Kinjeketile
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 999
- 1,683
Ilimu yetu ina walakini sehemu fulaniHii ndio Tanzania mpya ambayo hata ukiwa na PHD huna uhakika wa mkate wako wa kila siku. Inabidi ujipendekeze ili uweze ku survive!
[emoji38][emoji38] umenchekesha Sana brounakuwa mpambe kuliko upambe wenyewe. Phd anashundana wehu na wehi
Na huyo ndio kiboko wa mabeberu na mawakala wao. Kila mlango wanaoujaribu wanakuta umefungwa.Yaani muangalizi huyo huyo,mgombea huyo huyo,muhesabu kura huyo huyo na mpanga matokeo huyo huyo
Tanzania ni Tanzania na Kenya ni Kenya.Mhe. P,
Sifa moja ya Wasukuma ni unafiki, umbeya na kujikomba kwa Sana!
Hivi kwa akili yako ukiwa tena mwana Habari(by profession) unathubutu kusema Tanzania na TUME HURU? Really? You must be joking seriously!
Yaani NEC iliyojaa wateule wa Mhe. Rais wa CCM, kuanzia Mwenyekiti, Mkurugenzi na Wasimamizi wote( Wakurugenzi wa Halmshauri na Majiji ) halafu useme hiyo Ni NEC HURU?
Je, unaweza kuilinganisha Tume ya Uchaguzi Tanzania (NEC) na Tume Huru ya Uchaguzi Kenya(IEBC) na utuambie hapa kama ziko sawa?
Bila kumjaji yeyote yule, hebu tuliangazie hili;Clouds = Tibandebage
Cloud = Tiba
Na usije uka dhani Clouds ni mawingu! La hasha ni jina sasa kama TAZARA, CHADEMA, Tandika kuna kituo cha daladala kinaitwa FOMA - kwasababu kuna transformer ya Tanesco etc.
Nani amekuzuia kukosoa hayo mapungufu yake? We utakuwa huyaoni ndio maana unafunga domo.Why Rais wenu anapenda kusifiwa tu muda wote? Yeye hakosei? And Mkuu kwenye watu mil 50 unataka wote wafanane mawazo??? Hiyo kitu haiwezekani! Even God was and still is challenged! Acheni huo ulimbukeni wa madaraka.
Nakuheshimu sana Pascal ila kwa hili, nakushangaa. Hivi DED ambaye ni mteule wa Rais anaweza kutenda haki kweli ikiwa anaona jahazi la chama chake linazama?Tanzania ni Tanzania na Kenya ni Kenya.
Kwa mujibu wa sheria iliyounda Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni Tume huru, japo sio Shirikishi.
P
waangalizi wa kimataifa hawazuiriki uwe unawataka au huwataki kwahiyo vumilia tu wazr1) Kwa Ushupavu wa Rais wetu, Watanzania tumeendelea na shughuli zetu zote, Hatuwazi Jambo moja tu la UCHAGUZI tuseme mazingira ya Corona, TANZANIA uchaguzi na kazi zote zinaendelea vilevile.
2) Tanzania ni nchi HURU, Watanzania tunafanya kazi zote bila uangalizi wa mtu yeyote toka kwa mabeberu, Hatuhitaji KIRANJA kutoka popote awe mwangalizi au MCHOCHEZI aseme ndio kilichofanywa au kilichosemwa kiwe na UHALALI.
KIRANJA wetu ni Rais wetu.
3) Inaudhi Sana, wasio Watanzania waisimange nchi yetu, walioko mbali waisimange nchi yetu, na walioko ndani WATUMIKE kuisimanga nchi yetu, yaani hatuoni kazi zilizofanyika tunaona tu hatuna tume huru?????.
4) NCHI YETU HATUJAWAHI KUFANYA UCHAGUZI BILA TUME HURU YA UCHAGUZI, MIJITU MINGINE ILIKUWEPO NDANI TANGU UJANA WAO HADI SASA, LEO NDIO WAONE HATUNA TUME HURU?? MLISHAISHI MAISHA YENU TANGU ASUBUHI, JIONI YENU MNATAKA KUTUHARIBIA AMANI YA NCHI YETU, VIJANA TUKO MACHO, "HATUTATUMIKA" HATUTARUHUSU TAMAA ZENU ZA MADARAKA KUVUNJA AMANI YA NCHI YETU.
WALIOWATUMA WAPENI TAARIFA kwamba TANZANIA IPO IMARA, na ina KIONGOZI wa Nchi IMARA zaidi ya JANA.
Pia soma:
Elections 2020 - Bernard Membe: Tunafanyaje Uchaguzi bila Tume Huru ya Uchaguzi na Waangalizi wa Uchaguzi wa Kimataifa?