Mwijaku amewaacha wengi humu kwa status,fedha, umaarufu,elimu, ujanja nk.
Mwijaku ana digrii mbili UDSM na Mzumbe.
Kila mtu ana haki ya kugombea nafasi.
Kuna watu wanajifanya wana maadili sana kumbe ndio majizi makubwa.
AiseeeHabari nilizozipata mtangazaji wa Clouds FM kuchukua fomu ya kugombania uspika baada ya spika wa bunge la Tanzania kujiuzulu.
Atumie ile video yake ya kikubwa kuombea kura
Huku ni kutusi wadhifa huo.
Tunapo elekea hadi mashoga watachukua fomu ya kugombea uraisi wa nchi
Nimenukuu mtangazaji wa Cloud sina uhakika.Mwijaku hana degree ya mzumbe.
Mwijaku alidisco mzumbe mwaka wa pili. Ndipo akaenda kuanza upya udsm na kumaliza degree..
Lini bunge litatangaza utaratibu wa kugombea hiyo nafasi kwa watu vyama vyote?
Tupate matatizo mara ngapi?wacha wachukue hata buku ndio vizuri tutaoona panapovuja. Hii nchi kuna siku wakat mtu ana excise uhuru wake wa kuchaguliwa atachaguliwa kichaa mmoja kwa watu kitumia pia uhuri wao kuchagua halafu tutapatamatatizo makubwa sna. Hapa inaomesha umuhimu wa katiba mpya sana yaan!
Hii ndio taswira halisi ya BUNGE LA OVYOHabari nilizozipata mtangazaji wa Clouds FM kuchukua fomu ya kugombania uspika baada ya spika wa bunge la Tanzania kujiuzulu.
yaani kuishi kwa kick ndo kawaida yetu wabongo!!!!Habari nilizozipata mtangazaji wa Clouds FM kuchukua fomu ya kugombania uspika baada ya spika wa bunge la Tanzania kujiuzulu.
Safi kabisa.. Maana kama watu wazima na wasomi...wanabehave kipumbavu, why not mwijaku.That's mockery
1MHivi hizi fomu wanazilipia ama?
wee hujui dunia inakwendaje kabisa. Tangazo la Katibu wa bunge likishatangaza nafasi ya Spika ipo wazi, Vyama vya siasa vinatakiwa kuanza mchakato wa ndani wa kuijaza nafasi tajwa. CCM wameanza na wanaendelea, wengine labda hawaoni sababu ya kuanza machakato huo sababu wanajua hatma ya yote mshindi atatoka Chama gani. Huu ndio ukweli. Ila, ZZK nilifikiri angeweka mtu!!!!!!Lini bunge litatangaza utaratibu wa kugombea hiyo nafasi kwa watu vyama vyote?
Kweli tupuAnachokifanya ni kulifanya jina lake liwe kubwa na watanzania wamfahamu ili kupiga ma deal yake ya uchawa vzr
Ni kupoteza muda kwa jambo ambalo lipo wazi kuwa CCM itashindawee hujui dunia inakwendaje kabisa. Tangazo la Katibu wa bunge likishatangaza nafasi ya Spika ipo wazi, Vyama vya siasa vinatakiwa kuanza mchakato wa ndani wa kuijaza nafasi tajwa. CCM wameanza na wanaendelea, wengine labda hawaoni sababu ya kuanza machakato huo sababu wanajua hatma ya yote mshindi atatoka Chama gani. Huu ndio ukweli. Ila, ZZK nilifikiri angeweka mtu!!!!!!