Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mheshimiwa neno kuntu kabisa hili. Wanajaribu kutikisa meli kwa mikono huku wamo ndani. Hawana madhara yoyote wananchi tunaona na tutawaadhibu.
Mwanaume wenu anakwambia huwa napenda sana kuangalia cloud.
Badala ya kusema clouds anasema cloud.
Ila Mwigulu unajikomba sana
Wakitoa misaada wanaitwa "washirika wa maendeleo"!Wakitoa misaada WAFADHILI ,Wakikosoa MABEBERU Mwigulu Nchemba
Membe kisa anautaka Urais ndio anatudanganya na mambo ya tume huru.
Yaani ni kama ukimwaga mafuta ya taa kwenye shimo la nyoka watachomoka tu.Membe anawatesa sana,kasema sentesi moja mmetoka shimoni
Yaani Membe hajawahi kusema tume huru wakati anashinda ubunge Mara zote Leo yuko nje ndo atake tume huru anayotaka yeye, ajiandae kunyolewa tu
Yaani ni kama ukimwaga mafuta ya taa kwenye shimo la nyoka watachomoka tu.
Lini alikwambia hayaWhy Rais wenu anapenda kusifiwa tu muda wote? Yeye hakosei? And Mkuu kwenye watu mil 50 unataka wote wafanane mawazo??? Hiyo kitu haiwezekani! Even God was and still is challenged! Acheni huo ulimbukeni wa madaraka.