanya mtaji wa kisiasa hizi laana zake atazipeleka wapi lakini chadema kwa nini hawamshitaki mwigulu kwa upumbavu wa aina anayofanya thats why is the most hated politician in the country kapelekwa wizara ya fedha kuiba fedha ili azitumbue kwenye chaguzi ujinga wa watanzania ndio mtaji wa ccm
 
Hivi hajui kuwa anaingilia kesi iliyokomaa mahakamani kule Igunga ya Tindikali? Mbona ana dharau mahakama?

Kuna watu wanapost humu kuwa Mwigulu ni muongo, eti kwanini wahusika hawajacgukuliwa hatua, kumbe kuna kesi mahakamani? Hebu tuambieni watuhumiwa ni akina nani?
 
huu ni unyama mkubwa sana kumfanyia binadamu mwenzio
 
Cheap politics,try another seasons. tunajua huu ni mkakati wako ulioshindwa hapa iringa tunakujua treak zako mwigu..imekula kwako pia hatudanganyiki.........waambie wananchi miaka hamsini iliyopita chama chako kil.ishindwa kuwajali wananchi wake ,je huu muujiza wa mwaka mmoja ahaadi ulizotoa utazitekeleza kwa bajeti ipi mkuu?? au kama kawaida yako unapiga watu kahawa mradi liende,
1622176_673540786041329_124503048_n.jpg
1780655_673540839374657_1516800168_n.jpg
1902026_673540866041321_296530695_n.jpg

Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Mh:Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa kata ya Ifakara wakati wa Mkutano
 
kuna mambo ya msingi ambayo mtanzania makini anatakiwa kujiuliza kuhusu hii picha ya Mwigulu Nchemba anayo endelea nayo.

1. Aliyekuwa mgombea wa CHADEMA kata ya Ubagwe wilaya ya Ushetu mkoa wa Shinyanga Bwana Ahmad Ngoma alichomewa Nyumba na vijana wa Greenguard ambao baadae walivamia msafara wa mbunge Kasulumbai. Mbona halisemei hili na halioni kuwa ni tukio la kinyama la kusababisha familia ya mtu kukosa makazi?

2. Kijana wanaye sema amemwagiwa tindikali na vijana wa CHADEMA kama mtakumbuka kesi yake ndio iliwafanya kina Kileo kupewa kesi ya ugaidi ambayo ilifutwa na mahakama na kina Kilewo na wenzake kufutiwa mashtaka ya kigaidi, sasa hivi kuna kesi ya kuhudhuru mwili ambao upande wa serikali unasema ushahidi bado hauja kamilika. Kama Mwigulu ana ushahidi kwa nini atembee na kijana huyo kwenye mikutano na asipeleke ushahidi ili hao anao sema ni vijana wa CHADEMA wafungwe?, Huko nako sio kuingilia uhuru wa mahakama?

3. Mwigulu analalamika kuwa kwenye kijiji cha Waswa walitegewa misumali na CHADEMA, CHADEMA jana walikuwa na mkutano kwenye kijiji hicho iweje CHADEMA wajitegee misumali wenyewe?! Lakini taarifa zilizopo polisi ni kwamba vijana waliotega misumali na kuweka mawe barabarani wanajulikana mbona hawaja kamatwa vijana wa CHADEMA?

4. Mhanga wa ushetu alikuwa dereva wa CCM aliye endesha gari iliyowateka vijana wa CHADEMA kwenye uchaguzi mdogo wa USHETU, Mbona hasemi kuwa gari ya CCM ilivunjwa vioo na dereva kujeruhiwa na wanakijiji wenye hasira baada ya kuona mwenzao katekwa?!

5. Kwenye tukio la ushetu walikamatwa vijana 15 pamoja na mbunge Kasulumbai wa CHADEMA, hadi leo hakuna hata kijana mmoja mmoja wa CHADEMA aliyerumande kwa tukio hilo na hakuna ushahidi wa wao kuhusika. Kama Mwigulu anawajua vijana wa CHADEMA walio husika na tukio hilo kwa nini asiisaidie Polisi ili anao ita vijana wa CHADEMA walio husika na tukio wakakamatwa?!
 
