Mwigulu Nchemba: Tumepokea maoni ya tozo, tunashughulikia

Nadhani alipaswa kusitisha kwanza wakati tunasubiria hizo hatua.
 
suala la kodi sio suala la Waziri wa Fedha…ni suala la Serikali na Nchi kwa Jumla

wee hujaskia mtu wa TRC katuma sms kwny group la Wasap kupinga tozo akaenda kupekuliwa kabatini na chini ya kitanda utadhan kuna ma sms mengine yamejificha huko ?
Wizara ya Fedha haina Waziri!
Mh Rais tuvushe hapo
 
suala la kodi sio suala la Waziri wa Fedha…ni suala la Serikali na Nchi kwa Jumla

wee hujaskia mtu wa TRC katuma sms kwny group la Wasap kupinga tozo akaenda kupekuliwa kabatini na chini ya kitanda utadhan kuna ma sms mengine yamejificha huko ?
Yaani tuna nchi ya kijinga sn
 
Mi mwenyewe nawasubiria waje wanipekue.
Ila Tozo na ile "23% thing" Mwigulu kamwingiza Maza chaka
 
Kuna kademu kule twita kanamnanga an huyo njemba![emoji38][emoji2957][emoji41][emoji317]
 
Hadi Mbowe aseme ndo asikie???

Amenusa kufukuzwa huyo, mkeka mpya waja!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…