Mwigulu Nchemba: Tunawafuatilia wanaopotosha na kuzushia viongozi vifo

Mwigulu Nchemba: Tunawafuatilia wanaopotosha na kuzushia viongozi vifo

Wakizifungia twitter & VPN zote bado kuna mbinu nyingi tu za watu wachache kuzua taharuki,halafu usisikie tcra ukafikiri labda ni watu smart sana kichwani

Believe me more than 80% ya mafanyakazi ya tcra hayajui hata antivirus zinavyofanya vp kazi
 
Wakizifungia twitter & VPN zote bado kuna mbinu nyingi tu za watu wachache kuzua taharuki,halafu usisikie tcra ukafikiri labda ni watu smart sana kichwani

Believe me more than 80% ya mafanyakazi ya tcra hayajui hata antivirus zinavyofanya vp kazi
VPN haziwezi kufungiwa mkuu
 
Kuruhusu baadhi ya watu ambao hawana mbele wala nyuma kuleta taharuki ni failure. Kwa nini msifanye kweli?...
Haha kitendo cha kusema VPN zifungiwe tu nimegundua kumbe huna lolote ulijualo juu ya internet service. Ningekupa Somo la VPN na kwanini hakuna serikali yoyote duniani, wala hackers wala internet provider wako anaweza kukamata mawasiliano unayofanya.
Nipo njiani
 
Hii nchi inaongozwa na mageneral wa mgambo,kila siku kutishia kukamata watu tu,lazima uzushi uendelee maana si mmezea kuonesha kila uzindizi live TBC
 
tena tunaomba wakamatwe haraka sana ili wafundishwe nidhamu ya kutii sheria bila shuruti.
 
Kuruhusu baadhi ya watu ambao hawana mbele wala nyuma kuleta taharuki ni failure. Kwa nini msifanye kweli?

Twita na VPN zifungiwe daima. Maana huko wamejaa watu wasiofaa hata kiduchu.

Kama mnaona huruma basi washughulikiwe huko huko walipo. Hamjifunzi jinsi Urusi na China wanavyofanya juu ya watu kama hawa?
Mlamba viatu wa meko
 
Kazi hiyo ni ya Waziri Wa Mambo Ya Ndani na TCRA, Jeshi la Polisi wala TCRA hazipo chini ya Wizara yake mpaka atoe amri za kamata kamata na kufanya uchunguzi wa Cyber Crime, yeye kazi ya Wizara yake ni kuandaa proporsal za marekebisho ya sheria na katiba.

Apunguze speed ya kuusaka Urais 2025, kujua kwingi mwisho ataharibu.
Huyu ndo mteuliwa aliyevunja rekodi ya teuliwa/tenguliwa mara nyingi ndani ya muda mfupi kuliko wote kwa hiyo ana wasiwasi mteuaji akifariki ndo utakuwa mwisho wake wa kuteuliwa maana anajijua hafai nafasi yoyote.

Lisemwalo lipo kama halipo laja karibuni!
 
Waziri wa Katiba na Sheria amesema wanawafuatilia wote wanaozushia watu vifo. Na hatua kali zitachukuliwa dhidi yao. Mpaka sasa kuna baadhi wameanza kushughulikiwa.

Mh waziri hata watoto wa vigogo utawachukulia hatua?

View attachment 1723074
Hahaaa wiki hii wajinga mnatupa raha,mtaongea mengi mwisho mtameza ulimi...tulieni [emoji870] tenaaaaa ya nini kutumia nguvu kubwa kutisha watu muda ni ukuta
 
Hii nchi inaongozwa na mageneral wa mgambo,kila siku kutishia kukamata watu tu,lazima uzushi uendelee maana si mmezea kuonesha kila uzindizi live TBC
Huyo mla punda hana akili akamtishe mkewe,istoshe ukweli utakua wazi mda wowote kua kuna mtu yuko fiti anapiga pushups za kutosha[emoji870] kama vileeeee....utamalizia wewe
 
Waziri kujibizana twittani na kutoa vitisho vya kuchukua hatua za kisheria ambazo hazijawahi kutungwa 😆 😆

Everyday is Saturday................................😎

Mdudu au bacteria akiingia mwilini haraka haraka huanza kujenga " capsule" tulianza na kuchora mawe na madaraja na sasa tupo kidigitali zaidi
 
Back
Top Bottom