Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #101
Mungu ibariki JF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni leftist, ana msimamo mkali. Sio liberalKwahiyo mwigulu ni nyoka
Ni leftist, ana msimamo mkali. Sio liberal
umewahi kulipa kodi yoyote ?Naunga mkono bajeti hii, ili tufikie malengo nilazima tuchangie. Bajeti imegusa Kila mtanzania Kwakumpa maisha hora na salama
Huyu mleta mada ni bingwa wa fitina za humu jukwaani.Wacha tumpe muda, Me na ww hatujui kipimo kilichotumika [emoji1607]
Wasaidizi wake hawana taaluma pia?. Hafanyi kazi peke yake anazungukwa na team ya wataalam.Wizara ya fedha ni nyeti inahitaji mtu mwenye taaluma hiyo, Mwigulu hana taaluma hiyo
Wewe na nani?Kama pesa yako safi hakuna cha kuogopa bwashee. Tatizo mnaishi kwa magendo.
Mbona sisi tunafanya biashara na tunaelewa nia njema ya serikali.
Tatizo hujui serikali inaendeshwaje? Hii budget inapitishwa na serikali na waziri wa fedha ni msomaji tuMungu ibariki JF
niliwahi kumfitini nani ?Huyu mleta mada ni bingwa wa fitina za humu jukwaani.
Wewe ni fundi wa fitina za kisiasa.niliwahi kumfitini nani ?
Sijui ! hivi mtu wa kiwango cha kugombea ubunge aweza asijue serikali inavyoendeshwa ? halafu ni kikao gani cha serikali nzima kilichokaa na kuamua kuiba hela za wafanyabiashara kwenye akaunti zao ?Tatizo hujui serikali inaendeshwaje? Hii budget inapitishwa na serikali na waziri wa fedha ni msomaji tu
Hivi kugombea hata ambaye hakwenda shule bali anajua kusoma na kuandika anagombea. Hata Mbowe hajui jinsi serikali inavyoendeshwa maana hajawahi kuwa hata assistant director. Achana na mpuuzi Tundu Lissu maana hata faili hajawahi kuligusa la serikali. Budget iliyosomwa leo lazima Samia apitie ukurasa kwa ukurasa maana ni yakeSijui ! hivi mtu wa kiwango cha kugombea ubunge aweza asijue serikali inavyoendeshwa ? halafu ni kikao gani cha serikali nzima kilichokaa na kuamua kuiba hela za wafanyabiashara kwenye akaunti zao ?
Kumiliki laini ya simu utalambwa elfu 6 kwa mweziTulikua na Dr. Mpango na hakuna kila Rangi tuliacha kuona.... Tumpe nafasi mama
Mbona na wewe unalia kwenye miamala ? tulishakuambieni kwamba Shetani hana rafikiVipi ule waraka wa CHADEMA kuwa Rais anatakiwa kuvunja Baraza? Katibu aliwaingiza Chaka?