Kumbe anayetembea na wagonjwa kama mabango hapo ni kiongozi wa chadema.sikujua
 
Kwa kweli mwigulu nchemba ameongea kweli hawa chadema wanataka tuwe kama wasomalia kila siku vita,tunashukuru watanzania wanaelewa umuhimu wa aman yetu na hawapo tayari kuiingiza nchi kwenye dimbwi la damu.Tunatamani upinzani ila sio chagadema.
Sikufikiria kama unaweza kuwa mpuuzi kiasi hicho,hata watu machozi hayajakauka ya Mwangosi wewe leo unakuja na ngonjera za kijinga kiasi hicho nimekudharau sana na sidhani kama una familia wewe,na hata kama unayo basi mwanao ana akili kushinda wewe mbulula.
 
Kwa hiyo pakitokea mahali pengine mtampeleka tena huyu?watu wa haki za binadamu mkoo wapi??je mwenyekiti chama umelifumbia macho,na wadau wa siasa hili liko sawa kumfedhehesha binadamu kiasi hiki ?kwa sababu ya umasikini wake??naombeni jamaani tusitafute kura kwa siasa chafu kiasi hiki badilikeni ndugu zangu,msipende kuonewa huruma ,,chapeni kazi wananchi ndio watakao tathimini utendaji wenu,mbona hamuwatembezi kina dr ulimboka, kina absalom!au wao wana miili ya chuma??
 
kuna mambo ya msingi ambayo mtanzania makini anatakiwa kujiuliza kuhusu hii picha ya Mwigulu Nchemba anayo endelea nayo.

1. Aliyekuwa mgombea wa CHADEMA kata ya Ubagwe wilaya ya Ushetu mkoa wa Shinyanga Bwana Ahmad Ngoma alichomewa Nyumba na vijana wa Greenguard ambao baadae walivamia msafara wa mbunge Kasulumbai. Mbona halisemei hili na halioni kuwa ni tukio la kinyama la kusababisha familia ya mtu kukosa makazi?

2. Kijana wanaye sema amemwagiwa tindikali na vijana wa CHADEMA kama mtakumbuka kesi yake ndio iliwafanya kina Kileo kupewa kesi ya ugaidi ambayo ilifutwa na mahakama na kina Kilewo na wenzake kufutiwa mashtaka ya kigaidi, sasa hivi kuna kesi ya kuhudhuru mwili ambao upande wa serikali unasema ushahidi bado hauja kamilika. Kama Mwigulu ana ushahidi kwa nini atembee na kijana huyo kwenye mikutano na asipeleke ushahidi ili hao anao sema ni vijana wa CHADEMA wafungwe?, Huko nako sio kuingilia uhuru wa mahakama?

3. Mwigulu analalamika kuwa kwenye kijiji cha Waswa walitegewa misumali na CHADEMA, CHADEMA jana walikuwa na mkutano kwenye kijiji hicho iweje CHADEMA wajitegee misumali wenyewe?! Lakini taarifa zilizopo polisi ni kwamba vijana waliotega misumali na kuweka mawe barabarani wanajulikana mbona hawaja kamatwa vijana wa CHADEMA?

4. Mhanga wa ushetu alikuwa dereva wa CCM aliye endesha gari iliyowateka vijana wa CHADEMA kwenye uchaguzi mdogo wa USHETU, Mbona hasemi kuwa gari ya CCM ilivunjwa vioo na dereva kujeruhiwa na wanakijiji wenye hasira baada ya kuona mwenzao katekwa?!

5. Kwenye tukio la ushetu walikamatwa vijana 15 pamoja na mbunge Kasulumbai wa CHADEMA, hadi leo hakuna hata kijana mmoja mmoja wa CHADEMA aliyerumande kwa tukio hilo na hakuna ushahidi wa wao kuhusika. Kama Mwigulu anawajua vijana wa CHADEMA walio husika na tukio hilo kwa nini asiisaidie Polisi ili anao ita vijana wa CHADEMA walio husika na tukio wakakamatwa?!

