Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wewe mzee sijui una tatizo gani? kudai tume huru kuna kutoa povu na wakati mmejenga viwanda, barabara, sijui ndege na Iramba sasahivi lami mpaka kwenye nyumba za tembe yaani Iramba ni zaidi ya Moshi, shida yenu nini?
Hivi nyie Tanzania ndiyo yenu peke yenu wengine hawaruhusiwi kuwa na fikira tofauti na nyie? Unajua unafisia siyo kutoka moyoni isipokuwa ni kumpamba mzee masifa aendelee kukuteua.
Hivi nyie Tanzania ndiyo yenu peke yenu wengine hawaruhusiwi kuwa na fikira tofauti na nyie? Unajua unafisia siyo kutoka moyoni isipokuwa ni kumpamba mzee masifa aendelee kukuteua.