Mwigulu Nchemba kuongoza Wizara ya fedha ni pigo kubwa kwa Wafanyabiashara na Walipa kodi

Mwigulu Nchemba kuongoza Wizara ya fedha ni pigo kubwa kwa Wafanyabiashara na Walipa kodi

Huyu Mwigulu ni hatari sana; hafai. Kila mtandao ninaofungua nakuta anapingwa kwa nguvu zote. Tukumbuke kuwa enzi za uwaziri wake alikuwa kinara wa kuwabambika kodi wafanyabiashara na aliua biashara nyingi sana hadi JPM akaamua kumuondoa pale. Sijui mama Samia ametumia kigezo gani kumpa kumteua huyu jamaa lakini nadhani ataiharibu sana hii wizara.
 
Anamiliki mabasi ya esther sijui kama huwa yanalipa kodi
 
Mimi naunga uteuzi wa Mwigulu! Ni mtaalaamu katika eneo hili,after then kwa kuwa VP ni Mchumi aliyebobea nadhani atamdhibiti hatafanya mambo ya ovyo ovyo.Kwa hiyo nadhani wafanya biashara musiwe na wasi wasi huu ni utawala mpya ndiyo maana unajipanga upya.
Sema upinzani ungekuwepo hiyo wizara angeiona ya moto!
 
Kama pesa yako safi hakuna cha kuogopa bwashee. Tatizo mnaishi kwa magendo.

Mbona sisi tunafanya biashara na tunaelewa nia njema ya serikali.
Wewe sio mfanya biashara , na hii slogan yenu ya kila mtu kumpa jina na la mpiga dili ndio imemfelisha sana Magu .
Taka usitake mfanyabiashara ndo mlipa kodi
 
Daah kwa roporopo huyu Mwigulu, angebakia tu kwenye katiba na sheria akidakia mambo au angepelekwa tu, kwenye habari na michezo..kule kungemfaa!

Lakini muda ni mwalimu Labda ataacha mihemeko ya kibashite na kufanya wonders!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Mama hapa kakosea. Huyu Mnyiramba mahesabu yake ni Urais. Hapa alipo muweka, kampeleka karibu na wafanya biashara ili kupata pesa za kujiimatisha. Mh Rais Mwigulu hafai hapa!!!
 
Mama kwa mwigulu amechemka tena vibaya mnooo
Tatizo lake Mwigulu haaminiki! 😇 Ni hilo tu! Kazi anafanya vizuri tu! Ni kada mzuri tu! Ni mfia chama mzuri tu! Ila HAAMINIKI!
 
Inategemea Mkuu sidhani kama atapisha na bosi wake, hawa si wanabadilika kutokana na mfumo anaweza akawa wa kawaida tu na zaidi ni mchumi pia
 
Kwa kweli Mwigulu ni janga kwa wafanyabiashara
 
Umenena vema Sana japo nakuona unataka kulia kwa uchungu na hasira.
Mwingulu Nchemba ni katiri+ katiri+katiri=KAFIRI
 
Back
Top Bottom