Mtoi seeing is believing propaganda ya Mwigulu isipopanguliwa with aggresive measures inaweza ikawapa advantage unajua uelewa wa watu wa vijijini munataka kula naye sahani moja kwa kuelezea umma jinsi anavyotumia advantage ya kuwafanya watu sanamu sikujua hata huyo baba mwenye tumbo kubwa la njano ambaye anabiashara zake kubwa kubwa Kahama anaweza geuzwa sambusa ya kuuzwa sokoni ukiwa CCM na akili nayo inahama
 
Nina imani mwigulu atakufa amenyofoka nyofoka huwezi ukawasababishia vilema binadamu wenzio halafu ukageuka nyuma ukajikausha kama uhusiki na kuanza kuwaanika kama makambare mbele za wananchi ili uendelee kuiba mali za umma mwangalie hapa anawaza uongo wake, nina imani hata huko Iramba akifa mwigulu watachimba kaburi futi elfu kumi kwa kuogopa mzimu wa mtu mwenye laana asije akarudi duniani na kuumiza binadamu wengine
 
Chadema ni sawa na Alshabaab tu.

Viongozi wao wanatumia maisha ya watu kama mtaji wa siasa

Chriss Lukosi ni vema ukaangalia picha hii juu ya unyama aliofanyiwa Mwenyekiti wa CHADEMA kule Usariver Arumeru pamoja na ile ya Bomu la Soweto na Mauaji ya Mwangosi je unayachukuliaje haya? je ni kweli hiki ulichokiandika kipo harisi au umeandika kwa sababu ya ushabiki tu?

View attachment 142170

arusha2.jpg

mwangosi 4.jpg

Moderator Samahani kwa hizi picha nilizoziweka nimeyafanya haya ili angalau tulinganishe hiki anachokifanya Mwigulu na uhovu huu waliofanyiwa hawa Marehemu.
 
1622176_673540786041329_124503048_n.jpg
1780655_673540839374657_1516800168_n.jpg
1902026_673540866041321_296530695_n.jpg

Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Mh:Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa kata ya Ifakara wakati wa Mkutano wa Kufungua Kampeni uliofanyika Jana Tar.27/02/2014.Hapa akiwa na Wahanga wa siasa chafu zinazodaiwa Kufanywa na Chadema kupitia Vijana wake wa Redbrigade.Mwenye T-shirt ya Njano ni Mzee Alphonce John ambaye alitopolewa Macho kwa dispisi wakati wa Uchaguzi wa Udiwani huko Kahama Mwezi uliopita.

Mwigine mwenye Shati la Kijana ni Kijana Musa Tesha ambaye alimwagiwa Tindikali na Vijana wanaodaiwa Kuwa wa Chadema huko Igunga wakati wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo hilo.Mh:Mwigulu Nchemba jana amesisitiza Wananchi wa Kalenga kuwa makini na siasa Chafu za Chadema zinazofanywa sehemu mbalimbali hasa kwenye nyakati kama hizi za Uchaguzi.Amesisitiza kuwa kwenye Chaguzi zozote Vyama vya siasa vinashindanisha Sera na hoja kuhusu Maendeleo ya Wananchi wa eleo hilo,Mkataba wa CCM na Wananchi ni Maendeleo katika Taifa hili,Umoja na Mshikamano ndio ngao ya MwanaCCM yeyote.

Mwigulu Nchemba amesema dhambi ya Mauaji na Unyama unaoendelea kwenye mikutano ya siasa na maeneo mbalimbali haitamwacha Dr.slaa Salama kutokana na yeye kuwa kiongozi anayebariki Siasa chafu hizo.

Chanzo:Kalenga

Kama vyombo vya usalama vingetekeleza majukumu yake, Nchemba na hao vinyago wake wangeshasimama kitambo mahakamani khtoa ushahidi wa matukio hayo.
 
