pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
tatizo la Mwigulu ndio hilo hapo juu. Huyu mtu bado anajiona anafaa kuja kuwa raisi. hafai na ashukuru kuwa anaongoza watu wa jimbo la singida ingekuwa mikoa inayojitambua asingepata!Wizara hii muhimu ilihitaji Waziri msikivu asiyejikweza kwa kiburi cha madaraka