Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe


Mtolera.....naona una sympathise na huyu jamaa.
Tena unaongelea uchunguzi wa polisi. Kweli??! Hata wewe?

Kuna mambo ya msingi sana ningependa kuona polisi wakimaliza uchunguzi.
1) mabomu ya Olasiti na Soweto Arusha.
2) Mauaji ya watu uchaguzi wa Igunga na Arumeru mashariki
3) mauaji ya raia Arusha na mauaji ya Mwangosi.
4) Kesi za ugaidi za Lwakatare na Kileo and Co.
5) mauaji ya Dr. Msangi,
6) Kipigo cha Dr. Ulimboka

The list goes on and on......huu ijinga wa kupotezea watu musa kwa uchunguzi wa kipuuzi hautusaidii kitu.
 

Nataka kukuambia hakuna kitu!!! Upuuzi tu wa watu hapa eti na mtu na akili zake analeta sms kwenye thread anasema uthibitisho. Hivi wabongo tumerogwa? kwa nini tunajifanya tunajua kila kitu hali tukiwa wengine hatujui kila kitu? Nasema hivi hakuna kitu,evidence zenu mnazoweka kwenye hizi thread zinazohusiana na electronic correspondences hazina chepe ya kukubalika mahakamani au as cyber evidence. Ni kwamba mnajitungia upuuI wenu, mnajifurahisha wenyewe!
 
Nilishtakiwa wapi?Kesi namba ngapi?Huu uongo wenu ipo siku mtaujutia.

ulitaka zitto akupeleke mahakamani hujui kuwa unalaana ya kutaka kumuua zitto haya yote yanayotokea ni laana na umepigwa kama kaini
 
mnapenda sana kesi,hizo gharama za kesi si bola ukachimbie kisima kuliko kuzitumia kumpeleka mtu mahakamani?

Tell that to your comrade zana za kilimo who want to start a marathon to the court even before his issues are handled as per his party's organs.
 
Mwigulu ni baba wa uongo kama alivyo shetani. Sijawahi kumuamini na wala haitatokea siku nikamuamini huyu muuaji na mwongo kuliko ibilisi.

alidanganya nn mwigulu bado ni tegemeo la taifa letu.
 

Wewe acha kuchanganya mambo. Hayo ya kutoa ushahidi hata mbinguni kwenye kesi ya Lwakatare yana uhusiano gani na hizi Email za kubuni zilizotengenezwa na Ben Saanane?
 

Mkuu Birigita:
Hapo kwenye Red Nafikiri ulikuwa unamaanisha Dr. Mvungi. Ubarikiwe
 
Mwigulu, Mwigulu duh,Mwigulu! Atakuwa anadanganya, ni miongoni mwa watu wasioaminika. Huu uzi wake utakuwa wa kilaghai
 
Mkuu Tedo wakipigika kabisa huwa wanalike na kukimbia kama alivyofanya ZeMarcopolo

Tatizo lenu nyie dunia yenu iko Jamiiforums. Watu wako out of town wakila maisha, nyinyi mmekusanyika hapa kuanzia asubuhi mpaka jioni mkiandika utumbo tu.
 
Mkuu Birigita:
Hapo kwenye Red Nafikiri ulikuwa unamaanisha Dr. Mvungi. Ubarikiwe

Upo sahihi......samahani kwa kosa la uandishi mkuu.

Wakina msangi ni mapolisi tu...tehe tehe teheee
 
Mwigulu ungekuwa mtu wa ajabu sana kama ungekiri kuwa umeshawahi kuwasiliana na Nchimbi katika hili. Mwisho wa kunuku!
 
hivi ukitazama yale ya oparation tokomeza, kwa nini usiamini haya ya Mwigulu na Chimbi?
 
mauaji yote yenyeutata na utekaji watu mwingulu amekuwa akishukiwa, sasa kwanini police hawamhoji??
 

Mh. Mwigulu, supervisor haina double p, uwe makini mkuu unatafuta PhD, siyo kura!
 
Mwigulu is working for TISS kitambo tunajua hilo. Alishawahi kuchelewesha vpnd vya physics a'level Mazengo high school. Alitumwa na wanausalama kuiba computer ya mwl wetu frm USA wakihofia kuwa alikuwa leak inteligency info to the CIA.
Ndiyo maana hawezi kuhojiwa na Polccm.
 
Mh. Mwigulu, supervisor haina double p, uwe makini mkuu unatafuta PhD, siyo kura!

teh teh teh teh! umeliweza hili jitu, eti lisomi la phd.. au masomo yake ni kwa lugha ya kiswahili? mi lilivyoandika 'supp' nikajua linamaanisha supplementary (japo pia haikuwa na maana) kumbe lilitaka kumaanisha supervisor.. duh!

Ila yote yapo sawa, si unalijua na jenzake li'dkt imani tv.. limesomea czech (tamka chek) kwa kiarabu.. hapa sjui linajiita li'zee nini sjui..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…