Mwigulu ni kati ya Mawaziri wa Fedha wabovu kuwahi kutokea Tanzania

Mwigulu ni kati ya Mawaziri wa Fedha wabovu kuwahi kutokea Tanzania

Wewe ajuza ni mdini sn tunakujua, mfumo wote ni ovu tupu lakini umekomaa na Mwigulu pekee kwanini usitaje wote? acha udini shame on you
"mdini" mimi, wewe kinakuuma nini? Wewe kama huna dini nani alikuingilia?

Kwani kuwa "mdini" ni dhambi au kuvunja sheria?
 
Mama ni mchapa kazi na mbunifu sana, ni mtu wa kutatuwa matatizo.

Kwa Mwigulu mama inabidi amuondoe tu wizarani.

Waziri gani anakosolewa zaidi ya mara moja na Spika?
Acha udini, waislamu wenzako wizara zinanuka rushwa na ufisadi hadi aibu lakini hujawahi hata kukemea hata kidogo, we ni mpuuzi sn
 
"mdini" mimi, wewe kinakuuma nini? Wewe kama huna dini nani alikuingilia?

Kwani kuwa "mdini" ni dhambi au kuvunja sheria?
Unaonyesha jinsi ulivyo mjinga mkubwa haswa badala ya kutetea maslahi ya taifa unaweka udini mbele, shame on you
 
"mdini" mimi, wewe kinakuuma nini? Wewe kama huna dini nani alikuingilia?

Kwani kuwa "mdini" ni dhambi au kuvunja sheria?
Unaonyesha jinsi ulivyo mjinga mkubwa haswa badala ya kutetea maslahi ya taifa unaweka udini mbele, shame on you
 
Ilipaswa alaumiwe aliemteua.

Maana anao uwezo kumtoa muda wowote akitaka

Anashindwa Nini!?

Anyway hii pia isije kuwa Moja ya zile chuki zako Cha kidini.

Maana hunaga jema na akina John na Alex we hata juma na Mohamed wakiongea kunya huwa unaona dhahabu tu as long as ni mwenzako katika imani.

Hii inafanya hata watu wawe na shaka na maoni au judgement Yako maana washakuwekea kipimo.
Huyu ajuza anateswa na udini tupu, akina Makamba, Mbarawa, Bashe, Aweso, Ummy, Kijaju, Masauni na Mchegerwa wizara zao ni zero kabisa lakini yeye huwa anaponda wizara za wakristo pekee, ni mdini sn huyu ajuza hana akili.
 
Ilipaswa alaumiwe aliemteua.

Maana anao uwezo kumtoa muda wowote akitaka

Anashindwa Nini!?

Anyway hii pia isije kuwa Moja ya zile chuki zako Cha kidini.

Maana hunaga jema na akina John na Alex we hata juma na Mohamed wakiongea kunya huwa unaona dhahabu tu as long as ni mwenzako katika imani.

Hii inafanya hata watu wawe na shaka na maoni au judgement Yako maana washakuwekea kipimo.
Huyu ajuza anateswa na udini tupu, akina Makamba, Mbarawa, Bashe, Aweso, Ummy, Kijaju, Masauni na Mchegerwa wizara zao ni zero kabisa lakini yeye huwa anaponda wizara za wakristo pekee, ni mdini sn huyu ajuza hana akili.
 
KWA MARA YA KWANZA LEO NAKUUNGA MKONO.

KUMBE UNAKUWAGA NA AKILI SOMETIMES[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom