Mwigulu Urais 2025 ameanza kujipanga leo, Tozo zimeshusha umarufu mdogo wa Samia kwa kiasi kikubwa

Nyumbu Chaggadomo naona unamkabidhi akili zako macho kumchuzi kengeza Mbowe. Takataka
Haya ndo majibu kuhusu tozo kwa watz au?

Vijana wa CCM : Lipeni kodi tujenge shule, tujenge barabara

Rais Samia: Wananchi nimesikia kilio chenu

Vijana wa CCM : Mama ni msikivu sana
 
Mama amepyaya vibaya ndani ya muda mfupi.
 
Leo nafuatilia kwa makini nini kitatangazwa bada ya kikao Cha mabeberu wa mama
 
Myahudi mwarabu El ohinu ,uliiona ile picha yako aliyoitoa IDUGUNDE...?!!

Baada ya pale jana ,sikukuona tena UKIMJIBU....🤣🤣
 
Mwigulu ana hulka ya udikteta. Anapenda sana kutumia nguvu kusupport hoja. Ni muumini wa nguvu ya hoja. Yaani Magufuli ni cha mtoto...
Kweli mkuu ,anasema ni lazma watz tufuate sheria,ila hizi awamu mbili zinadharau wasomi sana wanakaa watu wachache bila kushirikisha hata wadau wa elimu wafanye testing na review wao wanaimplement tuu bila kujali kwamba athari zitakuaje hichi walichokifanya kinadhalilisha hili taifa ,majaliwa vaa viatu vyako huyo mwigulu anatuharibia nchi kwakua yeye ni overconfidence
 
Myahudi mwarabu El ohinu ,uliiona ile picha yako aliyoitoa IDUGUNDE...?!!

Baada ya pale jana ,sikukuona tena UKIMJIBU....[emoji1787][emoji1787]
Hiyo picha siijui wala sjaiona maana najua ni pumba tu

Je hiyo picha unayosema ina uhusiano gani na tozo za kjambazi kwa watanzania ?

Vijana wa CCM : Lipeni kodi tujenge shule, tujenge barabara

Rais Samia: Wananchi nimesikia kilio chenu

Vijana wa CCM : Mama ni msikivu sana
 
Kengezaaaaaa Mbowe [emoji1787][emoji1787]

View attachment 1860429
Kumbe mbowe ndo kaleta tozo au ukimsema mbowe ndo suluhisho la tozo?

Au mbowe ana uhusiano gn na majibu ya mwigulu?
Vijana wa CCM : Lipeni kodi tujenge shule, tujenge barabara

Rais Samia: Wananchi nimesikia kilio chenu

Vijana wa CCM : Mama ni msikivu sana
 
Nilikuwa namsikiliza lakini kwa aibu ilinibidi ni_switch channel nyingine faster nikakamata movie moja matata ya Bruce Willis a.k.a Grandpa, nikasahu hiyo aibu.
 
KENGEZA MACHO KU MCHUZI MBOWEE🤣🤣🤣🤣🤣

 
Moja ya mambo mabaya na ya ovyo mno katika maisha ni kukosa aibu. Sina imani na waziri
 
KENGEZA MACHO KU MCHUZI MBOWEE[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

View attachment 1860435
Yan majitu ya ccm aisee [emoji848]
Eti ww nae upo unateteA serikali ya ccm na unalipwa aaahaaah khaa

Chanzo cha tozo ni mbowe eti eeeh.



Vijana wa CCM : Lipeni kodi tujenge shule, tujenge barabara

Rais Samia: Wananchi nimesikia kilio chenu

Vijana wa CCM : Mama ni msikivu sana
 
Nilikuwa namsikiliza lakini kwa aibu ilinibidi ni_switch channel nyingine faster nikakamata movie moja matata ya Bruce Willis a.k.a Grandpa, nikasahu hiyo aibu.
Sasa tunaogopa hata watoto wetu kusoma uchumi, mtu anakuwa mwongo kuliko "ibilisi"
 
MATAGA bila kumtaja MBOWE hawawezi maisha.
 
🤣🤣
 
MACHO KU MCHUZI.

MAKENGEZA MBOWE 🤣🤣🤣

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…