Mwigulu Urais 2025 ameanza kujipanga leo, Tozo zimeshusha umarufu mdogo wa Samia kwa kiasi kikubwa

Mwigulu Urais 2025 ameanza kujipanga leo, Tozo zimeshusha umarufu mdogo wa Samia kwa kiasi kikubwa

Mwigulu is the most unpopular politician/Minister right now, sitashangaa akitumbuliwa.

Bila serikali kubana matumizi yao, hatutaweza kufanikiwa

Zile think tank za kutafuta vyanzo vya mapato nazo bure kabisa, kwa kweli mama samia hana watu wakumsaidia
 
Nilikuwa namsikiliza anayejiita Dr (Phd) Mwigulu Nchemba Waziri wa Fedha na Mipango akihojiwa na ITV kipindi cha Kipima Joto.

Nilichosikitika sana...
  • Nasikia Alipata First Class ya Degree yake ya kwanza ya Uchumi na anayo PhD!
  • Amesema Burundi na Zambia wana population ndogo sana kuliko sisi na ndio sababu bei yao ya
mafuta ni ndogo kulinganisha ni yetu kwasababu Supply ni kubwa demand!!

Nimejiuliza hivi Huyu Msomi ni wa vyeti tu kufaulu Darasani lakini kwenye siasa wameibeba akili yake na kuiweka pembeni wakamuacha utupu?

Kwa reasoning yake Akili hiyo basi China lita ya Petrol itakuwa ni laki moja kwasababu ya population kubwa sana!! Hii sio akili ya Mchumi kabisa!!

- Anasema tozo lililowekwa ni dogo sana na anashangaa watu kulalamika wakati wanahitaji Shule na madawa Hospitali!

Huyu Jamaa Madaraka na pesa zimemfanya awe tofauti sana na maisha ya kitaa haelewi lolote kabisa!
Daah! Yaani nimefika point hadi nimechoka kumsikiliza na kujawa hasira tu!
Ameshindwa kabisa kujenga hoja ya kueleweka kutetea tozo yake!
Aliyekuwa anamhoji alikuwa anamsukumia vigongo vya maana lakini Dr wa Uchumi ameboa big time!


Mwandishi anamuhoji ni kwanini Serikali isionyeshe mfano kwa kubana matumizi hata kwenye ununuzi wa mavite na misafara mirefu ya Viongozi ili pesa itumike kwenye kupunguza makali ya tozo??!
Mwigulu anajibu kuwa misafara ya Viongozi zaidi ya robo tatu kwenye hiyo misafara wanatumia Magari yao na sio ya Serikali!

Aiisee kwahiyo zile STL zaidi ya 100 ni namba tu sio za Serika[Tunaamini sasa hata zile zenye namba za ajabu ajabu ni zawatu wasio julikana.]li?

Yaani hadi Mwandishi amecheka na kumuacha tu!!

Yaani yule Mwandishi Midley alionekana yeye ndio PhD!! Midley alisunya kimoyo moyo, na Mwigulu, Ndalichako, Bi-tukinao/Doro Gwaji wao ni wanafiki waliopitiliza na so far ndio wamemuharibia MAMA Sammy Kwa kiasi kikubwa na hata ikiitishwa open poll , Samia kashuka umarufu kidogo aliokuwa nao, ameshuka drastically within a very short time.

Wanasahau walikotoka, Mwigulu O Level Ilboru toka amefika form one hajawahi kurudi kwao likizo zote anabaki shule kwa sababu hakuwa na uwezo wa nauli, leo kafika hapo anasahau kuwa kuna wazazi wanatafuta 10,000 mwezi mzima wawatumie watoto wao shuleni lakini kwa zile tozo wanaumizwa.

Kuna watu mwisho wao huwa mbaya sana.
Wananchi: tozo ni kubwa, tozo ni kubwa

Vijana wa CCM : Lipeni kodi tujenge shule, tujenge barabara

Rais Samia: Wananchi nimesikia kilio chenu

Vijana wa CCM : Mama ni msikivu sana
Sio Mwigulu tu hata akina Lukuvi wanajinasua kutoka maangalizo ya JPM!
 
