😂😂😂😂Vijana wa CCM : Lipeni kodi tujenge shule, tujenge barabara
Rais Samia: Wananchi nimesikia kilio chenu
Vijana wa CCM : Mama ni msikivu sana
Sio Mwigulu tu hata akina Lukuvi wanajinasua kutoka maangalizo ya JPM!Nilikuwa namsikiliza anayejiita Dr (Phd) Mwigulu Nchemba Waziri wa Fedha na Mipango akihojiwa na ITV kipindi cha Kipima Joto.
Nilichosikitika sana...
mafuta ni ndogo kulinganisha ni yetu kwasababu Supply ni kubwa demand!!
- Nasikia Alipata First Class ya Degree yake ya kwanza ya Uchumi na anayo PhD!
- Amesema Burundi na Zambia wana population ndogo sana kuliko sisi na ndio sababu bei yao ya
Nimejiuliza hivi Huyu Msomi ni wa vyeti tu kufaulu Darasani lakini kwenye siasa wameibeba akili yake na kuiweka pembeni wakamuacha utupu?
Kwa reasoning yake Akili hiyo basi China lita ya Petrol itakuwa ni laki moja kwasababu ya population kubwa sana!! Hii sio akili ya Mchumi kabisa!!
- Anasema tozo lililowekwa ni dogo sana na anashangaa watu kulalamika wakati wanahitaji Shule na madawa Hospitali!
Huyu Jamaa Madaraka na pesa zimemfanya awe tofauti sana na maisha ya kitaa haelewi lolote kabisa!
Daah! Yaani nimefika point hadi nimechoka kumsikiliza na kujawa hasira tu!
Ameshindwa kabisa kujenga hoja ya kueleweka kutetea tozo yake!
Aliyekuwa anamhoji alikuwa anamsukumia vigongo vya maana lakini Dr wa Uchumi ameboa big time!
Mwandishi anamuhoji ni kwanini Serikali isionyeshe mfano kwa kubana matumizi hata kwenye ununuzi wa mavite na misafara mirefu ya Viongozi ili pesa itumike kwenye kupunguza makali ya tozo??!
Mwigulu anajibu kuwa misafara ya Viongozi zaidi ya robo tatu kwenye hiyo misafara wanatumia Magari yao na sio ya Serikali!
Aiisee kwahiyo zile STL zaidi ya 100 ni namba tu sio za Serika[Tunaamini sasa hata zile zenye namba za ajabu ajabu ni zawatu wasio julikana.]li?
Yaani hadi Mwandishi amecheka na kumuacha tu!!
Yaani yule Mwandishi Midley alionekana yeye ndio PhD!! Midley alisunya kimoyo moyo, na Mwigulu, Ndalichako, Bi-tukinao/Doro Gwaji wao ni wanafiki waliopitiliza na so far ndio wamemuharibia MAMA Sammy Kwa kiasi kikubwa na hata ikiitishwa open poll , Samia kashuka umarufu kidogo aliokuwa nao, ameshuka drastically within a very short time.
Wanasahau walikotoka, Mwigulu O Level Ilboru toka amefika form one hajawahi kurudi kwao likizo zote anabaki shule kwa sababu hakuwa na uwezo wa nauli, leo kafika hapo anasahau kuwa kuna wazazi wanatafuta 10,000 mwezi mzima wawatumie watoto wao shuleni lakini kwa zile tozo wanaumizwa.
Kuna watu mwisho wao huwa mbaya sana.
Wananchi: tozo ni kubwa, tozo ni kubwa
Vijana wa CCM : Lipeni kodi tujenge shule, tujenge barabara
Rais Samia: Wananchi nimesikia kilio chenu
Vijana wa CCM : Mama ni msikivu sana
Fisadi papa mama la vijisent name nawewe umeanza kupinga ,kama tulivyo sema ni swala la muda tu heshima ya magufuli itang'aa kama jua hapo ndiyo utakuwa mwisho wa wanafiki katika nchi hii ,na wote waliopata madaraka kwa kufurahia kifo cha maguHizi ndiyo hazina za CCM
Wewe unauliza maswali ya MACHAME au TENGERU ?Tatizo la Watanganyika, mnalalamika tu, hakuna solution, wanaokuja na solution kudai katiba mnawapinga alafu hauonyeshi mbadala,
tufanyeje tutoke hapo?
unamiliki bando na smart phone alafu unauliza maswali ya ushirombo?
nimecheka sanaNilikuwa namsikiliza anayejiita Dr (Phd) Mwigulu Nchemba Waziri wa Fedha na Mipango akihojiwa na ITV kipindi cha Kipima Joto.
Nilichosikitika sana...
mafuta ni ndogo kulinganisha ni yetu kwasababu Supply ni kubwa demand!!
- Nasikia Alipata First Class ya Degree yake ya kwanza ya Uchumi na anayo PhD!
- Amesema Burundi na Zambia wana population ndogo sana kuliko sisi na ndio sababu bei yao ya
Nimejiuliza hivi Huyu Msomi ni wa vyeti tu kufaulu Darasani lakini kwenye siasa wameibeba akili yake na kuiweka pembeni wakamuacha utupu?
Kwa reasoning yake Akili hiyo basi China lita ya Petrol itakuwa ni laki moja kwasababu ya population kubwa sana!! Hii sio akili ya Mchumi kabisa!!
- Anasema tozo lililowekwa ni dogo sana na anashangaa watu kulalamika wakati wanahitaji Shule na madawa Hospitali!
