King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,399
- 2,110
Huu ujumbe si wa DK Samia ni wa mshirikina dokita musukuma.Mwigulu achunge tu domo lake, hawezi kumdharirisha hivi our president
Ego is the real enemy. Huwa tunajiangusha wenyewe baadaye tunasingizia Mambo mengine ama watu fulani Ila shetani na malaika unaishi nao Ni wewe ama Mimi kumkuza ama kumpalilia Nani ili asitawi ,hakunaga mchawiIla mbona kama ame panic fulani hivi? Maana kila analolifanya anaharibu zaidi ya kutengeneza, anything behind the scene?!
Hata Dr Samia unamhusu mkuuHuu ujumbe si wa DK Samia ni wa mshirikina dokita musukuma.
Masikini akipata matako hulia mbwata!Nadhan wenye Udokta wa kupewa Sijui chuo kikuu Cha Dar, na wengine wote kwingineko, mmetuelewa vizuri !!
Kwa Jinsi ambavyo Wanawake wakipata Nyadhifa, Huwa hawapendi kuonekana hawafai?.
Mwigulu na Ufedha wake, Sijui Sijui, Mwanamke mwenyewe wa Zanzibar
Ila Kaka Mwigulu, Kuna kusoma alafu Kuna kukiweka kwenye vitendo kile ulichokisomea!!!
Basi watolee hizo dokta wote, rais Samia atabaki na master yake Safi lkn huyo mropokaji dokita musukuma hata Cheti cha fomu foo hana kila dakika ni kutaka ligi na wasomi wakubwa akina mwigulu na bashe, liambieni hao sio saizi yake.Hata Dr Samia unamhusu mkuu
Musukuma angekuwa sio msomi Nchemba asingehangaika pa kumpigia, Ila kiukweli huyo jamaa anawanyima usingizi Nchemba na team yakekutaka ligi na wasomi wakubwa akina mwigulu na bashe, liambieni hao sio saizi yake.
U size unakuja kwenye nini jibu hoja mezani na ushinde kwa hoja tujue wewe ni vol tofauti na sisi na sioBasi watolee hizo dokta wote, rais Samia atabaki na master yake Safi lkn huyo mropokaji dokita musukuma hata Cheti cha fomu foo hana kila dakika ni kutaka ligi na wasomi wakubwa akina mwigulu na bashe, liambieni hao sio saizi yake.
Hahaha yaani mawaziri wasomi wakose usingizi sababu ya dokita musukuma hahahaha my ribs!!Musukuma angekuwa sio msomi Nchemba asingehangaika pa kumpigia, Ila kiukweli huyo jamaa anawanyima usingizi Nchemba na team yake
Kawakejeri wote kabisa dadekiKwa hiyo anamkejeli Rais wake, na babu tale na musukuma
Rais asipomtengua huyu atakuwa dhaifu sana kimantiki na kimuundo wa heshima na staha za uongozi. Huyu mwisho wake ndio umefika abaki na ubunge tu.Nadhan wenye Udokta wa kupewa Sijui chuo kikuu Cha Dar, na wengine wote kwingineko, mmetuelewa vizuri !!
Kwa Jinsi ambavyo Wanawake wakipata Nyadhifa, Huwa hawapendi kuonekana hawafai?.
Mwigulu na Ufedha wake, Sijui Sijui, Mwanamke mwenyewe wa Zanzibar
Ila Kaka Mwigulu, Kuna kusoma alafu Kuna kukiweka kwenye vitendo kile ulichokisomea!!!
Kwa sababu ya Musukuma, Nchemba kamponda bosi Wake mwenye udokita wa kupewa 😂😂Hahaha yaani mawaziri wasomi wakose usingizi sababu dokita musukuma hahahaha my limbs!!
Siku za Mwigulu madarakani zinahesabikaNadhan wenye Udokta wa kupewa Sijui chuo kikuu Cha Dar, na wengine wote kwingineko, mmetuelewa vizuri !!
Kwa Jinsi ambavyo Wanawake wakipata Nyadhifa, Huwa hawapendi kuonekana hawafai?.
Mwigulu na Ufedha wake, Sijui Sijui, Mwanamke mwenyewe wa Zanzibar
Ila Kaka Mwigulu, Kuna kusoma alafu Kuna kukiweka kwenye vitendo kile ulichokisomea!!!
Hoja gani za kujibiwa alizonazo musukuma Mie sizioniU size unakuja kwenye nini jibu hoja mezani na ushinde kwa hoja tujue wewe ni vol tofauti na sisi na sio
Kutuambia ambia kwamba umesoma hiyo ni dalili kwamba wewe mwenyewe huamini uwezo wako