Uchaguzi 2020 Mwigulu Nchemba: Rais wetu ni Magufuli, waambieni waliowatuma enyi wenye tamaa ya Madaraka

Dah mkuu umeniwahi, wewe ukiuweka kule kwenye mitandao ya mabeberu (Twitter,FB,Instagram) jua tu utafika hapa JF 😀
 
Nauliza tu,, kwani hatuwezi kuchukua waangalizi wa kimataifa nchini Burundi na Uganda hata Rwanda?? Ninlazima watoke ulaya ???
 
Endelea kusifia Mwigulu ili utetee tumbo lako maana elimu mlizosoma nyie mnaojiita wasomi wa nchi hazijawakomboa kifikra kwani mnaamini bila siasa na kujikomba kwa binadamu mwenzio huwezi kuishi kwa kupata tonge...Jitu zima unakaa kutumia mda wako kutype unamsifia mwanamme mwenzako hata aibu huna..Njaa mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…