Chisamba
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 1,521
- 787
kwann hawasemagi wakiwa madarakani jamani..kila mtu anasema wakati yuko njee ya uwanja na sio ndani..wanakuwa kama mashabiki kwann hakupiga vizuri pale wakati yuko njeeHata Rais mstaafu, Mh. Mkapa, katika kitabu chake, aliongekea umuhimu wa kuundwa Tume huru ya uchaguzi. Hii ni ishara kuwa hii "taasisi" haiko huru!