Mwigulu Nchemba: Tunawafuatilia wanaopotosha na kuzushia viongozi vifo

Mwigulu Nchemba: Tunawafuatilia wanaopotosha na kuzushia viongozi vifo

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Waziri wa Katiba na Sheria amesema wanawafuatilia wote wanaozushia watu vifo. Na hatua kali zitachukuliwa dhidi yao. Mpaka sasa kuna baadhi wameanza kushughulikiwa.

Mh waziri hata watoto wa vigogo utawachukulia hatua?

Screenshot_20210311-205728.png
 
Kazi hiyo ni ya Waziri Wa Mambo Ya Ndani na TCRA, Jeshi la Polisi wala TCRA hazipo chini ya Wizara yake mpaka atoe amri za kamata kamata na kufanya uchunguzi wa Cyber Crime, yeye kazi ya Wizara yake ni kuandaa proporsal za marekebisho ya sheria na katiba.

Apunguze speed ya kuusaka Urais 2025, kujua kwingi mwisho ataharibu.
 
Back
Top Bottom