Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanaojipambanua kwa kujidai kuvaa skafu za bendera ya taifa kwa kulazimisha mwonekano wa uzalendo ni wakuogopwa sana.Waziri wa Katiba na Sheria amesema wanawafuatilia wote wanaozushia watu vifo. Na hatua kali zitachukuliwa dhidi yao. Mpaka sasa kuna baadhi wameanza kushughulikiwa.
Mh waziri hata watoto wa vigogo utawachukulia hatua?
Bambushka siku ukija Kimara nistue. Bia, nyama choma juu yangu na nauli ya mwendokasiNafikiri ushamba na ulimbukeni wa kile kiti cha kuzunguruka, ukikua unachunga punda na kondoo, utavikalia wapi??😂
😂😂
Nimemuelewa sana RC Mtaka, mawaziri ovyo
Everyday is Saturday................................😎