Wewe sio mfanya biashara , na hii slogan yenu ya kila mtu kumpa jina na la mpiga dili ndio imemfelisha sana Magu .Kama pesa yako safi hakuna cha kuogopa bwashee. Tatizo mnaishi kwa magendo.
Mbona sisi tunafanya biashara na tunaelewa nia njema ya serikali.
Tatizo lake Mwigulu haaminiki! 😇 Ni hilo tu! Kazi anafanya vizuri tu! Ni kada mzuri tu! Ni mfia chama mzuri tu! Ila HAAMINIKI!Mama kwa mwigulu amechemka tena vibaya mnooo
ID yako ya zamani mbona umeitelekeza? Nikutaje?Wenye wivu kesheni mkiomba.
Hata wakitolewa utateuliwa wewe au mmeo?
Mafisadi mtanyooka tu.
Mkuu badala ya kuendelea na ile stori unazurura huku?😳😳😳ID yako ya zamani mbona umeitelekeza? Nikutaje?