Hizi ndiyo hazina za CCM
Fisadi papa mama la vijisent name nawewe umeanza kupinga ,kama tulivyo sema ni swala la muda tu heshima ya magufuli itang'aa kama jua hapo ndiyo utakuwa mwisho wa wanafiki katika nchi hii ,na wote waliopata madaraka kwa kufurahia kifo cha magu
 
Tatizo la Watanganyika, mnalalamika tu, hakuna solution, wanaokuja na solution kudai katiba mnawapinga alafu hauonyeshi mbadala,
tufanyeje tutoke hapo?
unamiliki bando na smart phone alafu unauliza maswali ya ushirombo?
Wewe unauliza maswali ya MACHAME au TENGERU ?

images (2).jpeg
 
Nilikuwa namsikiliza anayejiita Dr (Phd) Mwigulu Nchemba Waziri wa Fedha na Mipango akihojiwa na ITV kipindi cha Kipima Joto.

Nilichosikitika sana...
  • Nasikia Alipata First Class ya Degree yake ya kwanza ya Uchumi na anayo PhD!
  • Amesema Burundi na Zambia wana population ndogo sana kuliko sisi na ndio sababu bei yao ya
mafuta ni ndogo kulinganisha ni yetu kwasababu Supply ni kubwa demand!!

Nimejiuliza hivi Huyu Msomi ni wa vyeti tu kufaulu Darasani lakini kwenye siasa wameibeba akili yake na kuiweka pembeni wakamuacha utupu?

Kwa reasoning yake Akili hiyo basi China lita ya Petrol itakuwa ni laki moja kwasababu ya population kubwa sana!! Hii sio akili ya Mchumi kabisa!!

- Anasema tozo lililowekwa ni dogo sana na anashangaa watu kulalamika wakati wanahitaji Shule na madawa Hospitali!

Huyu Jamaa Madaraka na pesa zimemfanya awe tofauti sana na maisha ya kitaa haelewi lolote kabisa!
Daah! Yaani nimefika point hadi nimechoka kumsikiliza na kujawa hasira tu!
Ameshindwa kabisa kujenga hoja ya kueleweka kutetea tozo yake!
Aliyekuwa anamhoji alikuwa anamsukumia vigongo vya maana lakini Dr wa Uchumi ameboa big time!


Mwandishi anamuhoji ni kwanini Serikali isionyeshe mfano kwa kubana matumizi hata kwenye ununuzi wa mavite na misafara mirefu ya Viongozi ili pesa itumike kwenye kupunguza makali ya tozo??!
Mwigulu anajibu kuwa misafara ya Viongozi zaidi ya robo tatu kwenye hiyo misafara wanatumia Magari yao na sio ya Serikali!

Aiisee kwahiyo zile STL zaidi ya 100 ni namba tu sio za Serika[Tunaamini sasa hata zile zenye namba za ajabu ajabu ni zawatu wasio julikana.]li?

Yaani hadi Mwandishi amecheka na kumuacha tu!!

Yaani yule Mwandishi Midley alionekana yeye ndio PhD!! Midley alisunya kimoyo moyo, na Mwigulu, Ndalichako, Bi-tukinao/Doro Gwaji wao ni wanafiki waliopitiliza na so far ndio wamemuharibia MAMA Sammy Kwa kiasi kikubwa na hata ikiitishwa open poll , Samia kashuka umarufu kidogo aliokuwa nao, ameshuka drastically within a very short time.

Wanasahau walikotoka, Mwigulu O Level Ilboru toka amefika form one hajawahi kurudi kwao likizo zote anabaki shule kwa sababu hakuwa na uwezo wa nauli, leo kafika hapo anasahau kuwa kuna wazazi wanatafuta 10,000 mwezi mzima wawatumie watoto wao shuleni lakini kwa zile tozo wanaumizwa.

Kuna watu mwisho wao huwa mbaya sana.
Wananchi: tozo ni kubwa, tozo ni kubwa

Vijana wa CCM : Lipeni kodi tujenge shule, tujenge barabara

Rais Samia: Wananchi nimesikia kilio chenu

Vijana wa CCM : Mama ni msikivu sana
nimecheka sana
Wao kwawao wanabishana
 
1. Ni msomi Mchumi
2. Ana uzoefu kwenye Uongozi
3. Anakifahamu Chama vizuri na anakipenda.
4. Mzalendo aliyetopea
5. Ana watu wengi nyuma yake
6. Anajiamini sana katika maamuzi yake.

