Mwigulu Nchemba: Tunawafuatilia wanaopotosha na kuzushia viongozi vifo

Mwigulu Nchemba: Tunawafuatilia wanaopotosha na kuzushia viongozi vifo

Hivi Goodluck wa Twitter ni nani? Naona anaPost mambo magumu huko Twitter!
 
Mabibi na mabwana mapenzi ya bwana na yakatimie kama apendavyo yeye wala si kama tutakavyo sisi.

Niombe tusielewane vibaya.

Kuna hili suala la taharuki ambalo limekuwa habari kubwa katika awamu ya 5 tokea kwa mamlaka kila hoja ya nia njema inapoibuka.

Zaidi sana hata mafundi simu nao hawapaswi kutoa maoni yao hata kama ni ya nia njema tu na hata kama hawavunji sheria yoyote.

Isifike mahali tukabagazana namna hii.

Misahafu inasema si kila aliiaye bwana bwana atauona ufalme wa mbinguni. Kwanini tusiwasaidie wawindaji wa watu hawa kutufikia badala ya kuhangaika mno mitandaoni?

Yawezekana tuna tafsiri tofauti za neno taharuki.

Napendekeza tupeane miadi tu na polisi kuzikagua simu, tablets, computer na computer mpakato zetu zote. Wakajiridhishe kuwa sisi ni wafia nchi kweri kweri.

Lini tuje kuleta vifaa vyetu hivi wakuu mpate kujiridhisha?

Tarehe, mahali, muda labda kwa kuzingatia vile vitambulisho vya NIDA tafadhali kama itakuwa ya misaada.

Ninawasilisha.
 
Waziri wa Katiba na Sheria amesema wanawafuatilia wote wanaozushia watu vifo. Na hatua kali zitachukuliwa dhidi yao. Mpaka sasa kuna baadhi wameanza kushughulikiwa.

Mh waziri hata watoto wa vigogo utawachukulia hatua?

View attachment 1723074
Mwambie madelu akawakamate gazeti la kenya linamilikiwa na familia ya Uhuru.
Wakamkamate
 
Aanze kumtafuta kigogo kama yeye ni kidume

Kigogo kama ni gwiji wa hizi zinazoitwa taharuki huyo atakuwa ni mfia nchi kweri kweri.

Huyu badala ya kumnyanyapaa na afikiriwe kuwa mdau muhimu sana kwenye ufalme ujao au ikibidi basi hata ule wa mbinguni.
 
Watafutwe popote walipo,wanatuharibia utulivu wa nchi.tafuta,kamata,sukuma ndani.uhuru ukipita kiasi ,huwa matatizo.
 
Hivi Yule dogo,siku hizi yuko wapi.na bavicha nao wakampa mgongo dogo daaah
Tatizo la watu wa kigoma hawaeleweki yaani wanafiki. Baada ya chadema kumsaidia kikajiona kimekuwa juu ya chama kikaleta za kuleta wakakipa nakoz kikamfuata kaka yake ACT
 
Tatizo la watu wa kigoma hawaeleweki yaani wanafiki. Baada ya chadema kumsaidia kikajiona kimekuwa juu ya chama kikaleta za kuleta wakakipa nakoz kikamfuata kaka yake ACT
[emoji106].dogo aliivamia siasa kichwakichwa.na kaka yake amekasusa amekashindwa naona.
 
Tunajua kua mnatekeleza maagizo ya Mwigulu Chemba, Waziri wa katiba na sheria. Lakini mnafikiri kama wananchi bado hawajamuona mpendwa wao hadharani wataacha kusema? Mnashindwa kuelewa kua hofu ya kutomuona mpendwa ni kubwa kuliko kujua alipo?

Tunalia na kipindi kigumu cha Corona tukiendelea kukaza watu mahabusu siyo kumalizana ni nini? Kwanini IGP asingeshauri tu mzee apunge mkono angalu siku moja watu ngogo zao zisuuzike hata kidogo?
 
🤣🤣🤣👇
422.jpg
 
Sasa mahakama ndiyo inachunguza na kukamata?
Wewe wajibu wako ni nini kwa Taifa lako?
Kazi hiyo ni ya Waziri Wa Mambo Ya Ndani na TCRA, Jeshi la Polisi wala TCRA hazipo chini ya Wizara yake mpaka atoe amri za kamata kamata na kufanya uchunguzi wa Cyber Crime, yeye kazi ya Wizara yake ni kuandaa proporsal za marekebisho ya sheria na katiba.

Apunguze speed ya kuusaka Urais 2025, kujua kwingi mwisho ataharibu.
Hoja yako ni nini hasa?
 
Ktk watu ambao historia yao kisiasa itafika mwisho asipokuwepo jamaa ni pamoja na huyu jamaa.
# Bring back our president#
 
Are you Serving God for Purpose or For Passion?.If you're serving God for Purpose.. you are going to Quit. What is Purpose & What is Passion?, Purpose is an intention of attaining something, Passion is finding connection in things that we do to bring Overflowing joy, peace, Happiness & Smiles. Passion is a Burning desire that keeps on Burning, Burning & Burning.. until the Will of God is accomplished.
 
Tulia wewe; kazi yenyewe umepewa baada ya kupiga magoti unafikiri hatujui?
 
Angeanza na gazeti la TANZANITE, limeripoti kuhusu vifo vya John Mrema na Freeman Aikale Mbowe, tena limetaja hadi sehemu walizo fia, Mbowe kafia Dubai na Mrema kafia S.A. Tusianze kuandikia mate wakati wino upo.
Kuna ushenzi mwingi sn nchi hii na kauleta mshamba na limbukeni mchunga ng'ombe mmoja ivi
 
اَلسَلامُ عَلَيْكُم وَرَحْمَةُ اَللهِ وَبَرَكاتُهُ‎

Alhamdulillah, Natumai muwazima na Allah ametuhuisha tena.

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema mwingi wa ukarimu.

134. Na harakieni kuomba msamaha kwa Mola wenu na Pepo ambayo upana wake ni (sawa na) mbingu na ardhi, iliyoandaliwa wamchao Mungu-. [3. Sura AALI 'IMRAAN: 134]

Allah atujaalie tuwe miongoni mwa wale Walioamini, atuongoze njia iliyonyooka na atughofirie dhambi zetu.

Ameen!!!
 
Back
Top Bottom