Huyu Jamaa Madaraka na pesa zimemfanya awe tofauti sana na maisha ya kitaa haelewi lolote kabisa!
Daah! Yaani nimefika point hadi nimechoka kumsikiliza na kujawa hasira tu!
Ameshindwa kabisa kujenga hoja ya kueleweka kutetea tozo yake!
Aliyekuwa anamhoji alikuwa anamsukumia vigongo vya maana lakini Dr wa Uchumi ameboa big time!
Mwandishi anamuhoji ni kwanini Serikali isionyeshe mfano kwa kubana matumizi hata kwenye ununuzi wa mavite na misafara mirefu ya Viongozi ili pesa itumike kwenye kupunguza makali ya tozo??!
Mwigulu anajibu kuwa misafara ya Viongozi zaidi ya robo tatu kwenye hiyo misafara wanatumia Magari yao na sio ya Serikali!
Aiisee kwahiyo zile STL zaidi ya 100 ni namba tu sio za Serika[Tunaamini sasa hata zile zenye namba za ajabu ajabu ni zawatu wasio julikana.]li?
Yaani hadi Mwandishi amecheka na kumuacha tu!!
Yaani yule Mwandishi Midley alionekana yeye ndio PhD!! Midley alisunya kimoyo moyo, na Mwigulu, Ndalichako, Bi-tukinao/Doro Gwaji wao ni wanafiki waliopitiliza na so far ndio wamemuharibia MAMA Sammy Kwa kiasi kikubwa na hata ikiitishwa open poll , Samia kashuka umarufu kidogo aliokuwa nao, ameshuka drastically within a very short time.
Wanasahau walikotoka, Mwigulu O Level Ilboru toka amefika form one hajawahi kurudi kwao likizo zote anabaki shule kwa sababu hakuwa na uwezo wa nauli, leo kafika hapo anasahau kuwa kuna wazazi wanatafuta 10,000 mwezi mzima wawatumie watoto wao shuleni lakini kwa zile tozo wanaumizwa.
Kuna watu mwisho wao huwa mbaya sana.
Wananchi: tozo ni kubwa, tozo ni kubwa
Vijana wa CCM : Lipeni kodi tujenge shule, tujenge barabara
Rais Samia: Wananchi nimesikia kilio chenu
Vijana wa CCM : Mama ni msikivu sana
1. Ni msomi Mchumi
2. Ana uzoefu kwenye Uongozi
3. Anakifahamu Chama vizuri na anakipenda.
4. Mzalendo aliyetopea
5. Ana watu wengi nyuma yake
6. Anajiamini sana katika maamuzi yake.
Nashauri anapomaliza muda wake mwaka 2025 Rais Samia amwachie Kijana Mwigulu Nchemba. Rais Samia nadhani utakuwa wakati mzuri kupumzika.
Mavi tupu1. Ni msomi Mchumi
2. Ana uzoefu kwenye Uongozi
3. Anakifahamu Chama vizuri na anakipenda.
4. Mzalendo aliyetopea
5. Ana watu wengi nyuma yake
6. Anajiamini sana katika maamuzi yake.
Nashauri anapomaliza muda wake mwaka 2025 Rais Samia amwachie Kijana Mwigulu Nchemba. Rais Samia nadhani utakuwa wakati mzuri kupumzika.
1. Ni msomi Mchumi
2. Ana uzoefu kwenye Uongozi
3. Anakifahamu Chama vizuri na anakipenda.
4. Mzalendo aliyetopea
5. Ana watu wengi nyuma yake
6. Anajiamini sana katika maamuzi yake.
Nashauri anapomaliza muda wake mwaka 2025 Rais Samia amwachie Kijana Mwigulu Nchemba. Rais Samia nadhani utakuwa wakati mzuri kupumzika.
tena ya uharo uliochanganyika na amoebaMavi tupu
Huwezi kumchafua aliyechafuka, utachafuka wewe. Mwigul HAFAI kwa lolote:1. Ni msomi Mchumi
2. Ana uzoefu kwenye Uongozi
3. Anakifahamu Chama vizuri na anakipenda.
4. Mzalendo aliyetopea
5. Ana watu wengi nyuma yake
6. Anajiamini sana katika maamuzi yake.
Nashauri anapomaliza muda wake mwaka 2025 Rais Samia amwachie Kijana Mwigulu Nchemba. Rais Samia nadhani utakuwa wakati mzuri kupumzika.
Tatizo la mwigulu ni mzee wa michakato na upembuzi yakinifu...hafai1. Ni msomi Mchumi
2. Ana uzoefu kwenye Uongozi
3. Anakifahamu Chama vizuri na anakipenda.
4. Mzalendo aliyetopea
5. Ana watu wengi nyuma yake
6. Anajiamini sana katika maamuzi yake.
Nashauri anapomaliza muda wake mwaka 2025 Rais Samia amwachie Kijana Mwigulu Nchemba. Rais Samia nadhani utakuwa wakati mzuri kupumzika.
Labda rais wa wasafi. Au aende akagombee urais burundi1. Ni msomi Mchumi
2. Ana uzoefu kwenye Uongozi
3. Anakifahamu Chama vizuri na anakipenda.
4. Mzalendo aliyetopea
5. Ana watu wengi nyuma yake
6. Anajiamini sana katika maamuzi yake.
Nashauri anapomaliza muda wake mwaka 2025 Rais Samia amwachie Kijana Mwigulu Nchemba. Rais Samia nadhani utakuwa wakati mzuri kupumzika.