Nashauri anapomaliza muda wake mwaka 2025 Rais Samia amwachie Kijana Mwigulu Nchemba. Rais Samia nadhani utakuwa wakati mzuri kupumzika.
 
Umekunywa konyagi
1. Ni msomi Mchumi
2. Ana uzoefu kwenye Uongozi
3. Anakifahamu Chama vizuri na anakipenda.
4. Mzalendo aliyetopea
5. Ana watu wengi nyuma yake
6. Anajiamini sana katika maamuzi yake.

Nashauri anapomaliza muda wake mwaka 2025 Rais Samia amwachie Kijana Mwigulu Nchemba. Rais Samia nadhani utakuwa wakati mzuri kupumzika.
 
1. Ni msomi Mchumi
2. Ana uzoefu kwenye Uongozi
3. Anakifahamu Chama vizuri na anakipenda.
4. Mzalendo aliyetopea
5. Ana watu wengi nyuma yake
6. Anajiamini sana katika maamuzi yake.

Nashauri anapomaliza muda wake mwaka 2025 Rais Samia amwachie Kijana Mwigulu Nchemba. Rais Samia nadhani utakuwa wakati mzuri kupumzika.
Mavi tupu
 
1. Ni msomi Mchumi
2. Ana uzoefu kwenye Uongozi
3. Anakifahamu Chama vizuri na anakipenda.
4. Mzalendo aliyetopea
5. Ana watu wengi nyuma yake
6. Anajiamini sana katika maamuzi yake.

Nashauri anapomaliza muda wake mwaka 2025 Rais Samia amwachie Kijana Mwigulu Nchemba. Rais Samia nadhani utakuwa wakati mzuri kupumzika.

so far hakuna mbunge wa ccm mwenye asili ya singida anayeonyesha kuwa na akili timamu. singida wapo watatu na ni kabila moja, wanyiramba.....ukiwafuatilia unaishia kukung'uta kichwa tu....
 
Sawa we nenda nae
Mimi nimetafakari nimeona niende mwenyewe tu!
 
1. Ni msomi Mchumi
2. Ana uzoefu kwenye Uongozi
3. Anakifahamu Chama vizuri na anakipenda.
4. Mzalendo aliyetopea
5. Ana watu wengi nyuma yake
6. Anajiamini sana katika maamuzi yake.

Nashauri anapomaliza muda wake mwaka 2025 Rais Samia amwachie Kijana Mwigulu Nchemba. Rais Samia nadhani utakuwa wakati mzuri kupumzika.
Huwezi kumchafua aliyechafuka, utachafuka wewe. Mwigul HAFAI kwa lolote:
1. PhD yake fake
2. Ni muuaji, ameshiriki sana mikakati ya kuua wapinzani
3. Hana rekodi yeyote ya kufanya vizuri
4. Hana kauli safi kwa wananchi
 
1. Ni msomi Mchumi
2. Ana uzoefu kwenye Uongozi
3. Anakifahamu Chama vizuri na anakipenda.
4. Mzalendo aliyetopea
5. Ana watu wengi nyuma yake
6. Anajiamini sana katika maamuzi yake.

Nashauri anapomaliza muda wake mwaka 2025 Rais Samia amwachie Kijana Mwigulu Nchemba. Rais Samia nadhani utakuwa wakati mzuri kupumzika.
Tatizo la mwigulu ni mzee wa michakato na upembuzi yakinifu...hafai
Hussein mwinyi anatoaha!
 
1. Ni msomi Mchumi
2. Ana uzoefu kwenye Uongozi
3. Anakifahamu Chama vizuri na anakipenda.
4. Mzalendo aliyetopea
5. Ana watu wengi nyuma yake
6. Anajiamini sana katika maamuzi yake.

Nashauri anapomaliza muda wake mwaka 2025 Rais Samia amwachie Kijana Mwigulu Nchemba. Rais Samia nadhani utakuwa wakati mzuri kupumzika.
Labda rais wa wasafi. Au aende akagombee urais burundi
 
Back
Top Bottom