Mwigulu Nchemba: Tumepokea maoni ya tozo, tunashughulikia

Mwigulu Nchemba: Tumepokea maoni ya tozo, tunashughulikia

Kaka pembe tulia tuu
Katika kila jambo liwe zuri au baya tafuta fursa
Raha zinaweza kukufanya kuwa imara na shida pia zinaweza kukuimarisha
Usichoweza kukibadilisha kitumie kukubadilisha
Dada kama hutajali nioneshe hizo fursa kupitia tozo maana mficha uchi hazai....nisije ingia kwenye mkumbo wa kulaumu kumbe waziri anatutengenezea fursa.
 

Ilishapita hii. 7000 itakatwa tuu
Sasa nini kifanyike?
 
Dada kama hutajali nioneshe hizo fursa kupitia tozo maana mficha uchi hazai....nisije ingia kwenye mkumbo wa kulaumu kumbe waziri anatutengenezea fursa.

Sio mimi nikuonyeshe ila tujadili nini kifanyike
Kuna wakati unaweza kujikuta analazimika kuiweka pesa yako kwenye mizunguko ili tuu isiingie bank
 
Wachumi ni akina Dr Kimei waulizwe cha kufanya ila Mwigulu hajawahi Hata kusimamia saccos ila kapewa wizara ya fedha tena na mipango

Wakati wa Ile presha ya salary increment mwaka Jana nililiona hili.
Kuongeza Mshahara sio kitu kitu kidogo. Kama jumla ya increment ni trillion1 lazima ipatikane source ya uhakika ya hiyo trilion1 kila mwezi
Maumivu yamehama kichwani yamerudi mguuni....... Wacha tupambane na hali zetu
 
Sipangishi basi. Nyumba yangu sio nyumba ya biashara, nilitaka kusaidiana na wasio na makazi hapa mjini. Kodi wange deal na wenye apartment na wenye nyumba kwa kazi za kibiashara
Unapaswa kutofautisha vitu viwili hapa, kuna kodi ya majengo( nyumba tunazoishi kama familia), na kodi ya pango. Na zote ni halali kabisa. Kila fedha unayoipata katika shughuli yoyote inayokuingizia kipato, should be taxed as pay as you earn! Nyumba ya kupangisha( pango) inakupatia kipato hivyo ni halali kukatwa kodi coz ni biashara.

Nyumba ya kupangisha kama makazi nayo ina uhalali wa kukatwa kodi ingawa utaratibu wa ufuatiliaji wake kodi unakuwa contradicted sana kufahamu mikataba halisi ni ipi, nyumba nyingi za uswahilini tunapangishana kiaina aina namna ya ku- figure it out kipato halisi cha mwenye nyumba, inakuwa ngumu sana kwa nchi zetu hizi za kusini mwa jangwa la sahara.
 
Wakati wa Ile presha ya salary increment mwaka Jana nililiona hili.
Kuongeza Mshahara sio kitu kitu kidogo. Kama jumla ya increment ni trillion1 lazima ipatikane source ya uhakika ya hiyo trilion1 kila mwezi
Maumivu yamehama kichwani yamerudi mguuni....... Wacha tupambane na hali zetu
Bado kodi ya kichwa
 
Unapaswa kutofautisha vitu viwili hapa, kuna kodi ya majengo( nyumba tunazoishi kama familia), na kodi ya pango. Na zote ni halali kabisa. Kila fedha unayoipata katika shughuli yoyote inayokuingizia kipato, should be taxed as pay as you earn! Nyumba ya kupangisha( pango) inakupatia kipato hivyo ni halali kukatwa kodi coz ni biashara. Nyumba ya kupangisha kama makazi nayo ina uhalali wa kukatwa kodi ingawa utaratibu wa ufuatiliaji wake kodi unakuwa contradicted sana kufahamu mikataba halisi ni ipi, nyumba nyingi za uswahilini tunapangishana kiaina aina namna ya ku- figure it out kipato halisi cha mwenye nyumba, inakuwa ngumu sana kwa nchi zetu hizi za kusini mwa jangwa la sahara.
Upo sawa kabisa, nazungumzia hizi ambazo tunapingashana humu mitaani, zitaketa utata sana hizi. Hatuna system smart na ndipo picha puicha zitaanza hapo. Wapangaji kitaa leo yupo kesho hayupo mieizi kazaa hana kodi mnasitiriana watoza kodi wao hawalijui hilo
 
Back
Top Bottom