Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo wewe uwaelekeze,unayeona wanafeli.Kama vipi?
VPN haziwezi kufungiwa mkuuWakizifungia twitter & VPN zote bado kuna mbinu nyingi tu za watu wachache kuzua taharuki,halafu usisikie tcra ukafikiri labda ni watu smart sana kichwani
Believe me more than 80% ya mafanyakazi ya tcra hayajui hata antivirus zinavyofanya vp kazi
Haha kitendo cha kusema VPN zifungiwe tu nimegundua kumbe huna lolote ulijualo juu ya internet service. Ningekupa Somo la VPN na kwanini hakuna serikali yoyote duniani, wala hackers wala internet provider wako anaweza kukamata mawasiliano unayofanya.Kuruhusu baadhi ya watu ambao hawana mbele wala nyuma kuleta taharuki ni failure. Kwa nini msifanye kweli?...
ANGEFANYA VIZURI KAMA ANGEANZA NA YALE MAGAZETI YAO YA PROPAGANDA ......YA KILA SIKU..Waziri wa katiba na sheria amesema wanawafuatilia wote wanaozushia watu vifo. Na hatua kali zitachukuliwa dhidi yao. Mpaka sasa kuna baadhi wameanza kushughulikiwa.
Mh waziri hata watoto wa vigogo utawachukulia hatua?View attachment 1723074
Hivi jamani kiongozi ngazi ya waziri anaruhusiwa kutoa maneno ya kashifa kama hayo?Huyu ndio alimwita Abdul Nondo kinyago.
Hana hiyo integrity ya kukemea hayo hata kidogo.
Mlamba viatu wa mekoKuruhusu baadhi ya watu ambao hawana mbele wala nyuma kuleta taharuki ni failure. Kwa nini msifanye kweli?
Twita na VPN zifungiwe daima. Maana huko wamejaa watu wasiofaa hata kiduchu.
Kama mnaona huruma basi washughulikiwe huko huko walipo. Hamjifunzi jinsi Urusi na China wanavyofanya juu ya watu kama hawa?
Huyu ndo mteuliwa aliyevunja rekodi ya teuliwa/tenguliwa mara nyingi ndani ya muda mfupi kuliko wote kwa hiyo ana wasiwasi mteuaji akifariki ndo utakuwa mwisho wake wa kuteuliwa maana anajijua hafai nafasi yoyote.Kazi hiyo ni ya Waziri Wa Mambo Ya Ndani na TCRA, Jeshi la Polisi wala TCRA hazipo chini ya Wizara yake mpaka atoe amri za kamata kamata na kufanya uchunguzi wa Cyber Crime, yeye kazi ya Wizara yake ni kuandaa proporsal za marekebisho ya sheria na katiba.
Apunguze speed ya kuusaka Urais 2025, kujua kwingi mwisho ataharibu.
Kwa nini wasiwe na jeuri.Thubuutu, kwa Fatuma hawana jeuri
Mwigulu anajua kucheza na opportunity
Hahaaa wiki hii wajinga mnatupa raha,mtaongea mengi mwisho mtameza ulimi...tulieni [emoji870] tenaaaaa ya nini kutumia nguvu kubwa kutisha watu muda ni ukutaWaziri wa Katiba na Sheria amesema wanawafuatilia wote wanaozushia watu vifo. Na hatua kali zitachukuliwa dhidi yao. Mpaka sasa kuna baadhi wameanza kushughulikiwa.
Mh waziri hata watoto wa vigogo utawachukulia hatua?
View attachment 1723074
Huyo mla punda hana akili akamtishe mkewe,istoshe ukweli utakua wazi mda wowote kua kuna mtu yuko fiti anapiga pushups za kutosha[emoji870] kama vileeeee....utamalizia weweHii nchi inaongozwa na mageneral wa mgambo,kila siku kutishia kukamata watu tu,lazima uzushi uendelee maana si mmezea kuonesha kila uzindizi live TBC
Waziri kujibizana twittani na kutoa vitisho vya kuchukua hatua za kisheria ambazo hazijawahi kutungwa 😆 😆
Everyday is Saturday................................😎
Acha ukuda basi!Kuruhusu baadhi ya watu ambao hawana mbele wala nyuma kuleta taharuki ni failure. Kwa nini msifanye kweli?...