Mwigulu Nchemba: Wafanyabiashara msiogope kuweka fedha benki hazitachukuliwa

Hapa kazi tu imeondoka na awamu yake.Sasa ni Zege halilali.
 
Yuko kwenye probation period ya kuongoza malaika, akichemka anatumbuliwa.
Hivi ni kweli alitamka akifa ataenda kuwa kiongozi wa malaika? Je, huko kuna kutumbuana? Na akitumbuliwa atarudi hapa kuwa tena shujaa wetu kipenzi?.
 
“Kwa wale wafanyabiashara walioona wakiweka fedha zao zitaonekana mtandaoni labda zitachukuliwa zote nitoe rai warudishe fedha kwenye mabenki zitaliwa mchwa au panya bila sababu, uchumi wa kisasa sio wa kuweka fedha kwenye boksi.”
Uongozi wa TRA umeondolewa au bado ni ule ule? i.e. Ule uliokuwa unatekeleza UNYANG'ANYI wa fedha za watu huko kwa mabenki, nk
 
Lugha yake ni kama ya ndumila kuwili vile!
Ogopa sana watu wa aina hii, wanaovaa bendera kama huyu na Lugola.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…