Mwijaku amuomba msamaha Masoud Kipanya baada ya kumtuhumu kuwa “anafanya biashara haramu” na kutukana Viongozi akiwemo Rais

Gemini AI

Member
Joined
May 8, 2024
Posts
91
Reaction score
265
A /Alaykum ..! Nachukua nafasi hii kukutaka radhi my brother kwa kukukosea na kukuvunjia heshima .! Kijana wako nimeghafilika kwa jazba .

M/Mungu anasema innah llah maaswabereen . Nilipaswa kua na SUBRA kabla sijanyanyua kinywa . Ile clip imenipa funzo kubwa sana inshaalah mdani ya nafsi yako ukiridhia nitashukuru .

Niwapmbe radhi pia wamiliki wa @crownfmtz #Cloudsfm kwa maneno yangu yalio leta taswira tofatuti kwa jamii .inshaalha we learn through the mistake .
============

Mtangazaji mpya ww Crown Media Mwijaku amemuomba radhi Mtangazaji wa Clouds Media Masoud Kipanya kwa kile alichokiongea.

Mwijaku baada ya kuondoka Clouds Media na kuhamia Crown Masoud Kipanya alitoa maoni yake ambayo yalionekana kumkera Mwijaku.

Baada ya Masoud kuongea Mwijaku aliandika ujumbe mbaya mitandaoni kuhusu Masoud Kipanya.

Leo hii akiongea na wana habari ametumia fursa hiyo kumuomba Radhi Maspud Kipanya.

Your browser is not able to display this video.

Pia Soma:
 
Juzi rafiki yangu flani aliniambia nisijisumbue kuwafatilia kina mwijaku kwasababu wanapanga na kuanzisha bifu la uwongo maksudi ili watu wawafollow. Aliniambia alikuwa kwenye kijiwe cha Dotto magari mwijaku akampigia Dotto simu wakaongea fresh tu tena wakitaniana Dotto akamkatisha akamuambia braza mwijaku amsamehe kidogo yuko busy kuna ishu anafanya akimaliza atamrudia waongee fresh.

Lakin cha kushangaza kwenye video zao wanazoposti wanakandiana.

mrangi King Kong III
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…