Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UhTundu muondoe kwenye orodha, dish limeyumba yupo kwa dokta tayari kwa maelezo ya mwanafamilia
Unaingia bila VPN now.Kwanza kavunja sheria kawezaje kupost twitter na wakati TCRA wameifunga na tulishapewa onyo matumizi ya VPN ni illegal?
Watuambie kwanza rais yuko wapi
It is high time now these people who spread rumours got to be accountable. It is too much!Waziri wa katiba na sheria amesema wanawafuatilia wote wanaozushia watu vifo. Na hatua kali zitachukuliwa dhidi yao. Mpaka sasa kuna baadhi wameanza kushughulikiwa.
Mh waziri hata watoto wa vigogo utawachukulia hatua?View attachment 1723074
Sio wakenya tu, issue has already gone viral in different country's social media. Atajifanya mjanja kudeal na walio ndani ya mipaka ya Tz😆😆Kwahiyo atawakamata wakenya wote televisheni zao , redio zao , blogs , maana wakenya wanamwaga mtama kwenye kuku balaa , aanze nao kama ubavu anao .
Duh,mi imegoma kabisaaaaUnaingia bila VPN now.
Huwa wanaachia sometimes
Pole ila sahvi hata mtandao uko chini...!Duh,mi imegoma kabisaaaa
Mpk VPN,hata VPN wakati mwingine inagoma!
Km hizi siku 3 imegoma sijui nifanyeje jmn
waziri wa sheria ASIYE mwanasheria...maajabu ya uchumi wa kati!.
Wao si ndiyo wanaleta taharuki kweny liinchi lenu si muwakamate.Wewe bwana nani anashida na lile taahira?
La nini sasa?
Kama ilivyo serikali yenu ya kijaniDebe tupu lile.
Sasa kunahaja gani madilu system kutisha watuTunajua ni stres za kupigwa kwenye box la kura! Ukijumlisha na yaliyomkuta basi hiyo ni sehemu ya tiba kwake!
Waulize hata wana saikolojia watakwambia hivyo