1622176_673540786041329_124503048_n.jpg
1780655_673540839374657_1516800168_n.jpg
1902026_673540866041321_296530695_n.jpg

Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Mh:Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa kata ya Ifakara wakati wa Mkutano wa Kufungua Kampeni uliofanyika Jana Tar.27/02/2014.Hapa akiwa na Wahanga wa siasa chafu zinazodaiwa Kufanywa na Chadema kupitia Vijana wake wa Redbrigade.Mwenye T-shirt ya Njano ni Mzee Alphonce John ambaye alitopolewa Macho kwa dispisi wakati wa Uchaguzi wa Udiwani huko Kahama Mwezi uliopita.

Mwigine mwenye Shati la Kijana ni Kijana Musa Tesha ambaye alimwagiwa Tindikali na Vijana wanaodaiwa Kuwa wa Chadema huko Igunga wakati wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo hilo.Mh:Mwigulu Nchemba jana amesisitiza Wananchi wa Kalenga kuwa makini na siasa Chafu za Chadema zinazofanywa sehemu mbalimbali hasa kwenye nyakati kama hizi za Uchaguzi.Amesisitiza kuwa kwenye Chaguzi zozote Vyama vya siasa vinashindanisha Sera na hoja kuhusu Maendeleo ya Wananchi wa eleo hilo,Mkataba wa CCM na Wananchi ni Maendeleo katika Taifa hili,Umoja na Mshikamano ndio ngao ya MwanaCCM yeyote.

Mwigulu Nchemba amesema dhambi ya Mauaji na Unyama unaoendelea kwenye mikutano ya siasa na maeneo mbalimbali haitamwacha Dr.slaa Salama kutokana na yeye kuwa kiongozi anayebariki Siasa chafu hizo.

Chanzo:Kalenga

mwanamme kufanywa katuni kila siku,iko siku watafi*fwa hawa
 
CCM ni chama kinachoendesha siasa chafu,za kijinga na za kishamba sana....tatizo CHADEMA haina viongozi creative ambao wanaweza ku-counter attack hizi siasa kimatendo na kisera....
Wao wanapambana kwa kufanya vibaya zaidi!
 
Kuna watu wanapost humu kuwa Mwigulu ni muongo, eti kwanini wahusika hawajacgukuliwa hatua, kumbe kuna kesi mahakamani? Hebu tuambieni watuhumiwa ni akina nani?

Hiki ulichokiandika ni sawa na sasa tuamie upandewa pili naomba majibu kwa matukio yafuatayo ambayo watu walijichukulia sheriamkononi na jiulize wameisha kamatwa na kushitakiwa?
1. Aliyemmwagia Tindikali Said Kubenea
2. Aliyemteka na kumtesa Dr. Ulimboka
3. Aliyemuua Mwangosi
4. Waliomuua kwa kumchinja Mwenyekiti wa CHADEMAkule Usariver
5. Wale vijana wa UVCCM waliowashambulia wabungewa CHADEMA kule Mwanza
6. Waliomteka na kumtesa Kibanda
7. Waliomuwekea sumu Mwakyembe
8. Waliomgonga kwa makusudi Mwakyembe kwa lengola Kumuua
9. Waliomuua yule Kada wa CHADEMA kule Igunga
10. waliolipua Bomu katika Mkutano wa CHADEMApale Soweto
11. Waliolipua Kanisani Olasit, Yule kijanawaliyemrundikia zile tuhuma sidhani kama ni mtuhumiwa halali.
12. Waliomuua Padri kule Zanzibar
13. Waliowamwagia Tindikali wale Mabinti wa UK
14. Waliomshambulia hadi kusababisha kifo cha Dr. mvungi
15. Waliosababisha kifo cha Mgimwa(R.I.P) waziri wa fedha

Ndugu Tambua kuna mambo mengi yametokea lakinihayajachukuliwa Hatua na tunabaki tunajiuliza kwa nini Kada yeyote wa CDMakipata tuhuma hukumu ni faster lakini kwa makada wa CCM inakuwa tofauti?
 
Back
Top Bottom