Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais ajitokeze umbeya uishe. Vinginevyo ni kujilisha upepoWaziri wa katiba na sheria amesema wanawafuatilia wote wanaozushia watu vifo. Na hatua kali zitachukuliwa dhidi yao. Mpaka sasa kuna baadhi wameanza kushughulikiwa.
Mh waziri hata watoto wa vigogo utawachukulia hatua?View attachment 1723074
Download Turbo VPN hautajuta. Iko na speed na haikatikatiDuh,mi imegoma kabisaaaa
Mpk VPN,hata VPN wakati mwingine inagoma!
Km hizi siku 3 imegoma sijui nifanyeje jmn
Hilo linafahamika lakini kuna wizara chache sana ambazo hazipaswi kuwa hivyo, miongoni mwao ni hiyo wizara ya sheria na katiba, nyingne wizara ya fedha, hata wizara ya afya.Wewe bila shaka utakuwa clueless juu ya kazi ya waziri. Ni mawaziri wangapi wako kwenye wizara ambazo ziko aligned na professions zao?
Waziri mlamba viatuHujui hata kuandika neno 'mhuni' halafu ndiyo unajenga hoja na kumtukana waziri?!
Ila kuna wizara huwa zinapendezea zaidi akiwa mtu ambae mwenye pro inayo endana mfano, Afya hata uchumi na mambo ya fedhaWewe bila shaka utakuwa clueless juu ya kazi ya waziri. Ni mawaziri wangapi wako kwenye wizara ambazo ziko aligned na professions zao?
Waziri wa katiba na sheria amesema wanawafuatilia wote wanaozushia watu vifo. Na hatua kali zitachukuliwa dhidi yao. Mpaka sasa kuna baadhi wameanza kushughulikiwa.
Mh waziri hata watoto wa vigogo utawachukulia hatua?View attachment 1723074
Je, ikithibitika kama ni kweli?Lameck Madilu aache SHOBO.
Ndio hapo shipa litamshuka.Je, ikithibitika kama ni kweli?
Usishangae tamko linalofuata likatoka kwa Waziri wa Jinsia, Wanawake, Watoto na Wenye ulemavu.Nilidhani jambo hili linamuhusu Dr Ndugulile na IGP!
hilo linafahamika lakini kuna wizara chache sana ambazo hazipaswi kuwa hivyo, miongoni mwao ni hiyo wizara ya sheria na katiba, nyingne wizara ya fedha, hata wizara ya afya.
na hata ukilazimisha kwa kumpachika yeyote ilimradi kujaza nafasi, ufanisi unakuwa mdogo...ujanja ujanja pekee hautoshi tofauti na wizara za TAMISEMI, habari na michezo, jinsia na watoto, mambo ya ndani nk nk
uhuni wake unakujaje sasa hapo..au hujaelew hata kilichoandikwa au ndo zile za watz hata kama kitu unaelewa unajitoa ufahamu tu basi ilimradiHuyu ni muhuni tu hana jipya
na kingine sio eti lazima awe kiongozi tu au kumzushia mtz yoyte kifo inakuwa sawa pia??Viongozi anamaanisha nn...... Amaanisha Mbowe? Anamaanisha john mrema pia? Anamaanisha mbeba maono Tundu lissu pia? Au anamaanisha wahuni ambao hata wakihojiwa zilipo trillioni 1.7 wanataka kuua watu?