MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,500
Waziri wa katiba na sheria amesema wanawafuatilia wote wanaozushia watu vifo. Na hatua kali zitachukuliwa dhidi yao. Mpaka sasa kuna baadhi wameanza kushughulikiwa.
Mh waziri hata watoto wa vigogo utawachukulia hatua?View attachment 1723074
wawafatilie na hawa pia.. tena haraka sana