Murr Mull
Senior Member
- Jan 6, 2013
- 148
- 23
Mgimwa alikuwa waziri wa fedha akashindwa kuwasaidia, iweje naibu?
tena alikuwa ndio mbunge wa jimbo hilo itakuwa yeye wa iramba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgimwa alikuwa waziri wa fedha akashindwa kuwasaidia, iweje naibu?
Vp wewe kanjanja harakati zenu kwenye misikiti zinaendeleaje?Vipi cdm hawapeleki majeneza huko kalenga safari hii?
Maana kila uonapo jeneza inabidi ulize mkutano wa cdm uko wapi
Mimi ni mhehe, na nimetokea Kalenga
Sisi watu wa Kalenga hatuna tabia ya kuzomea, kama hatukutaki tunakuambia usoni bila kuficha
CCM Itashinda kwa kishindo kalenga, na kama ikiwa tofauti mimi nitarudi Kalenga kwa miguu kutoka huku
Hapo sasa ndio huwa nabaki hoi na nchi hii. Huyo ni msomi tena mchumi wa daraja la kwanza sijui nini, hana ubunifu kabisa kila siku amebaki kama bibi yangu kutumia mbinu zile zile za kizamani. Yaani Mwigulu kila kampeni anapanda na mtu yuleyule anamwaga sera, sasa sijui ni sera gani za mtu aliyeumizwa ambazo zitamkomboa mwananchi. Anaweza kujitetea kwamba anataka kuwaonyesha wananchi jinsi cdm walivyowabaya ni kweli. Ila miaka yote na mtu huyo huyo wakati hasemi sababu zinazosababisha umeme upande bei kiasi hiki. Sitaki kuamini kwamba wasomi ndio hao hawana ubunifu kiasi hiki.
Ila ni kosa letu watanzania tumezoea kuchagua viongozi kwa mazoea, na hatuna muda wa kuwauliza maswali magumu na wenyewe hawataki maswali magumu bali wanataka kura zetu kwa kutujia na watu waliojeruhiwa. Kama kweli ana uchungu na hao watu waliumizwa mbona hajaenda na Dr. Ulimboka anayesema anamjua mpaka aliyemteka? Nazidi kuwadharau wasomi wa nchi hii.
Mimi ni mhehe, na nimetokea Kalenga
Sisi watu wa Kalenga hatuna tabia ya kuzomea, kama hatukutaki tunakuambia usoni bila kuficha
CCM Itashinda kwa kishindo kalenga, na kama ikiwa tofauti mimi nitarudi Kalenga kwa miguu kutoka huku
Hizi picha zitakuwa sio za kalenga.Hizo picha za mwaka 2010.
Hizi picha zitakuwa sio za kalenga.Hizo picha za mwaka 2010.
Uzuri wa mikutano ya CCM inahudhuriwa na wapiga kura.
![]()
![]()
![]()
Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Mh:Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa kata ya Ifakara wakati wa Mkutano wa Kufungua Kampeni uliofanyika Jana Tar.27/02/2014.Hapa akiwa na Wahanga wa siasa chafu zinazodaiwa Kufanywa na Chadema kupitia Vijana wake wa Redbrigade.Mwenye T-shirt ya Njano ni Mzee Alphonce John ambaye alitopolewa Macho kwa dispisi wakati wa Uchaguzi wa Udiwani huko Kahama Mwezi uliopita.
Mwigine mwenye Shati la Kijana ni Kijana Musa Tesha ambaye alimwagiwa Tindikali na Vijana wanaodaiwa Kuwa wa Chadema huko Igunga wakati wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo hilo.Mh:Mwigulu Nchemba jana amesisitiza Wananchi wa Kalenga kuwa makini na siasa Chafu za Chadema zinazofanywa sehemu mbalimbali hasa kwenye nyakati kama hizi za Uchaguzi.Amesisitiza kuwa kwenye Chaguzi zozote Vyama vya siasa vinashindanisha Sera na hoja kuhusu Maendeleo ya Wananchi wa eleo hilo,Mkataba wa CCM na Wananchi ni Maendeleo katika Taifa hili,Umoja na Mshikamano ndio ngao ya MwanaCCM yeyote.
Mwigulu Nchemba amesema dhambi ya Mauaji na Unyama unaoendelea kwenye mikutano ya siasa na maeneo mbalimbali haitamwacha Dr.slaa Salama kutokana na yeye kuwa kiongozi anayebariki Siasa chafu hizo.
Chanzo:Kalenga