Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 16,039
- 7,465
pole sana,ndio siasa zilivyo tena siasa za Kiafrika,watu wapo radhi hata kukuwekea meno ya tembo mlangoni,ilimradi tu upatikane na hatia.
kwa technolojia ya sasa,swala la kutengeneza email na mambo mengine ni jambo rahisi sana,cha msingi ni viongozi kuwa makini.
Haya yote yanamwisho wake,tusubiri tuone mwisho wa siku polisi watatueleza nini juu ya uchunguzi wao
Mtolera.....naona una sympathise na huyu jamaa.
Tena unaongelea uchunguzi wa polisi. Kweli??! Hata wewe?
Kuna mambo ya msingi sana ningependa kuona polisi wakimaliza uchunguzi.
1) mabomu ya Olasiti na Soweto Arusha.
2) Mauaji ya watu uchaguzi wa Igunga na Arumeru mashariki
3) mauaji ya raia Arusha na mauaji ya Mwangosi.
4) Kesi za ugaidi za Lwakatare na Kileo and Co.
5) mauaji ya Dr. Msangi,
6) Kipigo cha Dr. Ulimboka
The list goes on and on......huu ijinga wa kupotezea watu musa kwa uchunguzi wa kipuuzi hautusaidii kitu.