Elections 2015 Mwigulu Nchemba: Huu Unyama Una baraka zote za Dr. Slaa na genge lake

Elections 2015 Mwigulu Nchemba: Huu Unyama Una baraka zote za Dr. Slaa na genge lake

Mimi ni mhehe, na nimetokea Kalenga

Sisi watu wa Kalenga hatuna tabia ya kuzomea, kama hatukutaki tunakuambia usoni bila kuficha

CCM Itashinda kwa kishindo kalenga, na kama ikiwa tofauti mimi nitarudi Kalenga kwa miguu kutoka huku

Cdm imekwisha kilichobaki ni kwenda kuzikwa.
Kata 3
Chopa 3 imewakatisha tamaa.
 
Hapo sasa ndio huwa nabaki hoi na nchi hii. Huyo ni msomi tena mchumi wa daraja la kwanza sijui nini, hana ubunifu kabisa kila siku amebaki kama bibi yangu kutumia mbinu zile zile za kizamani. Yaani Mwigulu kila kampeni anapanda na mtu yuleyule anamwaga sera, sasa sijui ni sera gani za mtu aliyeumizwa ambazo zitamkomboa mwananchi. Anaweza kujitetea kwamba anataka kuwaonyesha wananchi jinsi cdm walivyowabaya ni kweli. Ila miaka yote na mtu huyo huyo wakati hasemi sababu zinazosababisha umeme upande bei kiasi hiki. Sitaki kuamini kwamba wasomi ndio hao hawana ubunifu kiasi hiki.
Ila ni kosa letu watanzania tumezoea kuchagua viongozi kwa mazoea, na hatuna muda wa kuwauliza maswali magumu na wenyewe hawataki maswali magumu bali wanataka kura zetu kwa kutujia na watu waliojeruhiwa. Kama kweli ana uchungu na hao watu waliumizwa mbona hajaenda na Dr. Ulimboka anayesema anamjua mpaka aliyemteka? Nazidi kuwadharau wasomi wa nchi hii.

kinacho nishanzanga zaidi, ni waziri wa wizara nyeti, hambayo kama taifa tuna mtegemea sana katika kukuza uchumi wetu, akika mtu huyu ananifanya niidharau sana serekali ya nchi yangu. watu kama mwigulu na akili zao na mambo anayo yafanya yame mfanya awe waziri it's weird kwakweli....
 
Mimi ni mhehe, na nimetokea Kalenga

Sisi watu wa Kalenga hatuna tabia ya kuzomea, kama hatukutaki tunakuambia usoni bila kuficha

CCM Itashinda kwa kishindo kalenga, na kama ikiwa tofauti mimi nitarudi Kalenga kwa miguu kutoka huku

Acha ujinga wewe utembee kwa mguu toka wapi au unataka kila mtu ajue upo Uk.
 
Wote watatu hapo juu HAZIIIMO.HAZIMO KABISA....Siasa zetu ni za kitoto tena kitoto kweli
 
1891061_611619558891872_77499463_n.jpg
14870_611619582225203_356505408_n.jpg
1653248_611619652225196_1506709609_n.jpg

Mwigulu anasema"Mchakamchaka Unaendelea Kalenga,Hii leo 28/02/2014 kazi imefanyika Kijiji Cha Kidamali.Tunafanya kazi ya Kuhakikisha Tar.16/03/2014 Ushindi wa Kishindo Unapatikana kwa Chama Cha Mapinduzi.
Asanteni Wanakalenga Kijiji Cha Kidamali,Kura Zote za NDIO Kwa Kijana Godfrey William Mgimwa.
UMOJA NI USHINDI"

MY TAKE:Kwa upepo Ulivyo huku Kalenga,Ni bora CHADEMA Wakajitoa Mapema Kwenye Uchaguzi Kuliko aibu wanayokwenda Kukutana nayo,Yaani kila kijiji ukipita Vijana wanamuunga Mkono Godfrey.Chadema wanafanya kazi ya Kuzunguka tu na Magari yao ya M4C,Kwenye Kijiji cha Kidamali tumekutana na Vijana Sita Kutoka ARUSHA wamepangishiwa Nyumba na Chadema kwaajili ya kazi maalumu"Sijui kama sio Tindikali".
Pia nahofia Chadema inakwenda Kufilisika Kabisa,Ngoma inahamia Chalinze mapema mweziz wa Kesho,Kalenga mtapigwa kwa kishindo,Chalinze je Mtasimamisha??
 
Kweli kuna ufundi wa kupiga picha ili ionekane kama vile watu walikuwa ni wengi saaaana. Yaani unahakisisha unapiga kwa karibu kiasi kwamba eneo lililo tupu la uwanja unahakikisha umelikatia nje ya picha. Hongereni sana CCM. Kuna watu huwezi ukawandanganya kwa njia rahisi hivyo.
 
kwa ujinga wetu watu wanakubali kutumika kwa maslahi ya wengine """"mchawi mpe mwanao amlee"""""""
 
Chadema haya maneno yanayoendelea yakipuuzwa jueni yana madhara
Mwenye akili atakuwa amenielewa
 
Mwigulu Nchema anazalilisha mkuu wake (JK) na serikali yake maana kama anaoushahidi apeleke kwa polisi ili wafanye kazi yao na siyo kwa wana ccm wa Kalenga (maana naona kwenye picha ni wanaccm pekee). Huu mchezo anaocheza Mwigulu anajichosha maana Dr. Slaa yupo Kalenga na atajibu vema huo uzushi.
 
Mtu mzima anapokubali kufanywa toy na kijana mdogo kama mwigulu inatia shaka upeo wake wa kufikiri.
 
1622176_673540786041329_124503048_n.jpg
1780655_673540839374657_1516800168_n.jpg
1902026_673540866041321_296530695_n.jpg

Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Mh:Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa kata ya Ifakara wakati wa Mkutano wa Kufungua Kampeni uliofanyika Jana Tar.27/02/2014.Hapa akiwa na Wahanga wa siasa chafu zinazodaiwa Kufanywa na Chadema kupitia Vijana wake wa Redbrigade.Mwenye T-shirt ya Njano ni Mzee Alphonce John ambaye alitopolewa Macho kwa dispisi wakati wa Uchaguzi wa Udiwani huko Kahama Mwezi uliopita.

Mwigine mwenye Shati la Kijana ni Kijana Musa Tesha ambaye alimwagiwa Tindikali na Vijana wanaodaiwa Kuwa wa Chadema huko Igunga wakati wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo hilo.Mh:Mwigulu Nchemba jana amesisitiza Wananchi wa Kalenga kuwa makini na siasa Chafu za Chadema zinazofanywa sehemu mbalimbali hasa kwenye nyakati kama hizi za Uchaguzi.Amesisitiza kuwa kwenye Chaguzi zozote Vyama vya siasa vinashindanisha Sera na hoja kuhusu Maendeleo ya Wananchi wa eleo hilo,Mkataba wa CCM na Wananchi ni Maendeleo katika Taifa hili,Umoja na Mshikamano ndio ngao ya MwanaCCM yeyote.

Mwigulu Nchemba amesema dhambi ya Mauaji na Unyama unaoendelea kwenye mikutano ya siasa na maeneo mbalimbali haitamwacha Dr.slaa Salama kutokana na yeye kuwa kiongozi anayebariki Siasa chafu hizo.

Chanzo:Kalenga

Mwigulu usitafute huruma kwa wananchi, unyama wenu tunaujua. je mkakati wako wa kubambikia kesi viongozi wa chadema uliishia wapi baada ya kubwgwa mahakamani?
 
Back
Top Bottom