Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

nyie ni wajinga sana, rahisi sana kudanganyika hamtumii akili ya kawaida ku reason mambo ya kawaida. acheni gongo

Wewe unaetumia akili za ziada (exra ordinary) tuelimishe tukuamini kama hatuwezi kutuamini, basi soma signature yangu hapa...
 
Hugochavez wa viazi,masikini wa kutupwa,mfinyu wa fikra,mjinga wa kwanza Tz haujui lolote kazi ushabiki wa kanga tu.Umeme MACCM yameshapandisha hadi nawe ni mhanga, ya nn kuwa bendera na kufuata upepo."SOLID MAJORITY"
 
Sorry nilisahau,Mwigulu tunaomc wewe na Ndugai mje Mbeya mfanye ziara za hadharani kama kweli ninyi ni wanaume.REST IN PEACE DR,MVUNGI,DAUD MWANGOSI,NA WALE WOTE MLIPOTEA WAKATI WA OPERATION TOKOMEZA.
 
"Kumezuka vijana ndani ya chama chetu ambao kazi yao kubwa ni kutengeneza na kusema uongo kwa malengo wanayojua wao" ZZK
 
Dhana ya things fall apart...hamkani si shwari imejikita kwa maccm...kifo chao si mjadala
 
Na ule mtambo wa kutuma sms feki aliuleta nani?
na bomu la arusha soweto si ni wewe umeua watu wasio na hatia?
Kuna damu ya Watanzania mikononi mwako wewe hapo Mwigulu Nchemba na utalipwa hapa hapa duniani?

wewe kila kitu unachoambiwa unameza tu kama dodoki? una ushahidi wa mambo hayo unayoongea? tumia akili usiwe unameza kila uzushi unaousikia
 
Last edited by a moderator:
lie-detector3%5B1%5D.jpg
 
wewe kila kitu unachoambiwa unameza tu kama dodoki? una ushahidi wa mambo hayo unayoongea? tumia akili usiwe unameza kila uzushi unaousikia

mwigulu kabla hujafa lazima utapa kuadhibiwa sawa na uhayawani unaoshiriki kuwatendea wengine
 
Mwigulu ningekuwa Mimi nisingewajibu hata kidogo ni kupoteza muda wako kuongea na watu wasiotaka kusikia ukweli!

Mwigulu achana nao hao wanemshindwa ZZK hawana cha maana hao!
 
wewe kila kitu unachoambiwa unameza tu kama dodoki? una ushahidi wa mambo hayo unayoongea? tumia akili usiwe unameza kila uzushi unaousikia

Matendo yako ndani ya CCM na nafasi ulionayo ni "najisi" kwa muasisi wa chama hicho(hayati baba wa Taifa)

Ningekuwa na mamlaka ningeshakupiga chini siku nyingi sana.
 
Yawezekana upeo wangu juu ya masuala ya uchunguzi,kesi ni mdogo. Katika hili naamini Nchimbi na Jeshi la polisi wana majibu kwa huu utetezi wa Mwigulu. Ikiwa Mwigulu umekili kuwa hujawahi kuripoti popote juu ya mtu/watu kufungua barua pepe ya uongo kwa jina lako na wakamatwe, polisi imetumia grounds zipi kumuita Ben na kumuhoji kama hakuna pande ya victim(s) iliyopeleka malalamiko? So far wewe umekana kutotoa ripoti/malalamiko polisi,does this mean Nchimbi ndiye aliyepeleka taarifa hadi Ben kuitwa? (Naamini polisi hawawezi kuwa na dhamira ya kumuhoji mtu ikiwa hakuna upande wa pili ulio file a complain(s)). Je ni kweli Ben aliwahi kukutumia sms juu ya uwepo wa mawasiliano hayo ya e-mail ila hukuwahi kujibu? What is the motive behind leo ndiyo unajitokeza kukanusha JF badala ya kuchukua utaratibu wa kisheria juu ya mtu/watu unaodai wamegushi e-mail yako? (Kwa nafasi yako katika jamii naamini taratibu za kisheria ndiyo njia sahihi kuliko hapa JF).
Kwa nini your 'saga mate' Nchimbi (aliyewahi kuwa Waziri wa mambo ya ndani) yupo kimya? Is it because kivuli cha uwaziri alichokua anatumia kufanya maovu (kama kweli) hakipo tena?!
Yapo mambo mengi ya kusikitisha ambayo yanahusu mtu/watu/chama kuhusika na mikakati hasi dhidi ya mtu/watu/chama kingine,umekua 'ukijitokeza kuwajua wahusika' ila dhamira ya kusimamia/kuweka wazi ushahidi wako huwa unapotelea hewani.
How did it go with ushadi kuwa mlipuko wa soweto chama pinzani kinahusika? Ule wimbo wa kuwa unawajua wahusika uliishia ubeti wa ngapi? Suala la Lwakatare je,where is the valid evidence before the court?

Kutajwa tajwa katika matukio hasi ya kimkakati ya kisiasa si ishara nzuri kwako (iwe ni kweli au si kweli).

I bet ukweli una njia yake ya kuja. Wish you lucky na supp wa your Phd.
 
wewe kila kitu unachoambiwa unameza tu kama dodoki? una ushahidi wa mambo hayo unayoongea? tumia akili usiwe unameza kila uzushi unaousikia

Thread yako ina comments nyingi sana.. kwanini zote umezipotezea, umechagua kujibu hii na ile ya Ben? au hii ni ngumu kumeza?

Ndugu; maisha ya binadamu hapa duniani ni zaidi ya cheo chako hapo CCM na ni zaidi ya senti ulizonazo au unazopewa..

Hakuna kitu kibaya kama kuchukiwa na wengi tena mbaya zaidi umehusika kuwafupisha maisha (if proved) ya wapendwa wao! Na mbaya kuliko ni hapa unazidi kuwajaza hasira usiowajua ila wanakujua.. na wengine upo nao kila siku karibu!
Ndugu fikiria sana.. Walikuwepo kabla yako na zaidi yako.. Mbabe ni Mungu tu. Kwa duniani mbabe angalau kidogo ni mwenye pesa, we unapesa???
Be a human!
 
mwigulu kamwe siwezi kukuita mh. ww ni muaji na mzandiki, kama kuna msomi AMBAYE tunaomboleza siku ZOTE kwa kuwa kama maiti ni ww MWIGULI, BADO NA wasiwasi sana NA akili ya watu waliokuchagua pamoja na chama kilichokupitisha, SHAME UPON YOU THE KILLING GANGSTER UNDER CCM SPONSORSHIP
 
Sorry nilisahau,Mwigulu tunaomc wewe na Ndugai mje Mbeya mfanye ziara za hadharani kama kweli ninyi ni wanaume.REST IN PEACE DR,MVUNGI,DAUD MWANGOSI,NA WALE WOTE MLIPOTEA WAKATI WA OPERATION TOKOMEZA.

wote hao ni cdm
 
Back
Top Bottom