smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,976
- 3,098
kwa kauli hizi umetusaidia saaana!! Mheshimiwa hapa ndo tulipataka hapa!!!! Tumekuelewa baba kumbe tayari.Waziri wa Katiba na Sheria amesema wanawafuatilia wote wanaozushia watu vifo. Na hatua kali zitachukuliwa dhidi yao. Mpaka sasa kuna baadhi wameanza kushughulikiw....