Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

kama akili, basi zako kiboko,unatumia uhum mzto namna hii, unaka kimya na kujubu baada ya mwezi mzima

Hivi kuna deadlines za kukanusha enh? Kama siyo akili ndogo ni kitu gani.
 
Hivi kwanini post kama hizi Lumumba Buku7 Fc hawaonekani.....? Nakama wakoinekana hawana hoja wanatukana na kuondoka....

Au ni kwasababu zinaukweli ndani yake....? Yupo wapi ZeMarcopolo
 
Last edited by a moderator:

Ben Saa Nane!
Beautiful girl of mine. Vipi siku ile pale Landmark ulienjoy?
 

Kujipendekeza kwa kiwango hiki ni janga!
 
Hivi kwanini post kama hizi Lumumba Buku7 Fc hawaonekani.....? Nakama wakoinekana hawana hoja wanatukana na kuondoka....

Au ni kwasababu zinaukweli ndani yake....? Yupo wapi ZeMarcopolo

Sidhani kama hawapo hapa.
 
Last edited by a moderator:

Mwigulu
Mimi na boss wangu tunaonana atleast 4times a day, but we email each other more X20 a day. Ulipokuwa UK, uligawa email address yako kwa watu, je wale wabeba mabox ni supp wako? wengi wa wanaCCM UK hawana makaratasi na shule kwao ni Jela, sasa watakusaidia vipi katika education issues? Kwa utetezi wako nahamini zile email zilikuwa na baraka zako
 
 
Mkuu wa kaya pole sana mtz mwenzetu!,,,Lakini kwanini umpeleke mwanao mkutanoni na huku ukijua kuna bomu?

Nadhani hukuemo jamvini asubuhi..alisema Nchimbi aliwataadhalisha wawazuie wapendwa wao ndugu na jamaa wasiende mkutanoni, kikao kikamuhoji kwa nini? Jibu lilikua moja tu kwamba "kunahatari itatokea" hakusema kwamba hatari hiyo ni bomu.
 
Tumewazoea serikali ya ccm Kuua na Kufanya unyama mwingi kisha Kutuomba wananchi ushahidi!!

Mmeua sana, mmeiba sana mmetulostisha sana na kisha kukana kiwepesi tu, acheni ujinga watanzania tunakua,

pesa za Epa mlitutaka ushahidi, polisi wenu wameua kila siku mnatutaka ushahidi, Ramadhani Ighondu kamng'oa kucha na meno Ulimboka mnataka ushahidi,

kombe aliwaua wafanyabiashara wa madini na sasa yuko uraiani anapumua oxygen, sometime muwe na soni, ninyi ni wauaji tu kila mtanzania anajua!
ulikuwa wapi kukanusha siku zote hata ukanushe sasa baada ya Ben kuhojiwa na polisi, wananchi wa sasa si wajinga kwa kiwango chako,
Eti phd, phd my ass! phd ambayo haijaondoa ujinga kichwani sisi haitusaidii kitu, elimu ya msaliti ni ujinga tu kwa watanzania, mtuue sana lakini njia yetu ni moja tu zilikoelekea pua!

tunawakataa ccm, tumewakataa milele wanuka dhulma na damu wakubwa niny.
 
Nadhani hukuemo jamvini asubuhi..alisema Nchimbi aliwataadhalisha wawazuie wapendwa wao ndugu na jamaa wasiende mkutanoni, kikao kikamuhoji kwa nini? Jibu lilikua moja tu kwamba "kunahatari itatokea" hakusema kwamba hatari hiyo ni bomu.

siasa hizi ndo tuzitarajie 2014 to 2015,nadhan kampen tutazifatilia kupitia mitandaoni,,,hata kupitia T.V ni hatari
 
mh mwigulu,leo hii unatoa hoja ya vijana kutowachafua viongozi,?????? mkakati wako wa kuwachafua viongozi wa cdm ikiwa ni pamoja na kutengeneza tuhuma na video ya ugaidi ilikuwa sawa? ACHA UNAFIKI NA UJINGA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…