Mwigulu Nchemba: Tunawafuatilia wanaopotosha na kuzushia viongozi vifo

Mwigulu Nchemba: Tunawafuatilia wanaopotosha na kuzushia viongozi vifo

Ila kuna wizara huwa zinapendezea zaidi akiwa mtu ambae mwenye pro inayo endana mfano, Afya hata uchumi na mambo ya fedha

Kila inapowezekana, yes, lakini sio lazima. Wapo watu wenye uwezo mkubwa wa kuongoza; hata ukimpa wizara ya afya anaweza kufanya vizuri pengine kuliko waziri ambaye yeye mwenyewe ni seasoned medical professional.
 
Asitumie nguvu nyingi! Aseme tu ni kwel au sio kwel bas
 
Nani kazushiwa kifo.
Akamatwe huyo maana kumzushia mtu kifo si Jambo jema.
 
Wapinzani walivyouliwa kwenye uchaguzi mbona hakufuatilia ? Au kwakuwa yeye ni mnufaika wa umwagaji ule wa damu na wizi wa kura? Akatishie mapeasant wenzake huko kijijini kwao.
Wapinzani wapi waliuwawa? Unazungumzia wale waliotolewa kafara kule Pemba na kuacha wanasiasa wachache wakinufaika na SuK?
 
Mbona mh waziri anaonekana mwenye furaha sana tofauti na kauli yake
 
Heheeee huyo kashanyang'anya wizara ya mwenzie 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 anajikuta kama ni waziri wa mambo ya ndani hivi!!!
😂😂😂😂😂😂😂
Nasikia na Mama Ndalichako anatoa vitisho leo.
 
Mwigulu sijawahi kumwelewa kabisa
Utamwelewa kama wataka. Anapeleleza yeye. Anakamata yeye. Anahoji yeye. Anasililiza yeye. Anahukumu yeye. Anafunga yeye. Na anatangaza hayo yote mwenyewe Twitter!
 
Amewezaje kutoa matamko twittani?
Amejikarantini na ViPiEni??😆😁

Watawala wetu bana, Mwigulu mtu wa system, wanatupoteza maboya tukishtuka wamejadili mambo ya hovyo bungeni na kuyapitisha.
Sasa hivi bunge linakaa huko!

Everyday is Saturday................................😎
 
Back
Top Bottom