Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Got it, Ila mwigulu atashinda.😏😏😏Sihitaji kujua. Point ni kwamba Kitila Mkumbo atagombea jimbo linaloongonzwa na Mwigulu. Katika medicine bora useme haujui kuliko kuandika jibu la uongo.
Huyo kijana anaitwa Musa alimwagiwa tindi kali kwenye uchaguzi Igunga ambako Mwigulu alikamatwa ugoni,alikuwa anatembea na huyo kijana kwenye gari na kina Mwambapa na kina Shonza.Mwigulu ni shetani lililojivika sura ya binadamu. Kuna kipindi alikuwa anamtumia kijana mmoja alimwagiwa tindikali kama mtaji wa kisiasa kila chocho kila media anampeleka.
KabisaMwigulu huitetei nchi, bali unajipendekeza kwa rais kwakuwa anaweza kukupa madaraka, ambayo yatakufanya ww, familia yako na ukoo wenu kuepukana na umasikini. Huna historia ya kuitetea nchi, bali siku zote umekuwa na utamaduni wa kukitetea ccm, maana huko ndio una nafasi ya kuepukana na umasikini. Isitoshe we sio mtu muadilifu, bali ni mtu wa siasa za chuki, ukatili na uhasama. Unajipa jukumu la kumtetea rais kwani kwa yale uliyoyafanya, cheo cha urais tu ndio kinaweza kukupa cover. Lakini kwa maneno marahisi ww sio mzalendo, bali ni muhuni mwenye madaraka ya kujipendekeza.
Unafiki mtupu1) Kwa Ushupavu wa Rais wetu, Watanzania tumeendelea na shughuli zetu zote, Hatuwazi Jambo moja tu la UCHAGUZI tuseme mazingira ya Corona, TANZANIA uchaguzi na kazi zote zinaendelea vilevile...
Wewe huna haki ya kusema lolote, kabla ya kupewa ulaji mbona ulikua kimya kabisa leo hii ndio umeamka? Hizi njaa zimewageuza mashetani1) Kwa Ushupavu wa Rais wetu, Watanzania tumeendelea na shughuli zetu zote, Hatuwazi Jambo moja tu la UCHAGUZI tuseme mazingira ya Corona, TANZANIA uchaguzi na kazi zote zinaendelea vilevile.
2) Tanzania ni nchi HURU, Watanzania tunafanya kazi zote bila uangalizi wa mtu yeyote toka kwa mabeberu, Hatuhitaji KIRANJA kutoka popote awe mwangalizi au MCHOCHEZI aseme ndio kilichofanywa au kilichosemwa kiwe na UHALALI.
KIRANJA wetu ni Rais wetu...
Mwigulu, umeanza kulewa madaraka mapema hivi? Huyo Magufuli angekuwa hana tamaa ya madaraka ange amuru TL achapwe risasi mchana kweupe?1) Kwa Ushupavu wa Rais wetu, Watanzania tumeendelea na shughuli zetu zote, Hatuwazi Jambo moja tu la UCHAGUZI tuseme mazingira ya Corona, TANZANIA uchaguzi na kazi zote zinaendelea vilevile.
2) Tanzania ni nchi HURU, Watanzania tunafanya kazi zote bila uangalizi wa mtu yeyote toka kwa mabeberu, Hatuhitaji KIRANJA kutoka popote awe mwangalizi au MCHOCHEZI aseme ndio kilichofanywa au kilichosemwa kiwe na UHALALI...
Kusifia pumba ndo kumemtoa.Wewe huna haki ya kusema lolote, kabla ya kupewa ulaji mbona ulikua kimya kabisa leo hii ndio umeamka? Hizi njaa zimewageuza mashetani
Ni kama huko akilini mwangu vile, niko nawaza kumbe nami naweza kumzidi japo sina PhD, Elimu yetu imeporomoka sana kama mwenye PhD anaandika hivi!!. na ndio maana nakutana na vijana waliomaliza kidato cha 4 lkn hawawezi kuandika milioni 1 kwa tarakimu.Napata shida kuamini kama hayo maneno yametoka kwa msomi first class
Hivi si ndo huyu aliyepeleka mswada wa sheria ya kinga kwa viongozi wanne wa juu?Huyu ndiye waziri wa Katiba na sheria wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania