Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mataga mtuambie Mwigulu yupo wizara gani?Nilidhani jambo hili linamuhusu Dr Ndugulile na IGP!
Ya mhimili wa mahakama!Mataga mtuambie mwigulu yupo wizara gani?
Sasa mahakama ndiyo inachunguza na kukamata?Ya mhimili wa mahakama!
Hata yeye sheria kuvunjwa..Nilidhani jambo hili linamuhusu Dr Ndugulile na IGP!
Waziri wa sheria asiye mwanasheria.Waziri wa katiba na sheria amesema wanawafuatilia wote wanaozushia watu vifo. Na hatua kali zitachukuliwa dhidi yao. Mpaka sasa kuna baadhi wameanza kushughulikiwa.
Mh waziri hata watoto wa vigogo utawachukulia hatua?View attachment 1723074
wizara ya kupakia watu kwenye magunia kama unakumbukaMataga mtuambie mwigulu yupo wizara gani?