Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe


...songa mbele Kamanda!!!!
 

Ipo siku huyu saa 8 atakimbia kivuli chake.
 


Mkuu subira huvuta heri, ila ukisubiri kwa mtu kama Mwigulu atatumaliza.
Ni hivi hii mambo ndio ipo kwenye atua za mwisho kwenda mahakamani, wakili wangu ameshakamilisha kila kitu na nina tegemea tarehe 27/12/2013 mambo yaanze.
Nilivumilia sana ila nilipoiona post ya Mwigulu subira iliniisha na nikaamua kufunguka. Ila ningependa kufunguka zaidi kwa kuleta ushaiidi lakini mwanasheria wangu amenizuiya.
 
Mungu wangu, ninatubu sana dhambi zangu, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukizwa na dhambi, basi sitaki kukosa tena, nitafanya kitubio, naomba neema yako nipate kurudi kwako, Amina.

Hivi Mwigulu anaamni uwepo wa Mungu kweli..?
 
Aisee huyu jamaa ana habari nzuri kwa maslahi ya taifa, jumlisha na yule aliyepelekwa na Lema bungeni..
Tafadhari, toeni taarifa hapa au kwingineko kwa maslahi mapana ya taifa.. weka habari hapa ili kesho kila mtanzania aisome magazetini..

....breaking news...lumumba mtafutano!!!!
 

mkuu kabla mwigulu hajachukua maisha ya mtoto wetu ulishirikiana nae kuua wa2 wangapi
2)kwanini usianzishe uzi wenye ushaidi hapa?au unamuogopa?

Kuusema ukwel ni moja wapo ya njia za kumuenzi mtoto we2
 
chadema wao wangetengeneza gongo tu kwa sasa yawezekana ikawalipa vizuri siasa imewashinda kabisa.

Ndugu unajua lkn km Serikali yako imepandisha bei ya UMEME? au wenzetu nyie ndo wale tangu mnazaliwa hadi mnazeeka hamjui hata karatasi ya BILI inakuwaje!
 

Maneno yako yanatia uchungu mkuu...Pole sana..
 
Benn mwigulu hana hoja ya msingi hapo kwan yeye alikuwa wapi mpaka leo anataka kutulaghai kipumbavu namna hyo,aende akaandae buku7 za watu xmass imefka.
 
Wana JF nina hasira sana dhidi ya Mwigulu Nchemba na CCM
1:nipoteza nyumba yangu kipindi cha kampeni za kugombania Udiwani pale nilipokopa pesa ili niweze kutembea na gari aina ya Toyota Surf kipindi chote cha kampeni (siku 30) na nilipokosa udiwani nyumba iliuzwa kufidia deni na ccm ilinitelekeza

2:Nilisiriki kikao cha kuihujumu Chadema mpango ukuiwa umetoka makao makuuu ya chama ukiratibiwa na Mwigulu Nchemba na matokeo yake nikapoteza mwanangu.

Nasema hizo ni sababu tosha za mimi kupigana vita zidi ya Mwigulu na ccm yake.

Wana Jf nitakuwa nikiwapa habari kila hatua nitakayoipitia katika hii vita kwani nikienda kimya kimya watanichakachua.
 
Mbona vidhibitisho vyenu vya kusikitisha sana? Mbona hata hamjui namna ya kuonyesha email inatoka kwa account gani? Kwa nini mnajifanya wataalamu wa kila kitu? Ben Saanane i can assure it is only ICT illiteracy person that will believe those correspondences are genuine. anyway ngoja niache wajinga wawasiliane na wajinga wenzao. Poor evidence poor poor...
 
Last edited by a moderator:
Wewe Mwigulu,yatakuja yakutokee puani.Unatumia dola kufanya unayoyataka as if wewe ndio nani sijui,siamini haya yote uliyoyasema,iweje ukae muda wote huo kwa tuhuma hizi nzito? Sasa ulijuaje kama mawasiliano yameingiliwa kama huna e-mail ya aina hiyo? Hizi ni tuhuma nzito,unasubiri nini kwenda mahakamani ili ukweli ujulikane? Umekaa kujitetea Jf hii ndio mahakama?
Vp ule ushahidi wa mbinguni na duniani umefikia wap?
 

Si umesema wakili amekuzuia kusema haya kwa ajili ya kesi unayotaraji kuifungua? Au amekuruhusu tena?
 
Huna lolote wewe gaidi,kila kitu HUKANA!PHD sii ujipe tuu kama shoga yako Nchimbi!
 

mkuu usituudhi tumekwambia uanzishe uzi/thread ili watanzania tuelewe kinagaubaga kwa mtiririko maalum unachoogopa ni nini?
 
CHAMVIGA
===>Mgosi hawa jamaa unawatetea sana,mbona hawaendi mahakamani?
===>Jamani tuwe makini,kuna leo kuna kesho,kuna kupanda kuna kushuka,kuna kupata kuna kukosa, kama yalivyo maisha ya binadamu kuna kuzaliwa kuna kufa,hivyo hivyo kwenye maisha hasa ya kisiasa leo ccm wako madarakani na kesho wataondoka,nikimaanisha kuwa hawatatawala milele.
===>Wakiondoka madarakani hawataondoka na taarifa zoote kwenye vyombo vya ulinzi na taasisi zake,kutakuja watu wapya wenye mitizamo mipya,kimkakati na kivitendo. Tuombe mungu viongozi wengine watakao ingia madarakani wasiwe wenye visasi, na kama watakuwa wenye visasi hali itakuwa mbaya sana.
===>Kabla hatujafikia huko,nawaomba sana watanzania,kuna maisha baada ya hapa duniani,siasa zetu zisitusababishe tufanye mambo ya hatari ambayo mwisho wa siku yataliweka taifa hili katika hali mbaya.Kila mmojawetu kwa nafasi na uwezo wake ajitahidi sana kuepuka kucheza michezo michafu ya kisiasa, hii ni mibaya sana maana ukishiriki mara moja ni vigumu sana kuacha.
Mungu atupe nguvu na uwezo wa kuyaacha haya mabaya kwa ajili ya maisha bora ya watoto wetu hapo baadae.
 
Last edited by a moderator:
Damu za wote uliyowasababishia mauti ulemavu chini ya ulatibu wako zitakuandama mpaka unaingia kabulini na huna tofauti na kina savimbi, hitra,idd amin. Kwako tofauti ya mitizamo ni uadui sijui ni mwanasiada wa aina gani tz imepata? Unavyo wachukia cdm unatamani ungekuwa na uwezo ungewaangamiza wote kwa mpigo. Ila kaa uelewe fanya ufanyavyo lazma na ww siku moja utawafuata malehemu uliowatanguliza kabla ya muda wao anzia igunga, ndago, moro, iringa nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…